TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Mkuu jisumbue kidogo kuangalia hiyo clip...na muangalie kwa makini...sura yake na 'lugha ya mwili' wake pia sikiliza tune ya sauti yake wakati anafafanua suala la wafanyakazi wa NIDA waliositishiwa mikataba yao. Msikilize vizuri akijibu swali alipoulizwa anawashauri nini wale wa taasisi nyingine za serikali ili kuepusha songombingo kama za kile kilichoikumba NIDA.Strong institutions kwa katiba ya 1977 tuliyonayo?
Keep on dreaming
Da! Mnafuatilia! Safi sana bora kuwa na wakosoaji wanaojua vyema mfumo. Japo sio rahisi kuwemo walio na historia ya kuliibia taifa japo mnaijua vizuri system.No thank you! Walioteuliwa mwezi August/september,just a month prior to general election, this folk was amongst! Alipewa u-director TEHAMA pale NEC wakati wa uchaguzi, mwaka jana, alitokea BoT!
Fatilia vema umjue.
Hakuna structural reforms that can work in a third world country kama Tanzania bila kubadilisha katiba iliopo ambayo everyone is literally above the lawMkuu jisumbue kidogo kuangalia hiyo clip...na muangalie kwa makini...sura yake na 'lugha ya mwili' wake pia sikiliza tune ya sauti yake wakati anafafanua suala wafanyakazi wa NIDA waliositishiwa mikataba yake. Msikilize vizuri akijibu swali alipoulizwa anawashauri nini wale wa taasisi nyingine za serikali ili kuepusha songombingo kama za kile kilichoikumba NIDA.
Kwa nn kawaruka wakurugenzi kibao wa TISS na kuja kumteua mtu ambaye wala hana uzoefu wowote kuongoza idara nyeti kama hii?Wakurugenzi bwerere TISS wote hawana sifa?
Rais wetu anawavunja sana moyo watumishi waaminifu ktk kila idara hapa Tanzania!Alianza na ma DED na RAS kuwateua wana siasa wkt watumishi kibao utumishi na uadlifu wao hawakupewa nafasi
Hii si nzuri kwa ustawi wa nchi yetu
Ina maana huyo mkuu wa TISS hajawahi kuwa mtumishi wa TISS/hana mafunzo yoyote ya usalama?)Usiwe na wasiwasi mkuu.
Msalika anakuwa naibu na "understudy" na Dr Kipilimba ndio anatengeneza masuala mbalimbali ya kiutawala.
Kiufundi inaonekana Msalika ndie mtendaji wa masuala muhimu zaidi.
Tumwache mheshimiwa raisi apige kazi, achague watu anaowaamini na baadae awe na timu nzima aliyoiteua yeye.
Hiyo ipo kila mahali.
Hata kule Uingereza tulisikia yule mama Thereza May baada tu ya kuapishwa akamwita George Osborne na kumtimua siku hiyohiyo na baadae kusafisha watu wengi waliokuwa chini ya David Cameron na sasa ana timu yake anayoiamini itafanya kazi nae.
Tuwe tunaenda pia na kwa kuangalia mifano halisi, na hukumu ya haya anayofanya raisi kwa sasa ingoje siku yake atakapoachia ngazi kama alivurunda au la.
lakini kwa jinsi nchi hii inavyosukwa kwa sasa, inabidi tumpongeze mheshimiwa raisi kwa kuanza na ujenzi wa utawala wake kwanza.
Kwani wewe unadhani vipi?Ana stadi za kazi hiyo au ndiyo muendelezo wa kujaribu na kurekebisha?
Ina maana huyo mkuu wa TISS hajawahi kuwa mtumishi wa TISS/hana mafunzo yoyote ya usalama?)
Ukiona hivyo ujue tuna taifa lililo haiMhhh Tanzania kwa sasa HAKUNA CHOCHOTE afanyacho Mh.Rais bila kuwa CRITICISED. ..Hivi tunakwenda wapi kama nchi????
Yote anakosea tangu aapishwe!!!!!! Mhhhh kweli!!!????
Sidhani kama anayo(nipo tayari kurekebishwa)Ina maana huyo mkuu wa TISS hajawahi kuwa mtumishi wa TISS/hana mafunzo yoyote ya usalama?)
Kwa nn kawaruka wakurugenzi kibao wa TISS na kuja kumteua mtu ambaye wala hana uzoefu wowote kuongoza idara nyeti kama hii?Wakurugenzi bwerere TISS wote hawana sifa?
Rais wetu anawavunja sana moyo watumishi waaminifu ktk kila idara hapa Tanzania!Alianza na ma DED na RAS kuwateua wana siasa wkt watumishi kibao utumishi na uadlifu wao hawakupewa nafasi
Hii si nzuri kwa ustawi wa nchi yetu
Hao wanafanta kazi za kawaidaUnaijua TISS au unapayuka tu. kuna watu tupo nao mitaani ni madereva tax wa siku nyingi lakini ni waajiriwa TISS na wanakula mishahara kila mwezi. ile ni idara nyeti sana na imetawanyika kila mahali. kuna walimu, madaktari ma barmeid nk. wengine wapo mpaka kwenye safu za uongozi za vyama vya siasa vya upinzani ila hutaweza kuwatambua
Anajua akiambiwa maafisa ubalozi anajua watu kawaida tuuuWatu wengi wanaofanya kazi ubalozini ni Usalama wa Taifa (Hassy Kitine,Augustine Mahiga,Benard Membe na Othman ) hao wote ni Usalama wa Taifa na walikuwa mabalozi
Ndiyo maana nimekuelezea ili uelewe.Kobello wakati wa kutoa fedha miamala ilikuwa hatozwi VAT na hayo ndiyo maelezo ya waziri. Hizo nadharia zinajulikana na ndiyo maana watu walimshangaa waziri aliposema kuwa VAT itatozwa kwa Makampuni ya simu na taasisi za fedha na si kwa wateja. Hayo maelezo yako mareefu hayasadifu hoja iliyopo mezani!
Mimi sibishi nakwambia kilichokuwa kinabishaniwa bungeni!!Ndiyo maana nimekuelezea ili uelewe.
MIAMALA ILIKUWA INATOZWA VAT!!!
Acha ubishi.