Zikomo pa mwambaRais wa Tz JPM yupo live akizindua soko la Tumbaku huko Malawi,anahutubia kwa kutumia lugha yetu ya Kiswahili huku kukiwa na mkalimani.
Je hii ni namna ya kulinda lugha na kuitangaza lugha?
Zikomo kwambili
Rais wa Tz JPM yupo live akizindua soko la Tumbaku huko Malawi,anahutubia kwa kutumia lugha yetu ya Kiswahili huku kukiwa na mkalimani.
Je hii ni namna ya kulinda lugha na kuitangaza lugha?
Zikomo kwambili
Yani hapo kabudi anamtazama alafu kama anajiandaa kumkumbusha kama kuna msamiati atakuwa amekosea amrekebisheJana kafika na mbwmbwe za kuingea englishi ya kisukuma leo kaona ataaibika ngoja atafte mkalimani
View attachment 1080666
Malawi wanaongea Kileno. Unadhani angetumia lugha gani?Rais wa Tz JPM yupo live akizindua soko la Tumbaku huko Malawi,anahutubia kwa kutumia lugha yetu ya Kiswahili huku kukiwa na mkalimani.
Je hii ni namna ya kulinda lugha na kuitangaza lugha?
Zikomo kwambili
Kileno ni lugha gani mkuu? Kama ulimaanisha kireno aliyekwambia amekudanganya ungejiongeza hata kugugo tuMalawi wanaongea Kileno. Unadhani angetumia lugha gani?
Aaah ingilishi jamani ilikuja na Dr Livingstone,tuvumiliane tuYani hapo kabudi anamtazama alafu kama anajiandaa kumkumbusha kama kuna msamiati atakuwa amekosea amrekebishe
Ndiyo maana nikasema azungumze tu Kiswahili na Kisukuma aachane na Kiingereza, sasa wewe lecture yote hii unaniletea ya kazi gani shehe!Unaweza ukawa sahihi lakn cha msingi na sekondari n kwamba " lugha siyo kipimo cha elimu au uelewa wa mtu"
Kuwa Rais haikufanyi ww ujue kila kitu ,you can be a Phd holder and still unable to ponderize things using English , English is our second language ,we learn it for educational purpose only ,being so our mother tongue has a great influence not only in kiswahili (national language ) but also in foreign languages .