Rais Magufuli alitaka kuiua CHADEMA, lakini alishindwa! Hakuna wa kuinunua wala kuiua CHADEMA

Rais Magufuli alitaka kuiua CHADEMA, lakini alishindwa! Hakuna wa kuinunua wala kuiua CHADEMA

Lissu ange deal na Lowassa wa nini? Mfano pesa imeibiwa Halmashauri sasa hapo usichukue hatua kisa nini? sio Kila ufisadi lazima uwe na baraka za Rais!! hata kipindi Cha JPM watu waliiba sana na ripoti za CAG zilionyeshwa hivyo ila unataka kukiri kuwa JPM aliwaruhusu??

Rais kuwa fisadi or not unaweza ukawa muadilifu hata kule Kenya Waziri Martha Karua alikua mkali kwa mafisadi ilihali nchi ilikua chini ya Wakikuyu majizi!! so hizo excuses za wanasiasa kuepuka lawama.

So Whether Rais angekua Lowassa or nani, CHADEMA kinge stick to it's principles zilizoipa heshima. In fact katiba mpya ingeshakua in place na uwajibikaji ungekua juu
Mkimsimamisha awam ijayo mnaweza kutoboa kwa upepo ulivyo mtaan
 
CUF na ACT vipi?? Nlidhani CHADEMA ikipata mbunge mmoja kuna wapinzani wamegain kumbe hakuna!! Ina maanisha kura za upinzani zipo intact kwa CHADEMA na 2025 zinaenda kuvunwa. Mind you CHADEMA ilipewa na NEC kura Million 2 majimboni Cha kushangaza wagombea ubunge Wana kura million 2 ila ACT yenye kura chini ya laki 1 eti Ina wabunge 5 hahahahha.
Act lazima iwe na wabunge wengi ,sababu ina ngome zake Zanzibar ambako Chadema Haina nguvu Wala ushawishi wowote,

Ni sawa na CUF ilikuwa inapata wabunge wengi zenji

Sasa Leo unashangaa nn ACT kuvuna wabunge wengi kuliko Chadema, ?
 
JPM mlimpa kura 8 M na Lowassa akapewa 6 M na wapinzani wengine wakaokoteza laki kadhaa. so JPM alituzidi chini ya kura million 2 ambazo nazo ni za wizi tu.

Kama Lowassa angekataliwa je angepataje hizo 40% za kura yaani ilibakia 10% pekee atangazwe Rais. So tuache hizi kelele kuwa Lowassa aliua upinzani they don't make sense.
Ukweli Ni kwamba Chadema ilipataga kura nyingi zile mil 6 sababu ya Lowassa ,

Mm nafamilia yangu karibu wote tulimpigiaga Lowassa despite sio wanachadema

Hata pale Iringa, Msigwa alipitaga na upepo wa CCM kogombana ,mara ya pili akapita na upepo wa Lowassa,

Chadema ina nguvu maeneo machache Sana hapa TZ ,

Hata huko mijin wanapodai Wana nguvu sikweli, Hapo Dar na mwanza hizo Ni ngome za CCM miaka yote
 
Naona kuna kundi kubwa limeandaliwa humu JF kupinga na kubeza Mazungumzo yanayoendelea baina ya Rais Samia na Mbowe.

Kundi hili ndio lile Kundi lililokuwa linashabikia kuwa Mbowe ni gaidi. Baada ya kupata aibu kwa kelele zile sasa wanaandika habari za uongo na uzushi dhidi ya Mbowe na CHADEMA.

Kifupi wanajitekenya na kujichekesha kwani Wanachama na Wafuasi wa CHADEMA wana akili kubwa. Endeleeni kupuyanga umbea lakini usiku mtalala.

CHADEMA haifi, kama alishindwa Magufuli kuinunua CHADEMA nyinyi Mavuvuzeni hamuiwezi CHADEMA

CHADEMA BEI YAKE NI KAMA BEI YA KUINUNUA KLABU YA CHELSEA
Wewe unaiona CDM kweli, ukikaa unaiona?.

Imeshaelekea uelekeo wa TLP - tayari.

Umoja Party ndio mkombozi wa wanyonge.
 
Ilikufaje? Indicator ni ipi? Kama shida ni Lowassa kivipi uchaguzi ule tukapata 42%!! In fact kwa Dr.Slaa kwenyewe tulibeba Jimbo na Halmashauri nzima sasa unaposema tulianguka sababu ya Lowassa indicator ni ipi??

