Rais Magufuli amtaka mfanyabiashara Mo Dewji kujali wafanyakazi wake kama anavyofanya kwenye timu ya mpira

Rais Magufuli amtaka mfanyabiashara Mo Dewji kujali wafanyakazi wake kama anavyofanya kwenye timu ya mpira

Kulipa mishahara mizuri wafanyakazi sio jambo la mchezo! Yeye Increment tu ya shilling elfu sita (6) kwa watumishi wa umma ameshindwa miaka 4 sasa!
 
Akili Kama hizi ni shida sana
Mkuu this is free market governed by forces of demand and supply!! unaona mshahara mdogo alafu unaomba kazi, kwani umelazimishwa kuomba? je alipoacha kazi alinyimwa na kulazimishwa abaki?

Akili kama hii yako ni tatizo kubwa sana!!

Ukiona maslahi hakuna acha kazi au usiombe kabisa na sio unaomba alafu unaanza kulia lia kama mtoto!!
 
Mkuu this is free market governed by forces of demand and supply!! unaona mshahara mdogo alafu unaomba kazi, kwani umelazimishwa kuomba? je alipoacha kazi alinyimwa na kulazimishwa abaki?

Akili kama hii yako ni tatizo kubwa sana!!

Ukiona maslahi hakuna acha kazi au usiombe kabisa na sio unaomba alafu unaanza kulia lia kama mtoto!!
Hata hueleweki
 
Yeye mbona kashindwa kuwajali watumishi wa umma?
 
Kwa kweli maana jamaa hajambo kwa kulipa mishahara midogo.
 
Msola angefanya kazi kwake ingekuwa anapunja wafanyakazi wake.Anawapunja kulinganisha na nani?Usilolijua ni usiku wa giza. Mo Dewji ameajiri watu 30,000 umesikia wakilalamika?Wacheni majungu .Kila mfanyajazi analipwa kutokana na qualification zake.
 
Katika Kampuni zinazolipa vibaya hapa Tanzania nadhani huyu anaongoza, dogo moja kamaliza kadigrii kake mshahara kapewe laki tatu na nusu kwa cheo cha meneja. Nikamwambia acha usenge kaacha sahizi yupo sehemu take home yake 900,000.
Kwenye mishahara Magu na mo watakuwa walewale, Magu naye kaongeza mara ngapi?
 
"Nchi yetu ni tajiri, Watanzania tunaweza, Jengo hili limegharimu Mabilioni ya fedha zaidi ya bilioni 700, fedha hizi zimetolewa na Watanzania kwa asilimia 100, ambapo asilimia 15 fedha taslimu na 85% tumekopa , na mkopo huu utarejeshwa kupitia kodi zetu" - JPM #UzinduziTerminal3
 
Katika Kampuni zinazolipa vibaya hapa Tanzania nadhani huyu anaongoza, dogo moja kamaliza kadigrii kake mshahara kapewe laki tatu na nusu kwa cheo cha meneja. Nikamwambia acha usenge kaacha sahizi yupo sehemu take home yake 900,000.

Muhindi ni muhindi tu. Hakuna namna. Halafu kuna watu wanasema anasaidia watu. Ukiwaangalia wanaofanya kazi kwenye hivyo viwanda unaweza kulia
 
Rais Magufuli amtaka Mo Dewji kujali maslahi ya wafanyakazi wake kama Anavyoijali Simba

Rais Magufuli amemtaka Mfanyabishara Mohamed Dewji (Mo Dewji), kuhakikisha anajali maslahi ya wafanyakazi wake kama anavyofanya katika Timu ya mpira wa miguu ya Simba Sports Club ambapo amemsihi kwamba wafanyakazi hao nao wanastahili kupata maslahi yao.

Rais magufuli amesema ivho leo Alhamisi Agosti 1, alipokuwa akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa Kiwanda cha Kusaga Nafaka cha 21st Century Food and Packaging, kilichopo Kurasini jijini Dar es Salaam, kinachomilikiwa na mfanyabiashara huyo.

