Rais Magufuli alivyovuruga Uhusiano na Wadau wa Maendeleo

Bwana Ngapulila unachekesha sana, mtu aliyeangalia aya yako ya kwanza angedhani ulikuwaa thinker wa ukweli. Imekujacha f ua na kusifia ujinga baadaye.

Rais anajali maslahi ya nchi![emoji16],inachekesha! Anayaji kw a lipi. Kama ni kujali kila raisi alikuwa kabla ya Magufuli pia alijali maslahi ya nchi. Nyerere alijali,.mpaka mimi nikasoma nikaelimika, Mwinyi pia aliyajali, Mkapa aliyajali, Kikwete aliyajali, na Magufuli anajali. Kila rais ametekeleza wajibu wake kwa namna yake. Huwezi kubeza kazi za watu wengine na kusifia mtu mmoja ati ndiye unaona anajali kuliko wengine. Hii sasa ni mawazo ya siasa za maji taka.

Weka siasa mbali, fikiri kama thinker wa ukweli, je Magufuli hajakopa kwa hao mabeberu unaowasema? Unaamini miradi ya inayotekelezwa leo mnatumia fedha zenu kama ambavyo mnaimbiwa kila kukicha?

Ama kweli usilolijua ni kama usiku wa giza! Hivi Magufuli amebadilisha mfumo wa uchumi wenu wa Tanzania, na hivyo mtalipa kodi mfanye mambo yenu bila kukopa? Acheni ndoto za mchana, mnaota huku mnatembea, tutawona vichaa!
 
Tumeanza kupata misaada toka awamu ya mkapa yupo madarakani imetufikisha wapi? Hao wadau wa maendeleo wanaipenda tz kuliko magufuli? Au sababu kahoji makinikia??

Brother hakuna free lunch in capitalist economy.. nikikupa ina maana nataka. Wanatupa msaada wanata nini,? Is it the fair business? Hako ka wanafunzi wenye mimba ni kichaka tu, toka mwaka 90 tanzania hatukua na sera ya kusomesha wajawazito.

Wasomi wa nchi hiz masikini wanakalili vitabu vilivyoandikwa na wazingu, lakini reasing ni 0%. Yaani wazungu wakusanye kodi kwao waje watoe msaada bure!!! Inakuingia akilini?

Eti demokrasia, hivi kuna nchi inaweza kutekeleza demokrasia kama tunavyosoma kwwnye vitabu? Demokrasia ni lazima iendane na utamaduni wa watu husika. Hakuna demokrasia kwenye umasikini. Hakuna..
Tujifunze...
 
Tatizo Shule. Ndio maana unaonekana kutokuelewa mambo ya kiuchumi.
 
Utasubiri sana kuona anashindwa lakini hawezi shindwa. Unajua hii miradi imetoa ajira kwa watu kiasi gani?
Mimi kinachonikera ni kutokana na kauli chafu na kali za mkuu ugonjwa huu sasa umeenea kama hapo juu hana hoja lakini either anafichama kwenye kukosa uzalendo, au very very vague statements zisizo kuwa verifiable kama ajira , ni upumbavu wa kiwango cha juu
angalia lugha ya watu maskini wa kutupwa
 
Jamaa yupo Teyali atakumwaga Damu ili nafasi yake ibaki
 

Kama mtu hujui jinsi development finance inavyofanyika ni bora ukauliza ili ueleweshwe. Ulichokiandika hapa ni zaidi ya upuuzi; haingii akilini hata kwa mtoto alie chekechea kuwa 60% ya donor funding itumike kulipa mishahara foreign expert. This is idiotic.
 
Ha
Unayosema ni kweli Mkuu, lakini Je Watanzania wa kawaida hali zao kimaisha zikoje?..

Tunawaona Waithiopia wanakamatwa kama Wahamiaji haramu kila siku hapa Tanzania.. Ethiopia ilijikita kwenye miradi mkubwa bila ya kujali raia wake kama hivi wanavyofanya Tanzania..

Nyerere alishawahi sema "Maendeleo ya vitu sio Maendeleo ya watu" "
 
Heri maumivu ya kujitegemea kuliko furaha ya misaada yenye masharti
 
Jk alimjua huyu cameraman, mkapa Na lubuva awakumjua upande wa pili wanajutia sana maamuzi yao.Lawama zote juu yao.Uwezo wa kukariri kilometers za barabara Na vifaranga vya Samaki si kigezo cha utendaji wa MTU.Factors zingine ni lzm zizingatiwe.
 

Umeniaibisha sana rafiki yangu
 
Ukiwa mwekeli daima utabaki huru .Wapo wasomi wanaompotosha kiongozi wetu kuhushu uendeshwaji maswala ya uchumi.Wao hawana cha kupoteza maana wanapalilia vyeo vyao.Uendeshwaji wa uchumi wa nchi hauchanganywi na sera za siasa maana viashiria ( indicators) zitaonyesha kama uko kwenye right track or wrong track.
 
Sisi tunaweza tukajivunia labda utekaji watu tunaoona hawataki kuunga mkono juhudi na pia kuvunja rekodi ya dunia kwa kujenga "Viwanda" zaidi ya 3,000 ndani ya miaka mitatu tu na bila kusahau kununua ndege kwa "Cash". NB: Maendeleo hayana chama!!
 
Sasa mijitu ya ivi ndo hatuitaki Africa ambayo imedorolesha akili ikitegeme a marekan ,China na ufaransa au misaada ya benki ya dunia....

Ebu niambie ni nchi gan ambayo imeendelea kutokana na misaa

Asia (3tigers of Asia)
Taiwan,south korea ,singapore
Au nyinginezo China ,japan


Europe
Uk,France, German,

Middle East
Israel,UAE, QATAR,
Waweza jitajia halafu utuambie huo ujinga unaodhan utatusaidia 5O years wametusaidia bado tukawa still the poorest country in the world

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…