Rais Magufuli ameleta mtazamo mpya wa Lugha ya Kiswahili?

Rais Magufuli ameleta mtazamo mpya wa Lugha ya Kiswahili?

Rais wa Tz JPM yupo live akizindua soko la Tumbaku huko Malawi,anahutubia kwa kutumia lugha yetu ya Kiswahili huku kukiwa na mkalimani.

Je hii ni namna ya kulinda lugha na kuitangaza lugha?

Zikomo kwambili
Zikomo-ila anazungumza kiswahili si kwa kuwa anakipenda sana,ila kwa kuwa amekutana na wanaojua kienglish-Naamini leo hatupii yale maneno yake ya catalysit in chemistry au interpenua-bali anazungumza kiswahili 100%
 
Zikomo-ila anazungumza kiswahili si kwa kuwa anakipenda sana,ila kwa kuwa amekutana na wanaojua kienglish-Naamini leo hatupii yale maneno yake ya catalysit in chemistry au interpenua-bali anazungumza kiswahili 100%
😁😁😁😁
 
Back
Top Bottom