Rais Magufuli ameamua nchi ifungue sura mpya ya kimaendeleo kuelekea 2025

Rais Magufuli ameamua nchi ifungue sura mpya ya kimaendeleo kuelekea 2025

Shida mnashindwa kujua Yote unayoyaona saizi yanatoka kwenye BAJETI YA AWAMU YA TANO. Ukisoma Ilani ya CCM 2015/20 iko wazi kabisa. Kuna miradi inatakiwa kumaliziwa, Kuendelezwa na kuanzishwa.

Sasa wewe ukisema REA kafanya JK sijui kama unataka kusema Jk alipotoka madarakan aliacha hela za kuhakikisha vijiji vyote vinapata umeme hata kama ni hadi 2050.JK kaacha Ujenzi wa Kinyerezi 1 na Jpm kaja kaendeleza kinyerezi 2,wewe ukija na hoja za kinyerezi ni mradi wa JK na JPM hana alichofanya sijui kama unakua na logic. JK kaacha mipango ya SGR,hajaacha hata sent na ilikua iwe mchina lkn JPM kampa mturuki, Reli inajengwa unakuja kusema ni kazi ya Jk na JPM hakuna anachotaka. Hivi huyo Jk toka alipoondoka 2015,haya yote yanayofanyika yeye ndio director?

Mradi wa Bagamoyo ulianzishwa na JK lkn JPM kaja kaupiga chini,kwanini hatuoni kuwa ktk miradi iliyoasisiwa na JK,JPM ananguvu nayo?Nilifuatilia uzinduzi wa hospital ya mloganzila Jk aliacha hatua ndogo sana pamoja na pesa ya mradi, lkn JPM kama Ilani ilivyosema kuwa anatakiwa akamilishe huo mradi tunaona fungu la kukamilisha hiyo hospital lilitoka kwenye bajeti yake.Leo unakuja unasema Jpm hospital ya mloganzila haimuhusu, ni Jk. Uko serious au unafanya SIASA UCHWARA?

Unajua mradi wa REA ulikua ukwame baada ya msaada wa 900B kupigwa chini 2016?Lkn je umekwama?Leo unaendelea kama kawaida, unasema mradi ni wa JK na JPM hana lolote. Are u serious?Miradi mingapi huwa inaishia kwenye makaratasi?Miradi mingapi huwa inakwama na mingine kwenda mwendo wa konokono?Kwamba mlitaka JPM aje apige chini terminal 3,apige chini mloganzila, barabara ambazo hazijaisha aachane nazo naye aanze zake, SGR apige chini au REA apige chini?Nini maana ya mipango ya serikali Kama kila kiongoz ili aonekane kafanya kazi lzm aje na mipango mipya?

Kuendeleza siyo vibaya, ni jukumu kuendeleza Mazuri ambayo "wenzie" wamemuanzishia, ndiyo maana ya serikali, ni uendelevu wa mipango. Kama REA ingekwama basi hilo lilikuwa lake maana 2016 raisi alikuwa yeye

Kuhusu Hospitali ya Mloganzila, JK aliondoka madarakani 2015 kwa hiyo timeframe ya mradi ilikuwa lazima imkute raisi mwingine, hata ungekuwa wewe ndo raisi ungemalizia tu si kila kitu kipo, fedha imeshatafutwa shida ni kazi iendelee kufanyika

Sasa sisi tunachosema ni kwamba, Msitusumbue sana na Kelele za anajenga hiki, anajenga kile as if miradi kaibuni yeye na kaitafutia pesa yeye huko nje!. Mbona waliovianzisha hawakuwa na kelele saana kama sasa hivi?

Maana hiyo SGR na Stiegles haijafika hata nusu ya kazi lakini kelele nyingi utadhani mmeshakamilisha!
 
Kuendeleza siyo vibaya, ni jukumu kuendeleza Mazuri ambayo "wenzie" wamemuanzishia, ndiyo maana ya serikali, ni uendelevu wa mipango. Kama REA ingekwama basi hilo lilikuwa lake maana 2016 raisi alikuwa yeye

Kuhusu Hospitali ya Mloganzila, JK aliondoka madarakani 2015 kwa hiyo timeframe ya mradi ilikuwa lazima imkute raisi mwingine, hata ungekuwa wewe ndo raisi ungemalizia tu si kila kitu kipo, fedha imeshatafutwa shida ni kazi iendelee kufanyika

Sasa sisi tunachosema ni kwamba, Msitusumbue sana na Kelele za anajenga hiki, anajenga kile as if miradi kaibuni yeye na kaitafutia pesa yeye huko nje!. Mbona waliovianzisha hawakuwa na kelele saana kama sasa hivi?

