Yaani kutoka kuwa Mkuu wa Jkt mpaka kuwa Mkuu wa jeshi la akiba la Mgambo! Hongera zake.
ooh okey,vema.mimi ni kijana wa kizazi hiki cha kuhojiDuh we ni kiazi aisee. Hizo tetesi umezikia wapi na lini? Huyo ni Mura
Lt general wapo Wawili Kwa sasaLieutenant General ni wangapi Tanzania.. Maana nasikiaga tu Major General, ila Lt. General sijawasikia na ni cheo kikubwa, kutoka Major General unaenda Lt. General alafu unaenda General..!!
Itakuwa JKT Mgambo pale Handeni TangaMakao makuu ya mgambo yako wapi aisee ?
Bashite kwa kweli inaishangaza Dunia amefanya mabaya mengi lakini hatumbuliwiInawezekana ni jambo dogo tu amefanya. Hizi nafasi za uteuzi wakati mwingine zinategemea damu za mteauji na mteuliwa zinavyoiviana. Mbona Makonda anafanya madudu lakini yupo tu!
Mdogo mdogo kuelekea kileleniHuyu mbuge si ajabu anaweza mrithi mabeyo
Yupo miaka yote na huwa kila wilaya kuna wakuu wa mgambo ambao huanzia cheo cha capt maj mpak Lt colonel na mkuu wao huwa makao makuu ya Jwtz upanga ni cheo kisicho na masilahiHahaaa kumbe huwa kuna mkuu wa jeshi la mgambo sikujua.
Lt general wapo Wawili Kwa sasa
Makao makuu ya mgambo yako wapi aisee ?
Wengi sana na wanafika hata 10Na major general je wapo wangapi
Yaani kutoka kuwa Mkuu wa Jkt mpaka kuwa Mkuu wa jeshi la akiba la Mgambo! Hongera zake.
wangesema kamuweka msukuma mwenzie ila sasa kamtoa msukuma story tofauti ila mimi naona poa haivutii mkuu wa majeshi na jkt wote wawe jamii moja ...pia .inawezekana kapelelekwa huko mgambo kuliimarisha jeshi hilo la akiba mambo yao wanayajua wenyewe sisi hapa ni ni speculation tu
Huyu kuna tetesi ni mtutsi...anaejua historia yake atuwekee tumfahamu vizuri tusije kujiingiza kwenye matatizo yanayompata mzee m7 na uganda yake dhidi ya rwanda
View attachment 1205820
Noma sanaYupo miaka yote na huwa kila wilaya kuna wakuu wa mgambo ambao huanzia cheo cha capt maj mpak Lt colonel na mkuu wao huwa makao makuu ya Jwtz upanga ni cheo kisicho na masilahi
Mdogo mdogo kuelekea kileleni
Tayali wako wengi wa kutosha tangu enzi za Mti Mkavu. Cha msingi ni kuamini hii ni nchi yetu sote kila mtu aitumikie kwa weledi anapopata nafasi popote kwani lolote likitokea hakuna cha msukuma wala mmakonde tutazama woteAngeacha hivyo hivyo wasukuma nasisi tuwe wengi jeshini
Huyu kuna tetesi ni mtutsi...anaejua historia yake atuwekee tumfahamu vizuri tusije kujiingiza kwenye matatizo yanayompata mzee m7 na uganda yake dhidi ya rwanda
View attachment 1205820