Budget za halmashauri hutekelezwa kwa chini ya 50%. Maanayake pesa inakusanywa na halmashauri yote hupelekwa hazina kuu. Halafu halmashauri inaandaa budget yake na kuipeleka serikali kuu. Pesa inayorudi halmashauri inakuwa pungufu ya mahitaji zaidi ya 50%