“Mohamed Dewji ninakupongeza sana katika hili na ninakuomba uwajali wananchi wanaofanya kazi hapa hasa maslahi yao kwahiyo unapokuwa unaangalia maslahi ya Simba uangalie pia masilahi ya wafanyakazi wa 21st century food and packaging,” amesema.

Aidha ameiataka Kampuni ya Metl Group iliyopo chini ya mfanyabishara huyo kuachana na utaratibu walionao wa kuagiza ngano kutoka nje ya nchi na badala yake kuanza kulima ngano nchini kwani kwa kufanya hivyo itasawadia Watanzania wanaohitaji ajira.

“Ninatoa wito kwa Kampuni ya Metl Group chini ya Mohamed Dewji, nilipokuwa ninapewa maelekezo nmeambiwa mahindi yanatoka Tanzania ambayo yanatengenezwa tani 300 kwa siku lakini ngano inayotengeneza tani 1400 kwa siku inaagizwa kutoka nje hii tuibadilishe,” amesema.

“Katika maisha yangu nilikua ninafahamu kulikuwa na mashamba makubwa sana ya ngano kule Manyara lakini sasa hivi hayatumiki na kuna wakati wawekezaji wakijaribu wanachomewa moto sasa nitoe wito hata kwa Kampuni yako muanze kulima ngano kwani mtakuwa mmesaidia Watanzania wengi,” amesema.

Mhe. Rais Magufuli amefungua kiwanda cha kusaga unga wa mahindi na ngano cha 21st Century Food Packaging chenye uwezo wa kusaga tani 1,500 kwa siku.
▪Mo aahidi kumuunga mkono Mhe. Rais Magufuli kwa kuwekeza shil Bil 860 utakaozalisha ajira 100,000 ifikapo mwaka 2025
View attachment 1169472

Magufuli hana moral authority ya kumwambia mwajiri yeyote ajali wafanyakazi wake. Huwezi kuwahubiria watu maji wakati wewe unakunywa mvinyo.
 
Kwa wale wakristo, wanahitwa wanasheria.
Luke 11:46 New International Version (NIV)
Jesus replied, “And you experts in the law, woe to you, because you load people down with burdens they can hardly carry, and you yourselves will not lift one finger to help them.

Luke 11:46:
Akasema, Nanyi wana-sheria, ole wenu, kwa sababu mwawatwika watu mizigo isiyochukulika, wala ninyi wenyewe hamwigusi mizigo hiyo hata kwa kimoja cha vidole vyenu.
Umekaweza, nafikri dish la haka kazee litakuwa limecheza big time! Huwezi kuwaambia wenzio wawajali watumishi wao kimaslahi wakati kwako umekata kwamba siyo kipaombele chako! Aache usanii huyu Mzee awaongezee na yeye!
 
Katika Kampuni zinazolipa vibaya hapa Tanzania nadhani huyu anaongoza, dogo moja kamaliza kadigrii kake mshahara kapewe laki tatu na nusu kwa cheo cha meneja. Nikamwambia acha usenge kaacha sahizi yupo sehemu take home yake 900,000.
Huyo alikudanganya, Mo analipa mishahara midogo lakini as manager of anything huwezi kulipwa that salary. Niliwahi kufsnya kazi nao, najua mishahara yao.
 
Jiwe anawajali wafanyakazi wake? Mbona nasikia hakuna nyongeza za mishahara, hakuna kupandishwa vyeo, marupurupu yameminywa!. Man, don't preach water and yet you drink wine!
Barrick si mwekezaji wa ndani. Tungekuwa tunawatendea na tuwawekea wawekezaji na wafanyabiashara wa ndani mazingira mazuri yenye kuhamasisha uwekezaji kama tunavyowafanyia wale wa nje nna uhakika hali ingekuwa tofauti.
 
Back
Top Bottom