Maana hiyo SGR na Stiegles haijafika hata nusu ya kazi lakini kelele nyingi utadhani mmeshakamilisha!
Daaah binadamu hana shukrani kelele ni za furaha sio kelele za majonzi......kelele za Ufisadi wa Richmond, Escrow, Rada n.k na kelele za kuzindua miradi ya Maendeleo ya Taifa yetu kwa manufaa yetu na wajukuu wetu kipi kwako ni bora
 
Kweli binadamu hana shukrani Comrade hata umfanyie nini
Mngejua tanzania tumeokoa pesa kiasi gan baada ya magufuli kuamua kutangaza tender world wide ama kweli watanzania sisi cjui tumerogwa na nani aisee
 
Waulizeni wakenya mradi wa sgr walijengewa na wachina leo hii wanalia wamejengewa hiyo reli kwa garama kubwa sana
Hao ni wakenya sisi ni watanzania, wao walijengewa na wachina kwa makubaliano yao na sisi tunajenga na Waturuki kwa makubaliano yetu
 
Watanzania bana amin nawambia achana na magufuli ni another level nchi alikoitoa ni mbali sana nchi hii ilikuwa imeondoka aisee
Waambie Comrade nchi ilikuwa mikononi mwa wajanja wachache wao ndio wamuaji na wanufaikaji wa rasirimali za Taifa Leo hali imebadirika Taifa letu limesimama katika misingi yake
 
Wakulima hatuna soko labuhakika la mazao yetu. Mbaazi ziliozea shambani msimu uliopita . Mustakabali wa korosho mpaka sasa ni kitendawili.

Hizi barabara si za kumkomboa mkulima kutoa mazao kijijini kupeleka tu makao makuu ya wilaya.

MKuu kasome tena pale juu sijaonapopote akizungumzia wakulima, nadhani wakulima sio kipaumbele chao.
 
Soko la nini vile? Bhahahahahaaaa
Wakulima hatuna soko labuhakika la mazao yetu. Mbaazi ziliozea shambani msimu uliopita . Mustakabali wa korosho mpaka sasa ni kitendawili.

Hizi barabara si za kumkomboa mkulima kutoa mazao kijijini kupeleka tu makao makuu ya wilaya.
 
Na wewe ukitukana unapata cheo
Hoja namba 2 ndege wakati mmezikimbizia ofisi ya raisi na hamruhusu hata CAG akague we bwege sana,Ajira karibu awamu 4 zimelala mtaani we unajipendekeza ati upate cheo.
 
Umetoa Ukweli Comrade wape Elimu wataelewa tu
Shida mnashindwa kujua Yote unayoyaona saizi yanatoka kwenye BAJETI YA AWAMU YA TANO. Ukisoma Ilani ya CCM 2015/20 iko wazi kabisa. Kuna miradi inatakiwa kumaliziwa, Kuendelezwa na kuanzishwa.

Sasa wewe ukisema REA kafanya JK sijui kama unataka kusema Jk alipotoka madarakan aliacha hela za kuhakikisha vijiji vyote vinapata umeme hata kama ni hadi 2050.JK kaacha Ujenzi wa Kinyerezi 1 na Jpm kaja kaendeleza kinyerezi 2,wewe ukija na hoja za kinyerezi ni mradi wa JK na JPM hana alichofanya sijui kama unakua na logic. JK kaacha mipango ya SGR,hajaacha hata sent na ilikua iwe mchina lkn JPM kampa mturuki, Reli inajengwa unakuja kusema ni kazi ya Jk na JPM hakuna anachotaka. Hivi huyo Jk toka alipoondoka 2015,haya yote yanayofanyika yeye ndio director?

Mradi wa Bagamoyo ulianzishwa na JK lkn JPM kaja kaupiga chini,kwanini hatuoni kuwa ktk miradi iliyoasisiwa na JK,JPM ananguvu nayo?Nilifuatilia uzinduzi wa hospital ya mloganzila Jk aliacha hatua ndogo sana pamoja na pesa ya mradi, lkn JPM kama Ilani ilivyosema kuwa anatakiwa akamilishe huo mradi tunaona fungu la kukamilisha hiyo hospital lilitoka kwenye bajeti yake.Leo unakuja unasema Jpm hospital ya mloganzila haimuhusu, ni Jk. Uko serious au unafanya SIASA UCHWARA?

