christeve88
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 2,841
- 4,531
Kifo ndio njia pekee ya kufika mbinguni u kumfikia Mungu labda mwenzetu utakwenda kwa gari.Jiwe alitaka kuiua CDM akaishia kufa yeye
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kifo ndio njia pekee ya kufika mbinguni u kumfikia Mungu labda mwenzetu utakwenda kwa gari.Jiwe alitaka kuiua CDM akaishia kufa yeye
Nini maana ya kufa kwa chama cha siasa?Naona kuna kundi kubwa limeandaliwa humu JF kupinga na kubeza Mazungumzo yanayoendelea baina ya Rais Samia na Mbowe.
Kundi hili ndio lile Kundi lililokuwa linashabikia kuwa Mbowe ni gaidi. Baada ya kupata aibu kwa kelele zile sasa wanaandika habari za uongo na uzushi dhidi ya Mbowe na CHADEMA.
Kifupi wanajitekenya na kujichekesha kwani Wanachama na Wafuasi wa CHADEMA wana akili kubwa. Endeleeni kupuyanga umbea lakini usiku mtalala.
CHADEMA haifi, kama alishindwa Magufuli kuinunua CHADEMA nyinyi Mavuvuzeni hamuiwezi CHADEMA
CHADEMA BEI YAKE NI KAMA BEI YA KUINUNUA KLABU YA CHELSEA
Kuweka kumbukumbu sahihi. Magufuli hakuwa na tamaa ya kuinunua CHADEMA bali alitangaza azma ya kukifuta hiki chama. Kabla hajafanikiwa akatangulia mwenyewe kufa, akaiacha CHADEMA na nguvu zilezile au zaidi.Naona kuna kundi kubwa limeandaliwa humu JF kupinga na kubeza Mazungumzo yanayoendelea baina ya Rais Samia na Mbowe.
Kundi hili ndio lile Kundi lililokuwa linashabikia kuwa Mbowe ni gaidi. Baada ya kupata aibu kwa kelele zile sasa wanaandika habari za uongo na uzushi dhidi ya Mbowe na CHADEMA.
Kifupi wanajitekenya na kujichekesha kwani Wanachama na Wafuasi wa CHADEMA wana akili kubwa. Endeleeni kupuyanga umbea lakini usiku mtalala.
CHADEMA haifi, kama alishindwa Magufuli kuinunua CHADEMA nyinyi Mavuvuzeni hamuiwezi CHADEMA
CHADEMA BEI YAKE NI KAMA BEI YA KUINUNUA KLABU YA CHELSEA
Endeleeni kuota na kuamini jiwe atafufuka kutoka huko kwa waliokwisha kufariki duniaKwa akili ya kawaida unaweza ukasema chadema bado iko hai? Bado inaweza kushindana katika chaguzi kama ilivyokuwa 2010 na 2015?
Na tayari chadema wana migogoro ya ndani kwa ndani kuliko ikivyokuwa kabla ya 2015.
Jiwe anatokeaje hapo? Bado unafurahia msiba?Endeleeni kuota na kuamini jiwe atafufuka kutoka huko kwa waliokwisha kufariki dunia
Sema badala ya kuiua Chadema akafa yeyeNaona kuna kundi kubwa limeandaliwa humu JF kupinga na kubeza Mazungumzo yanayoendelea baina ya Rais Samia na Mbowe.
Kundi hili ndio lile Kundi lililokuwa linashabikia kuwa Mbowe ni gaidi. Baada ya kupata aibu kwa kelele zile sasa wanaandika habari za uongo na uzushi dhidi ya Mbowe na CHADEMA.
Kifupi wanajitekenya na kujichekesha kwani Wanachama na Wafuasi wa CHADEMA wana akili kubwa. Endeleeni kupuyanga umbea lakini usiku mtalala.