Okay utasema 2020!! Kama issue ni CHADEMA kuanguka 2020 vipi ACT nao ni sababu ya Lowassa? CUF kupotea ni sababu ya Lowassa? Hiyo inakupa picha kwamba uchaguzi haukuwa huru otherwise tungepata zaidi ya 40% ya kura za wananchi.
Uwe unasoma vitu kabla ya kutoa comment, wapi nimeandika mlianguka sababu ya Lowasa wakati mzee huyu aliwasaidia kushinda wabunge wengi. Shida ipo kwenye tabia yenu ya kusingizia na kuzushia watu mambo kisa hawako upande wenu kisha wakija kwenu wanakuwa wasafi huu unafiki ndio umewamaliza hivyo watu makini hawezi kuwa na imani na nyie kama mwanzo amini nakuambia.

Na kwa tabia hii inaonesha hata JPM mlimchukia kisa hakua kwenu ila angekuwa kwenu mngesema hajawahi kutokea rais kama yeye refer Lowasa. Hii tabia Mungu hapendi.
 
Naona kuna kundi kubwa limeandaliwa humu JF kupinga na kubeza Mazungumzo yanayoendelea baina ya Rais Samia na Mbowe.

Kundi hili ndio lile Kundi lililokuwa linashabikia kuwa Mbowe ni gaidi. Baada ya kupata aibu kwa kelele zile sasa wanaandika habari za uongo na uzushi dhidi ya Mbowe na CHADEMA.

Kifupi wanajitekenya na kujichekesha kwani Wanachama na Wafuasi wa CHADEMA wana akili kubwa. Endeleeni kupuyanga umbea lakini usiku mtalala.

CHADEMA haifi, kama alishindwa Magufuli kuinunua CHADEMA nyinyi Mavuvuzeni hamuiwezi CHADEMA

CHADEMA BEI YAKE NI KAMA BEI YA KUINUNUA KLABU YA CHELSEA
mbona sasa hivi mbowe ndiyo anaiua mwenyewe huoni?
 
Ukweli Ni kwamba Chadema ilipataga kura nyingi zile mil 6 sababu ya Lowassa ,

Mm nafamilia yangu karibu wote tulimpigiaga Lowassa despite sio wanachadema

Hata pale Iringa, Msigwa alipitaga na upepo wa CCM kogombana ,mara ya pili akapita na upepo wa Lowassa,

Chadema ina nguvu maeneo machache Sana hapa TZ ,

Hata huko mijin wanapodai Wana nguvu sikweli, Hapo Dar na mwanza hizo Ni ngome za CCM miaka yote
-Mikoa ambayo inakubalika Sana ni CHADEMA ni Arusha, DAR,Mara,Mbeya,Mwanza,Morogoro,Manyara,Lindi,Iringa,Songwe,Kagera, Kilimanjaro,Mtwara,Shinyanga,Simiyu,
 
-Mikoa ambayo inakubalika Sana ni CHADEMA ni Arusha, DAR,Mara,Mbeya,Mwanza,Morogoro,Manyara,Lindi,Iringa,Songwe,Kagera, Kilimanjaro,Mtwara,Shinyanga,Simiyu,
Kwann huwa mnajidanganya
 
Uwe unasoma vitu kabla ya kutoa comment, wapi nimeandika mlianguka sababu ya Lowasa wakati mzee huyu aliwasaidia kushinda wabunge wengi. Shida ipo kwenye tabia yenu ya kusingizia na kuzushia watu mambo kisa hawako upande wenu kisha wakija kwenu wanakuwa wasafi huu unafiki ndio umewamaliza hivyo watu makini hawezi kuwa na imani na nyie kama mwanzo amini nakuambia.

Na kwa tabia hii inaonesha hata JPM mlimchukia kisa hakua kwenu ila angekuwa kwenu mngesema hajawahi kutokea rais kama yeye refer Lowasa. Hii tabia Mungu hapendi.
Mbona Mbowe alisema siku anampokea kwamba ukiwa CCM tulikupiga mabomu ila sasa umehamia upinzani tunashirikiana kumng'oa common enemy. So hakuna ndimi mbili ila kwenye siasa na uongozi lazima uwe flexible unapotaka kufikia malengo hata Mungu kwenye Biblia alimtumia kahaba kuokoa majasusi wa kiyahudi kule Yeriko ilihali Biblia hiyo hiyo inasema Giza na Nuru havichangamaniki. Ila kwa kuwa wote walikua na common enemy ndio maana wayahudi wakashirikiana na mmoja wa maadui zao ambaye ni kahaba Ili kufikia lengo kuu la kuangusha Yeriko.

