Tetesi: Rais Magufuli ameshtukia njama za RC Mtaka na Naibu Waziri Mabula

Tetesi: Rais Magufuli ameshtukia njama za RC Mtaka na Naibu Waziri Mabula

Kambi ya kutafuta uongozi UVCCM taifa inayoongozwa na mkuu wa Mkoa wa Simiyu Antony Mtaka na naibu waziri wa Ardhi Angelina Mabula imepata pigo baada ya Rais kugundua kuwa kambi hiyo ilikuwa na mpango wa kutumia sherehe za mwenge kitaifa kumfanyia kampeni mgombea wao.

Duh hii ndio reason behind the scene kweli mitandao inatumaliza. Alaaniwe mwasisi wa mitandao ya kifedhuli nchini

Nadhani reasoning ya mleta mada ipo hapo kwenye bold.
 
Hebu tupisheni huko na uvccm yenu.. Ngoja Magu awanyooshe.. Hakuna ujanja ujanja awamu hii.
 
Kambi ya kutafuta uongozi UVCCM taifa inayoongozwa na mkuu wa Mkoa wa Simiyu Antony Mtaka na naibu waziri wa Ardhi Angelina Mabula imepata pigo baada ya Rais kugundua kuwa kambi hiyo ilikuwa na mpango wa kutumia sherehe za mwenge kitaifa kumfanyia kampeni mgombea wao.

Wageni wote walialikwa kimkakati ikiwemo makatibu wa vijana wa wilaya pamoja na wakuu wa wilaya zote kwa kutumia mgongo wa Mtaka kutamba kuwa Magufuli anamsikiliza yeye kuhusu mambo ya UVCCM.

Kitendo cha Rais kuzuia wakuu wa wilaya kwenda simiyu na yeye mwenyewe kuahirisha kwenda kinadhihirisha jinsi Mkuu wa nchi alivyo na mtandao mzuri wa taarifa na nia yake safi ya kukijenga chama.
Majungu tupu
 
Ndo maana mwenge unakosa mvuto sababu ya masiasa ya masisiemu ni hovyohovyo sasa huyo mother anautaka ukinara wa uvccm ngoja aje awaibie makura kama alivyo mfanya KIWIA mbona anaonekana kijeba kwenye uvccm bado yanki au sababu ya anavyo nyoa KISHABA RANKS mapanki
 
Ndo maana mwenge unakosa mvuto sababu ya masiasa ya masisiemu ni hovyohovyo sasa huyo mother anautaka ukinara wa uvccm ngoja aje awaibie makura kama alivyo mfanya KIWIA mbona anaonekana kijeba kwenye uvccm bado yanki au sababu ya anavyo nyoa KISHABA RANKS mapanki
Kiwia ndio nani mkuu?
 
Kambi ya kutafuta uongozi UVCCM taifa inayoongozwa na mkuu wa Mkoa wa Simiyu Antony Mtaka na naibu waziri wa Ardhi Angelina Mabula imepata pigo baada ya Rais kugundua kuwa kambi hiyo ilikuwa na mpango wa kutumia sherehe za mwenge kitaifa kumfanyia kampeni mgombea wao.

Wageni wote walialikwa kimkakati ikiwemo makatibu wa vijana wa wilaya pamoja na wakuu wa wilaya zote kwa kutumia mgongo wa Mtaka kutamba kuwa Magufuli anamsikiliza yeye kuhusu mambo ya UVCCM.

Kitendo cha Rais kuzuia wakuu wa wilaya kwenda simiyu na yeye mwenyewe kuahirisha kwenda kinadhihirisha jinsi Mkuu wa nchi alivyo na mtandao mzuri wa taarifa na nia yake safi ya kukijenga chama.
Mtaka ndio kawaalika? Na utaratibu wa huko nyuma ulikuwaje wakati wa uzimaji wa mwenge?
 
ccm wana tatizo si bure, kwa hiyo hata mwenge ni wao sio mali ya serikali tena.. mambo ya uvccm kwa nini yakafnyike kwenye shughuli za mwenge?! Sasa itabidi siku mwenge ukiingia mahali ccm tu ndio washughulike na moto wao vyama vingine viendelee na shughuli za kujenga nchi kwenye halmashauri zinazoongozwa na upinzani, maana hawa ccm ni wabinafsi sana kila kitu nchi hii chao,.
 
Back
Top Bottom