CHADEMA haifi, kama alishindwa Magufuli kuinunua CHADEMA nyinyi Mavuvuzeni hamuiwezi CHADEMA
CHADEMA BEI YAKE NI KAMA BEI YA KUINUNUA KLABU YA CHELSEA
Hizi hekaya ndio mbowe anavyowadanganya?Chadema habari ingine Kaka.
Watu walipelekewa open cheki za BOT wajaze hela wanazotaka wakachagua kwenda Segerea unafikiri mchezo.
Wewe hapo cheki ya milioni tano tu utaitukana CCM.
Utakufa Kama Magufuli utaicha.Chadema inajifia yenyewe
Ni Kweli CDM ni chama chenye nguvu na kinatupeleka pazuri kama Nchi. Pia ni dhahiri hayupo wa KUKIUA, kitakufa chenyewe muda ukifika maana chenye MWANZO kina MWISHO.Naona kuna kundi kubwa limeandaliwa humu JF kupinga na kubeza Mazungumzo yanayoendelea baina ya Rais Samia na Mbowe.
Kundi hili ndio lile Kundi lililokuwa linashabikia kuwa Mbowe ni gaidi. Baada ya kupata aibu kwa kelele zile sasa wanaandika habari za uongo na uzushi dhidi ya Mbowe na CHADEMA.
Kifupi wanajitekenya na kujichekesha kwani Wanachama na Wafuasi wa CHADEMA wana akili kubwa. Endeleeni kupuyanga umbea lakini usiku mtalala.
CHADEMA haifi, kama alishindwa Magufuli kuinunua CHADEMA nyinyi Mavuvuzeni hamuiwezi CHADEMA
CHADEMA BEI YAKE NI KAMA BEI YA KUINUNUA KLABU YA CHELSEA
Sina swali jingine kabsa...! Nilivyokuwa nazani imekuwa tofauti kabsa. Nilijua labda wew ni mtu unaejihusisha na mambo ya kubet mikeka.Nakula pensheni.
Swali lingine meku!
Ameshasahaulika jiwe,utasahaulika wewe Chadema itakuwepo.Apo ulipo bado unaamini ile chadema ya miaka iyo ndo yasasa? Imeshakatwa mkia kitambo.
Chadema imebaki mtandaoni, Mtaani watu wameshaanza kuisahau
Magufuli kashindwa lakini mama ameweza tena bei chee kabisa, miezi 8 Mbowe aliyokaa jela ilitosha ku-sarender na kufutiwa mashtaka ingawa alikuwa na kesi ya kujibu, ndio mana alipochiwa tu break ya kwanza Ikulu, na sasaivi kila wiki Ikulu, chadema sasa naifananisha na TLP ya Mrema na Mbowe ni Mrema mwenyewe.Naona kuna kundi kubwa limeandaliwa humu JF kupinga na kubeza Mazungumzo yanayoendelea baina ya Rais Samia na Mbowe.
Kundi hili ndio lile Kundi lililokuwa linashabikia kuwa Mbowe ni gaidi. Baada ya kupata aibu kwa kelele zile sasa wanaandika habari za uongo na uzushi dhidi ya Mbowe na CHADEMA.
Kifupi wanajitekenya na kujichekesha kwani Wanachama na Wafuasi wa CHADEMA wana akili kubwa. Endeleeni kupuyanga umbea lakini usiku mtalala.
CHADEMA haifi, kama alishindwa Magufuli kuinunua CHADEMA nyinyi Mavuvuzeni hamuiwezi CHADEMA
CHADEMA BEI YAKE NI KAMA BEI YA KUINUNUA KLABU YA CHELSEA
Segerea muli-sarender baada ya miezi 8 tu, sasa Mbowe amefika mwenyekiti wa chama chenu, Tundu Lissu hana mdomo huko aliko, kina msingwa haamini macho yake jamaa alivyowasaliti na chama chaoChadema habari ingine Kaka.
Watu walipelekewa open cheki za BOT wajaze hela wanazotaka wakachagua kwenda Segerea unafikiri mchezo.
Wewe hapo cheki ya milioni tano tu utaitukana CCM.