Kila kitu kwa CCM ni siasa........kwao mambo ya kitaifa lazima siasa ziwekwe mbele.
Kambi ya kutafuta uongozi UVCCM taifa inayoongozwa na mkuu wa Mkoa wa Simiyu Antony Mtaka na naibu waziri wa Ardhi Angelina Mabula imepata pigo baada ya Rais kugundua kuwa kambi hiyo ilikuwa na mpango wa kutumia sherehe za mwenge kitaifa kumfanyia kampeni mgombea wao.
Duh hii ndio reason behind the scene kweli mitandao inatumaliza. Alaaniwe mwasisi wa mitandao ya kifedhuli nchini
Mkuu unataka kusema kwamba hujui Serikali ni ya kijani?Mwenge wa Serikali hayo ya jampa ya kijani yanafuata nini Simiyu?
Majungu tupuKambi ya kutafuta uongozi UVCCM taifa inayoongozwa na mkuu wa Mkoa wa Simiyu Antony Mtaka na naibu waziri wa Ardhi Angelina Mabula imepata pigo baada ya Rais kugundua kuwa kambi hiyo ilikuwa na mpango wa kutumia sherehe za mwenge kitaifa kumfanyia kampeni mgombea wao.
Wageni wote walialikwa kimkakati ikiwemo makatibu wa vijana wa wilaya pamoja na wakuu wa wilaya zote kwa kutumia mgongo wa Mtaka kutamba kuwa Magufuli anamsikiliza yeye kuhusu mambo ya UVCCM.
Kitendo cha Rais kuzuia wakuu wa wilaya kwenda simiyu na yeye mwenyewe kuahirisha kwenda kinadhihirisha jinsi Mkuu wa nchi alivyo na mtandao mzuri wa taarifa na nia yake safi ya kukijenga chama.
Hahaha mchawi mpe mwanao akulelee.Mnashikana uchawi wenyewe
Mleta mada anasema walikuwa wanataka kutumia mkutano huo kupenyeza yao.Kila kitu kwa CCM ni siasa........kwao mambo ya kitaifa lazima siasa ziwekwe mbele.
Na wali upikwe hahahaha...Na mashati ya KIJANI yavaliwe....
Sijui kashfa yake ila nilisema hivyo kutokana na kauli ya mleta mada,kuwa jamaa alitaka kujisafisha........labda wenye taarifa kamili juu yake watatuambiaMkuu Kafman kwani Mtaka ana kashfa gani?
Aliwahi kuimba Mr II kwamba panapofuka moshi lazima kuna moto chini.UVCCM kwafutuka
Kiwia ndio nani mkuu?Ndo maana mwenge unakosa mvuto sababu ya masiasa ya masisiemu ni hovyohovyo sasa huyo mother anautaka ukinara wa uvccm ngoja aje awaibie makura kama alivyo mfanya KIWIA mbona anaonekana kijeba kwenye uvccm bado yanki au sababu ya anavyo nyoa KISHABA RANKS mapanki
Mtaka ndio kawaalika? Na utaratibu wa huko nyuma ulikuwaje wakati wa uzimaji wa mwenge?Kambi ya kutafuta uongozi UVCCM taifa inayoongozwa na mkuu wa Mkoa wa Simiyu Antony Mtaka na naibu waziri wa Ardhi Angelina Mabula imepata pigo baada ya Rais kugundua kuwa kambi hiyo ilikuwa na mpango wa kutumia sherehe za mwenge kitaifa kumfanyia kampeni mgombea wao.
Wageni wote walialikwa kimkakati ikiwemo makatibu wa vijana wa wilaya pamoja na wakuu wa wilaya zote kwa kutumia mgongo wa Mtaka kutamba kuwa Magufuli anamsikiliza yeye kuhusu mambo ya UVCCM.
Kitendo cha Rais kuzuia wakuu wa wilaya kwenda simiyu na yeye mwenyewe kuahirisha kwenda kinadhihirisha jinsi Mkuu wa nchi alivyo na mtandao mzuri wa taarifa na nia yake safi ya kukijenga chama.
Wanasema acha watu wazikaneMmmh ngoja nikae niwasikilize wanavyopakana matope