Baada ya Dr Mwele kuondoka mbona ubalozi wa Marekani ili tanga za tahadhari ya Tanzania kuficha taarifa za maambukizi ya Ebola?Unajivunia mtu mzushi. Ambae anatumika kuharibu hali ya hewa. Au kwa sababu ni hampendi magufuli. Mtu anakuzushia alafu umpende kweli? chuckie mbaya sana.
Mkuki kwa kunguruwe.
Wewe nichukie mimi nisichukie anaenifanyia tofauti.
Unadhani huyo mdada an amani moyoni kufukuzwa na kuambiwa na mkuu wa nchi kuwa she was a moleWalimfukuza yule mama kwa kumuonea tu na Mungu amemlipa zaidi.
Moyo wa rais wetu umejaa chuki na visasi visivyo na maana.
Yapo mambo unayoweza kuficha lakini sio ugonjwa, Zika ilikua inasambazwa sana na mbu, ikumbukwe ugonjwa unaoitesa nchi yetu miaka nenda rudi ni malaria kutokana na hali ya hewa na kimazingira inyasapoti mbu wengi kuzaliana. Ikiwa mbu ndo inasambaza zika unadhani rais angeficha idadi kubwa ya wagonjwa wa zika? Huku mtaani Buguruni tungeona wagonjwa wengi wasio wa kawaida.Katika nchi ambayo rais anapinga upimaji na kufanya njama za kuondoa imani katika upimaji wa Covid-19, kwa njia zilizokosa weledi na utaalamu
1.Kupata data za kuaminika ni kazi ngumu. Siasa imetawala upatikanaji wa data.
2. Kupata majadiliano yaliyo na kina na muktadha wa kisomi ni vigumu.Ndiyo maana unakuta rais anapeleka mafenesi yaende kupimwa kwa kipimo ambacho hakijakusudiwa kupima mafenesi...
Umezoea umbea? Nimeuliza kama ilikuepo, nani aliugua zika? Au ndio yale maiti zitasambaa mitaani? Mtoto yupi wewe ulimuona kazaliwa na mapungufu sababu ikiwa zika?Taasisi ilifanya utafiti nchi nzima wakaona kuna viashiria vya uwepo wa ugonjwa huo.
Sasa wewe nani unayepinga utafiti kwa porojo ?
aah "sizitaki mbichi hizi" kwamba huyu mwanaume alitaraji atapigiwa magoti kuanzia IFM mpaka pale kwake kama walivyofanya akina nanii lakini hola badala yake mwanamke yupo na mabeberu huko Uswisi anakula raha na mwanaume wake mpya?Shida ni wewe
Kuhusu Zika je?Baada ya Dr Mwele kuondoka mbona ubalozi wa Marekani ili tanga za tahadhari ya Tanzania kuficha taarifa za maambukizi ya Ebola?
Unacheka nini sasa?? Kuweni na adabu sio kila kitu kujifanya kuwa wa kwanza... Kwahiyo angecheka bila kujirekodi.... Asingetosheka???siyo vibaya, hata kucheka picha ya magufuli idriss alifanya kosa gani?
angegawa mapapai barabarani bila kuonyeshwa kwa TV isingetosha?Unacheka nini sasa?? Kuweni na adabu sio kila kitu kujifanya kuwa wa kwanza... Kwahiyo angecheka bila kujirekodi.... Asingetosheka???
Shida ni kwamba hamjui nguvu ya upinzani anayokutana nayo Rais Magufuli kwenye vita ya kiuchumi,ushangai hadi leo ulaya nzima huko hadi mashuleni wanaambiwa mlima kilimanjaro upo kenya.sasa wewe nadhani kwa upeo wako mdogo hili jambo unalichukulia kawaida tu.Sasa na yeye lazima amtaje mtu,utafikiria alikuwa mke mwenzio zamani nilijua wanawake wana shida kumbe siku hizi wanawake wanaafadhali aisee karibu tutaiongiza dunia kama tutaendelea kuzaa wavulana na sio wanaume.