Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Dah! Afadhali maana.......
Bora kuliko kuongea Kiinglish ukaongea pumbaBora tu aongee Kiswahili, lugha ya Malkia haiwezi.
Zikomo sitipezane pambuyo!Rais wa Tz JPM yupo live akizindua soko la Tumbaku huko Malawi,anahutubia kwa kutumia lugha yetu ya Kiswahili huku kukiwa na mkalimani.
Je hii ni namna ya kulinda lugha na kuitangaza lugha?
Zikomo kwambili
Linguist walishaanza kufanya yao tokea jana.. Everyone have......Dah! Afadhali maana.......
Linguist walishaanza kufanya yao tokea jana.. Everyone have......
Linguistic ya mkemia wa mafuta ya korosho haijakaa vizuri mkuuMaana nn mkuu,,,?
Zikomo-ila anazungumza kiswahili si kwa kuwa anakipenda sana,ila kwa kuwa amekutana na wanaojua kienglish-Naamini leo hatupii yale maneno yake ya catalysit in chemistry au interpenua-bali anazungumza kiswahili 100%Rais wa Tz JPM yupo live akizindua soko la Tumbaku huko Malawi,anahutubia kwa kutumia lugha yetu ya Kiswahili huku kukiwa na mkalimani.
Je hii ni namna ya kulinda lugha na kuitangaza lugha?
Zikomo kwambili
ππππZikomo-ila anazungumza kiswahili si kwa kuwa anakipenda sana,ila kwa kuwa amekutana na wanaojua kienglish-Naamini leo hatupii yale maneno yake ya catalysit in chemistry au interpenua-bali anazungumza kiswahili 100%
Linguistic ya mkemia wa mafuta ya korosho haijakaa vizuri mkuu
Alipambana sanaπππJana kafika na mbwmbwe za kuingea englishi ya kisukuma leo kaona ataaibika ngoja atafte mkalimani
View attachment 1080666
Tutakuwa tunaevunja katiba MkuuMhe rais Dr John Pombe ni kiongozi mzalendo pekee wa taifa hili aliyebaki nashauri mwakani usifanyike uchaguzi wa Rais