Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahhaa malizia tuDah! Afadhali maana.......
"PhD fake".....usijaribu kugushi hii kitu inayotamkwa Phd, utadhalilika vizazi na vizazi....,Rais wa Tz JPM yupo live akizindua soko la Tumbaku huko Malawi,anahutubia kwa kutumia lugha yetu ya Kiswahili huku kukiwa na mkalimani.
Je hii ni namna ya kulinda lugha na kuitangaza lugha?
Zikomo kwambili
Tutakuwa tunaevunja katiba Mkuu
Mhe rais Dr John Pombe ni kiongozi mzalendo pekee wa taifa hili aliyebaki nashauri mwakani usifanyike uchaguzi wa Rais
Hii ina maana moja tu....kuongea kingereza haimaanishi wewe umesoma sana au hujasoma.Rais wa Tz JPM yupo live akizindua soko la Tumbaku huko Malawi,anahutubia kwa kutumia lugha yetu ya Kiswahili huku kukiwa na mkalimani.
Je hii ni namna ya kulinda lugha na kuitangaza lugha?
Zikomo kwambili
[emoji3][emoji3][emoji3]Sasa ulitaka atumie lugha gani wakati English is not reachable, hivi kiingereza kiingelikuwa kinapanda angetumia kiswahili?
Hahaaa ila kiinglishi chake ni kizuri kuliko Cha rais wa ChinaBora kwa kweli. Jana kaongea english mbovu sana.
Kumbuka Tanzania English ni official language.Hahaaa ila kiinglishi chake ni kizuri kuliko Cha rais wa China
Ila Kuna option ya kiswahili. Still bado on raiti tirakiKumbuka Tanzania English ni official language.