Baba Mtakatifu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2017
- 1,332
- 2,465
Kwaiyo anaongea Kiswahili alaf anatafsiriwa kwa English,Duuuuh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Heri azungumze Kiswahili, jana "alizungumza" Kizungu baada ya kupokelewa and it was embarrasing to watch my president(PhD) doing a speech in such a terrible English!Rais wa Tz JPM yupo live akizindua soko la Tumbaku huko Malawi,anahutubia kwa kutumia lugha yetu ya Kiswahili huku kukiwa na mkalimani.
Je hii ni namna ya kulinda lugha na kuitangaza lugha?
Zikomo kwambili
Ili Rais Magufuli aweze kweli kustahili sifa ya kukuza kiswahili, itabidi afanye zaidi ya kuhutubia kwa kiswahili katika dhifa za kimataifa. Kuna mengi ya kufanya katika kuimarisha kiswahili, hasa katika maeneo ya kuimarisha fani ya ushairi, tenzi na ngonjera ambayo siku hizi imefifia sana kulingansha na enzi zile za nyuma. kutafuta wenye vipaji katika Kiswahili na kuwapa msaada unaohitajika ili waweze kufanya mengi na ya kuliinua taifa letu. watu wa aina ya akina Mnyampala, Shaaban Robert, nk. mpaka hivi sasa wakenya ndio wanaongoza kwa kufundisha Kiswahili huko nje, wakati kiswahili chao mmhhh... kwa hiyo tunahitaji kukuza kswahili sanifu. Magufuli aoneshe njia katika hilo. siyo lazima yeye mwenyewe aandike Tenzi na Tungo kama Mwalimu Nyerere, lakini anaweza kuweka nguvu kubwa kuwawezesha wenye vipaji vyao.Rais wa Tz JPM yupo live akizindua soko la Tumbaku huko Malawi,anahutubia kwa kutumia lugha yetu ya Kiswahili huku kukiwa na mkalimani.
Je hii ni namna ya kulinda lugha na kuitangaza lugha?
Zikomo kwambili
Najaribu kuwaza tu mkuu,hakika nchi hii Mungu atuhurumie wenzetu wote waliotawaliwa na Waingereza wanapenda lugha yao ya taifa na kiingereza pia kwa maana ya kuifundishia na hawana tatizo la hilo ila hapa ukishindwa kiingereza utasikia lugha ya mkoloni hiyo teh,teh,teh...........Rahisi wa kwanza asiyejua ng'eng'e, tena ameisha wahi kuwa mwalimu!
Nani alikwambia kuwa englishi ni lugha yao ya pili chinaHahaaa ila kiinglishi chake ni kizuri kuliko Cha rais wa China
Unaweza ukawa sahihi lakn cha msingi na sekondari n kwamba " lugha siyo kipimo cha elimu au uelewa wa mtu"Heri azungumze Kiswahili, jana "alizungumza" Kizungu baada ya kupokelewa and it was embarrasing to watch my president(PhD) doing a speech in such a terrible English!
Tunapata font phageintapwenywaaa !
kizungu unachokiparamia kikikushinda hutoacha kuwa mzalendo wa kiswahili
ila bado kizee kinaforce kufanya code switching na code mixing !
Hili swali Linanihusu Mimi?Nani alikwambia kuwa englishi ni lugha yao ya pili china
HAKUNA MWAKA AMBAO WATANZANIA WALIINGIA MKENGE KAMA MWAKA 2015.MUNGU TUEPUSHE NA ADHABU KALI MOTONIRais wa Tz JPM yupo live akizindua soko la Tumbaku huko Malawi,anahutubia kwa kutumia lugha yetu ya Kiswahili huku kukiwa na mkalimani.
Je hii ni namna ya kulinda lugha na kuitangaza lugha?
Zikomo kwambili
Huwezi amini amesoma Bachelor, Master na PhD kwa kingereza lakini hawezi kuunda sentensi ya kingereza😆😆😆Mhe rais Dr John Pombe ni kiongozi mzalendo pekee wa taifa hili aliyebaki nashauri mwakani usifanyike uchaguzi wa Rais
Uzalendo ni kuzungumza Kiswahili?Mhe rais Dr John Pombe ni kiongozi mzalendo pekee wa taifa hili aliyebaki nashauri mwakani usifanyike uchaguzi wa Rais
Kwa Tz siyo story,kuna Dr pale udsm hawezi kufundisha dk 1 kwa KiingilishiHuwezi amini amesoma Bachelor, Master na PhD kwa kingereza lakini hawezi kuunda sentensi ya kingereza😆😆😆
Hili nalo gumu sana,maana ducuments zetu zote ni KiingilishiUzalendo ni kuzungumza Kiswahili?
Mbona imekwisha vunjwa sana tu!Tutakuwa tunaevunja katiba Mkuu
😁😁😁😁Here work only [emoji23]