Unajua mradi wa REA ulikua ukwame baada ya msaada wa 900B kupigwa chini 2016?Lkn je umekwama?Leo unaendelea kama kawaida, unasema mradi ni wa JK na JPM hana lolote. Are u serious?Miradi mingapi huwa inaishia kwenye makaratasi?Miradi mingapi huwa inakwama na mingine kwenda mwendo wa konokono?Kwamba mlitaka JPM aje apige chini terminal 3,apige chini mloganzila, barabara ambazo hazijaisha aachane nazo naye aanze zake, SGR apige chini au REA apige chini?Nini maana ya mipango ya serikali Kama kila kiongoz ili aonekane kafanya kazi lzm aje na mipango mipya?
 
Swali dogo tu kwenye viwanja vya ndege kuwa ye anamalizia malizia tu.Uwanja wa ndege Dar terminal 3 umeanza mwaka gani?Hadi unazinduliwa juzi ni miaka 4 toka utawala wa JPM uanze, Je ni kweli hicho kiwanja JPM kamalizia malizia tu kwa maana ya kazi kubwa ilifanywa na JK?
Swali zuri hawawezi kukupa majibu Comrade
 
Yaani point zako no.1,3,4,5,8,910,11,12,14,15 zote ni ujenzi,ujenzi,ujenzi it’s boring.

Hivi hakuna mambo mengine ya kufanya kama vile kuboresha maslahi ya wafanyakazi,utatuzi wa changamoto ya wanafunzi wanaomaliza vyuo vikuu kila siku lkn hawana ajira,etc.

Huko kwny miradi mnaishia kusema tu ooh miradi ya ujenzi inaleta ajira kwa wananchi,ajira zipi hizo?labda za kua vibarua huko site.

I bet huko kwny ujenzi kuna ‘wazalendo’ wanapiga pesa nyingi sana kwny hio miradi ndio maana kila wakiamka wana create projects nyingi nyingi za ujenzi ili waendelee kupiga ‘mtonyo’.

‘Wazalendo’ bana.
Ujenzi wa miundombinu unachochea na kurahisisha shughuli za kiuchumi za wananchi kuendeshwa vizuri Sana na kwa unafuu kama ulikuwa hujui ndio maana unapona post yangu imejaa ujenzi ujenzi ujenzi
 
Mleta mada seriously unaamini kuwa REA ni mradi ulionza na JPM?.
Nenda kaangalie risiti zako za kununua Luku kuanzia 2014 kurudi nyuma utaona kuwa ulikuwa ukikatwa kodi kwa ajili ya REA, na vijiji vingi sana vimepatiwa umeme wa REA kabla ya 2015

Na seriously unaamini kuwa SGR ni maamuzi magumu ya JPM?

Ngoja nikueleze sasa kuhusu SGR, SGR ni mradi uliobuniwa, na serikali ya JK, na hata Memoraundum of understanding ya awali kabisa kati yetu na EXIM bank ya China ya mkopo nafuu wa miaka 20 ulishasainiwa na serikali ya JK. Huyu wa sasa alipoingia madarakani alifanya kubadiri mkataba tu, badala ya wachina akawapa Waturuki

Angalia hapa Chini JK anahangaikia SGR kabla hata JPM hajawahi kudhani kuwa anaweza kuwa rais

View attachment 1173856
Ukizungumzia kubuni hata Dr Slaa kwenye kampeni 2010 moja ya vipaumbele vyake ilikuwa ni hiyo reli, kwani mkataba wa bandari ya Bwagamoyo haukuwa umesainiwa? kwa nini haijajengwa basi? mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, SGR ya JK haikuwa na utofauti na hiyo ya Kenya, ya JPM ni yetu sisi na si ya wachina.
 
2020 kuna safari gani, hiyo ya kutegemea kufanya ukatili kwa uratibu wa vyombo dola? Hamuwezi ushindani na hamtakaa muweze, sana sana mnategemea madaraka ya rais yafanye hujuma ili mfanikiwe kutangazwa washindi. Hakuna mtu mwenye akili timamu atasimama kwenye mstari wa kura ashiriki huo ushenzi unaoitwa uchaguzi. Kama mlipanga kuua watu hizo mbinu elekezeni kwenye mambo mengine.
Tulia kaka nchi ipo kwenye direction ya kasi 5
 
Back
Top Bottom