Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Rais wa Tz JPM yupo live akizindua soko la Tumbaku huko Malawi,anahutubia kwa kutumia lugha yetu ya Kiswahili huku kukiwa na mkalimani.
Je hii ni namna ya kulinda lugha na kuitangaza lugha?
Zikomo kwambili
Je hii ni namna ya kulinda lugha na kuitangaza lugha?
Zikomo kwambili