Unless hausomi maandiko ila Biblia nzima hakuna mahala msimamo ulikua ni ule ule Bali kuna flexibility nyingi tu zilifanyika Ili kusudi la MUNGU lifikiwe. Mfano Samuel kumfikishia ujumbe Sauli kupitia MCHAWI!! nabii Hosea kupewa mke KAHABA!! n.k
 
Ukweli Ni kwamba Chadema ilipataga kura nyingi zile mil 6 sababu ya Lowassa ,

Mm nafamilia yangu karibu wote tulimpigiaga Lowassa despite sio wanachadema

Hata pale Iringa, Msigwa alipitaga na upepo wa CCM kogombana ,mara ya pili akapita na upepo wa Lowassa,

Chadema ina nguvu maeneo machache Sana hapa TZ ,

Hata huko mijin wanapodai Wana nguvu sikweli, Hapo Dar na mwanza hizo Ni ngome za CCM miaka yote
Haupo serious serikali za mitaa mlikua na Miata/Vijiji/Vitongoji 99% mwaka 2009 ila mkashushwa hadi 60+% 2014!!! Ina maana zaidi ya mitaa na vijiji 30+% vilikua na Imani na upinzani 2014 na ninaamini 2019 tungezoea zaidi ya 40% sasa hiyo 2014 Lowassa alikuwepo??

Mwaka 2010 CCM ikipata 62% na upinzani 38% na hapo sababu tulisimama Kila mtu kivyake ila 2015 Lowassa alipata 40% means 2% increase!!! So aliongeza ila sio kwamba upinzani ulikua una Zero hapana tulikua na 40% yeye aliongeza zilizobaki na kama sio NEC JPM asingeingia Ikulu.

Politics is a game of numbers my friend!! 2025 utaelewa hii statement mtakapotafuta kura za Samia wakati huku Bara Hana mtaji na Zenji kuna wapiga kura sawa na Jimbo la Mbagala!!
 
Act lazima iwe na wabunge wengi ,sababu ina ngome zake Zanzibar ambako Chadema Haina nguvu Wala ushawishi wowote,

Ni sawa na CUF ilikuwa inapata wabunge wengi zenji

Sasa Leo unashangaa nn ACT kuvuna wabunge wengi kuliko Chadema, ?
Nakufundisha kwamba wingi wa wabunge sio ushawishi wa chama. ACT Ina wabunge 5 ila Wana kura chini ya elfu 50 combined!! CHADEMA kwenye kura za wabunge Ina zaidi ya 2.5 Million!! Sasa hapo chama Gani ni kikubwa??

Kura za wagombea wote wa ACT hazifiki kura za Halima Mdee alizopata Kawe 2020!! Alafu ndio useme eti CHADEMA ni chama kidogo kisa kina mbunge mmoja!! Get serious
 
Hata Wasira na Ndugai waliwahi kuwa na ndoto hizo, sijui gps inasema wako wapi sasa hivi wakati CHADEMA ina program za mazunguzo na Ikulu sasa hivi!
 
Chadema wamejiua wenyewe kwa kutokusimamia wanachikiamini, JPM anahusikaje hapo? Ikiwa miaka nenda rudi mlimshambulia mzee Lowasa kwa kumsingizia mambo kibao kisha kaja kwenu mkampokea bila kujiuliza, ikiwa miaka nenda rudi mlipiga vita utoroshwaji wa maliasili zetu kaja JPM kukomesha haya mambo mkaanza kumpinga. Mungu hapendi mtu mwenye ndimi mbili.
Ila Mungu alimpenda zaidi mwendazake ndo maana alimchukua mapema kabla hajaoa kabisa upinzani.
 
Kifo ndio njia pekee ya kufika mbinguni u kumfikia Mungu labda mwenzetu utakwenda kwa gari.
Kabla hujaenda huko ulikuwa unafanya nini duniani, kama ulikuwa muuaji, mwizi na muongo kama Jiwe basi jua utapata tabu sana
 
Back
Top Bottom