Rais Magufuli amnyooshea kidole Mwele Malecela asema alitumiwa na mabeberu kutangaza ugonjwa 'hewa' wa Zika

Rais Magufuli amnyooshea kidole Mwele Malecela asema alitumiwa na mabeberu kutangaza ugonjwa 'hewa' wa Zika

Hivi Tanzania mamlaka huwa zinafanyaje kazi?

Mathalani kama kuna mlipuko wa ugonjwa mkubwa kama Zika, si kwamba kabla ya kujulikana kwa wananchi Rais inabidi afahamishwe na waziri husika?

Ilikuaje Mwele kutangaza tamko kubwa kama lile pasipo kuwa na backup ya waziri wake?
Hapo waziri wa kipindi icho alimtoa kafara uyo mkurugenzi katika kutangaza
 
Bado ana chuki na yule mtoto masikini! Mungu atamlaani Jiwe
Mwele siyo mtoto! Ni bibi yule. Kumbuka alihitimu Udsm 1986 akiwa na miaka 23 au 24, Leo bado ni mtoto?? Alihitimu mwaka mmoja na aliyerithi nafasi yake pale NIMRI profesa Mgaya!!
 
Akielezea ni kwa namna gani humpelekea kufanya kazi hadi usiku Rais Magufuli amesema katika vita hasa ya kiuchumi adui mbaya zaidi hutoka ndani kwa maana ndiye huwa kiungo wa maadui wa nje.

Ametolea mfano wa aliyekuwa Mkurugenzi wa NIMR TANZANIA Bi Mwele Malecela alilazimika kumfuta kazi baada ya yeye kutoa taarifa za uongo kwamba wakati ule kulikuwa na ugonjwa wa Zika ilhali haikuwa kweli.'Je huo ugonjwa wa Zika ulionekana tena!?'alihoji Mheshimiwa Rais!

Amesema hali hiyo ya Mwele kuutangazia uongo Ulimwengu kuhusu uwepo wa zika Nchini Tanzania ilimkwaza sana na dhahili alionekana kutumiwa na washindani wa vita ya kiuchumi na Nchi yetu.

'Na ndiyo maana baada ya kumfuta kazi wiki moja baadae waliomtumia walimpa kibarua kingine'alisema Mheshimiwa Rais.
Hivi baada ya muda kidogo homa ya zika ililipuka nchini au haikulipuka? Nimesahau kidogo mwenye jibu tafadhari.
 
Akielezea ni kwa namna gani humpelekea kufanya kazi hadi usiku Rais Magufuli amesema katika vita hasa ya kiuchumi adui mbaya zaidi hutoka ndani kwa maana ndiye huwa kiungo wa maadui wa nje.

Ametolea mfano wa aliyekuwa Mkurugenzi wa NIMR TANZANIA Bi Mwele Malecela alilazimika kumfuta kazi baada ya yeye kutoa taarifa za uongo kwamba wakati ule kulikuwa na ugonjwa wa Zika ilhali haikuwa kweli.'Je huo ugonjwa wa Zika ulionekana tena!?'alihoji Mheshimiwa Rais!

Amesema hali hiyo ya Mwele kuutangazia uongo Ulimwengu kuhusu uwepo wa zika Nchini Tanzania ilimkwaza sana na dhahili alionekana kutumiwa na washindani wa vita ya kiuchumi na Nchi yetu.

'Na ndiyo maana baada ya kumfuta kazi wiki moja baadae waliomtumia walimpa kibarua kingine'alisema Mheshimiwa Rais.
Yeye alitoa matokeo ya tafiti, sasa kuuliza ugonjwa upo au la , hilo swali lingejibiwa na tafiti.
Kumfukuza na wengine kumchukua, inaonesha alivyokuwa na umuhimu kwa Dunia na si Tanzania tu. Tanzania ilitupa dhahabu, wengine wenye shida nayo wakaiokota na sasa inawafaa
 
rais anajenga reli, mabwawa ya umeme, elimu bure bado unamuona wa ajabu?
Tunajua and yes tunajua wapigaji wengi wanapitia miradi ya ujenzi tu! alionja alipokuwa wizara ya ujenzi. Huyu ni mpigaji tu. ref. Vote 20 nani anajua kilicho ndani ya kodi yetu iliyopo vote 20? Hili ni jizi tu!!
 
Back
Top Bottom