Rais Magufuli alitaka kuiua CHADEMA, lakini alishindwa! Hakuna wa kuinunua wala kuiua CHADEMA

Rais Magufuli alitaka kuiua CHADEMA, lakini alishindwa! Hakuna wa kuinunua wala kuiua CHADEMA

Lord OSAGYEFO

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2021
Posts
3,085
Reaction score
4,890
Naona kuna kundi kubwa limeandaliwa humu JF kupinga na kubeza Mazungumzo yanayoendelea baina ya Rais Samia na Mbowe.

Kundi hili ndio lile Kundi lililokuwa linashabikia kuwa Mbowe ni gaidi. Baada ya kupata aibu kwa kelele zile sasa wanaandika habari za uongo na uzushi dhidi ya Mbowe na CHADEMA.

Kifupi wanajitekenya na kujichekesha kwani Wanachama na Wafuasi wa CHADEMA wana akili kubwa. Endeleeni kupuyanga umbea lakini usiku mtalala.

CHADEMA haifi, kama alishindwa Magufuli kuinunua CHADEMA nyinyi Mavuvuzeni hamuiwezi CHADEMA

CHADEMA BEI YAKE NI KAMA BEI YA KUINUNUA KLABU YA CHELSEA
 
Matokeo yake akafa yeye,

Pia NGOGWE na Sukuma Gang ndiyo hawayataki mazungumzo ya mama na Chadema.

20220512_231057.jpg
 
Chadema habari ingine Kaka.
Watu walipelekewa open cheki za BOT wajaze hela wanazotaka wakachagua kwenda Segerea unafikiri mchezo.
Wewe hapo cheki ya milioni tano tu utaitukana CCM.
Ndivyo mnavyodanganyana
 
Chadema wamejiua wenyewe kwa kutokusimamia wanachikiamini, JPM anahusikaje hapo? Ikiwa miaka nenda rudi mlimshambulia mzee Lowasa kwa kumsingizia mambo kibao kisha kaja kwenu mkampokea bila kujiuliza, ikiwa miaka nenda rudi mlipiga vita utoroshwaji wa maliasili zetu kaja JPM kukomesha haya mambo mkaanza kumpinga. Mungu hapendi mtu mwenye ndimi mbili.
 
Chadema wamejia wenyewe kwa kutokusimamia wanachikiamini JPM anahusikaje hapo? Ikiwa miaka nenda rudi mlimshambulia mzee Lowasa kwa kumsingizia mambo kibao kisha kama kwenu mkampokea, ikiwa miaka nenda rudi mlipiga vita utoroshwaji wa malvasia zetu kama JPM kukomesha
Jiwe alitaka kuiua CDM akaishia kufa yeye
 
Back
Top Bottom