Wizara ina msemaji wake...alipaswa km aliona kuna haja ya kutangaza angepeleka kwa waziri.
Ugonjwa ni vita km vita ingine...imagine batalian ya kwanza ilivyoteketea vita vya uganda halafu jamaa angekuja tbc kusema aisee batalian nzima imekufa inabid tujipange... unadhani nyerere angechukua hatua gani?
Kuna msemaji wa wizara na msemaji wa serikali ..mganga mkuu wa serikali nk waPelekee huko ww ushakabidhi finding zako kutangaza haikuhusu... wangapi wanafuatwa na waandishi wanajibu wao sio wasemaje wa ofisi.
Km sampuli ilichukuliwa kimya kimya basi wagonjwa muwatibu kimya kimya..km mliwapata kliniki za mama waja wazito ilipaswa mrudi kule kule.
Kwani mradi wa chakula bora miaka ya 80 si ilikua finding walitangaza au serikali ilichukua hatua?
Inawezekana jambo ni fact lakini si kila ukijuacho lazima useme...njia bora kujua pa kusemea na wakati wa kusemea.
Kwa nafasi ya mkuu wa nimr umekuwa vetted hata vikao vya siri vya serikali vyaa mienendo ya afya unahudhuria why you do things like you are nothing wakati unajijuwa you are someone in inner core?
Kutaja mgogo inawezekana ni mtani wake ila pia kwenye kitabu cha uongozi wetu na hatma ya tanzania kuna mtu alikosa kitu mambo ya sirini akayafanya uwazi na ya uwazi akayafanya sirini kamati ikala kichwa.
Kuna namna nyingi ya kutumika eiza moja kwa moja au indirect..
Rejea kesi ya yule shushushu alikamatwa na barua kuhusu nyerere na vita vya ukombozi ambaye alikua pia dereva teksi na mfanyakazi wa hoteli kubwa jijin enzi hizo.
Kuna namna nyingi za kupewa zawadi au pole au pongezi na mwingine anakupa zawadi si kwamba anakuitaji sana ila anataka kumkomoa aliekuacha.
Sijafurahi kutangazwa hadharani ila sijaridhishwa dr alivyo itendea fani yake ...mfano yule mkuu wa taasidi ya takwimu sijui dr chuwa (sina uhakika) bongo...umemuona mara ngapi akitangaza takwimu au hajui taarifa halisi na za kupika?