Rais Magufuli amsamehe Kaimu Mkurugenzi Halmashauri ya Rufiji aliyetoa taarifa ya uongo kuhusu ubovu wa gari la wagonjwa!

Kwani gari likiharibika Rais ndiye anatoa pesa za matengenezo hiyo halamashauri haina bajeti mbona watu mnajitoa ufahamu hivo
Budget za halmashauri hutekelezwa kwa chini ya 50%. Maanayake pesa inakusanywa na halmashauri yote hupelekwa hazina kuu. Halafu halmashauri inaandaa budget yake na kuipeleka serikali kuu. Pesa inayorudi halmashauri inakuwa pungufu ya mahitaji zaidi ya 50%
 
Ufafanuzi mzuri!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…