Ha ha msukuma unahofu nini mbona magufuli anaonge kisukuma akiwa shinyanga geita simiyu na mwanza si ni mkabila ndio maana kachaguwa wasukuma wenzake kuongoza chombo kama hichoNi mluguru! Punguza povu!
Hata hivyo si vizuri tukaaanza kuulizana makabila!
Correct Mzena hospital imepewa jina lake ndipo wanatibiwa maafisa.Kuna Marehemu mzee Mzena kwake ni Galu street Ada Estate ilipo Bar ya Mamas na pia pale Kijitonyama mle ndani kuna Hospital wameipa jina lake
Gama alifuata baada ya huyu Mzee
Mkuu wa Kikosi cha utekaji na mauaji Bashite MsukumaMkuu wa majeshi msukuma
Mkuu wa usalama Msukuma
IGP msukuma
Rais Msukuma
Mkurugenzi wa NIDA ya kifisadi alikuwa Dickson Mwaimu na tayari ameshatiwa pingu kesi iko mahakamani.Hii NIDA si ndiyo ilifuja pesa na zoezi la vitambulisho likaharibika?, au yeye hakuhusika ila alikuwa ananote uharifu.
Wapi? Zanzibar?[/QUO
Dini yetu
Wapi? Zanzibar?
Daah hatari sana, Mkuu naomba basi kazi huko kitengoni. Mimi ni kijana wa miaka 25 naishi Mtwara, pia ni UVCCM kindakindaki.Mkuu, inaelekea huna taarifa kamili.
Kwanza huelewi kwamba BOT pengine ni lazima iwe na watu kutoka idara mbalimbali za serikalini khasa serikali kuu.
Pili, unaonyesha bado huna habari ya kutosha kuhusu Dr Kipilimba na sababu za kuzungukazunguka kati ya BOT, NEC, NIDA na sasa TISS.
Kuna jamaa mmoja wa IT pale NEC anaitwa Madaha nae ni mtalaam ila kuna baadhi ya matatizo ya ujazo wa Data, yalijitokeza katika mfumo mzima wa uwasilishwaji wa matokeo "bottlenecks" labda ndio Dr Kipilimba akaombwa aende pale.
Dr Kipilimba hata humu JF ni active member na anawasoma wale "people of interest" kwa ukaribu, na sidhani kama atachukulia hii "seriously".
Hata hivyo kama hufahamu kuna kitu kinaitwa "baadhi yao" hiki ni muhimu sana kukielewa, sanasana tutaishia kuambiwa hadithi za hapa na pale tu.
Sentence yako ya mwisho imejaa ukweli mtupu kwa asilimia kubwa.Kitu ambacho baadhi yetu tunapaswa kukifahamu ni kwamba nyuma kabisa mashirika na taasisi za umma zilianza kutumia rasilimali vibaya - sasa kitambo kidogo ili kubaini nani wanatapanya resources zetu vibaya ndiyo tiss walipelekwa kule kwanza kusimamia, kudhibiti na kuratibu mambo.
Kwa maneno machache, ni kuwa hawa TISS wako kila kona na kila taasisi na mashirika.
Watu wa IT kwenye taasisi mbalimbali za umma na za binafsi ndio mara nyingi Hutumika kama reliable sources of information "good informers/moles" kwa sababu huwa wanakuwa na accessibility kubwa na information/data nyingi za taasisi including including "classified information".Mhm.... huyu si ndio alikuwa Mkurugenzi wa IT tume ya Taifa ya Uchaguzi....
Daaah! Pole sana!Daah hatari sana, Mkuu naomba basi kazi huko kitengoni. Mimi ni kijana wa miaka 25 naishi Mtwara, pia ni UVCCM kindakindaki.
Mimi sio msukuma na nilimpa kura yangu mwaka 2015. Achana na hizo inferiority complex. Shemeji zake Mkapa walikula sana maisha akiwa pale magogoni. Na wengine wakala maisha wakati Kikwete akiwa rais.Ha ha msukuma unahofu nini mbona magufuli anaonge kisukuma akiwa shinyanga geita simiyu na mwanza si ni mkabila ndio maana kachaguwa wasukuma wenzake kuongoza chombo kama hicho
Yaliyomkuta Ulimboka yalitokea wakati wa JK. Yaliyomkuta Kombe yalitokea wakati wa BWM.Matukio kadhaa ya watu kutekwa, kupotea na wengine kujeruhiwa yametokea kwenye "Tenure" ya huyu bwana.
I don't know how can he react to that not very good story. In no distant future, he will be compelled to defend himself regarding these nasty allegations.
Lkn iko siku.Yaliyomkuta Ulimboka yalitokea wakati wa JK. Yaliyomkuta Kombe yalitokea wakati wa BWM.
Kuna waliyokutwa na mabaya enzi za JKN na AHM, Kila awamu huwa na mambo ya aina hiyo, vuta kumbukumbu.
Kila awamu ilikuwa na matukio yake, siyo awamu hii tu.Matukio kadhaa ya watu kutekwa, kupotea na wengine kujeruhiwa yametokea kwenye "Tenure" ya huyu bwana.
I don't know how can he react to that not very good story. In no distant future, he will be compelled to defend himself regarding these nasty allegations.