Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Magufuli alipoombwa kuugawa mkoa wa Tabora ambao unastahili zaidi kugawanywa kuliko huko Chato alijibu na kusema hawezi kugawa mikoa kwa sababu ni gharama, Pia alishaombwa kuugawa mkoa wa Morogoro na akatoa majibu hayo hayo.
Leo Hoi tunasikia mkoa wa Chato umegawanywa kilazima licha ya wananchi kutohitaji na madiwani wao kukataa, Samia nitamuona rais wa ajabu akitekeleza hili ombi na kuacha mikoa yenye uhitaji zaidi.
Leo Hoi tunasikia mkoa wa Chato umegawanywa kilazima licha ya wananchi kutohitaji na madiwani wao kukataa, Samia nitamuona rais wa ajabu akitekeleza hili ombi na kuacha mikoa yenye uhitaji zaidi.