Rais Magufuli amteua Kassim Majaliwa kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania

Rais Magufuli amteua Kassim Majaliwa kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania

Ndugai anafeli mapema kabisa,Anamtetea msaidizi wake amejibu swali moja tu katika matatu aliyoulizwa,Sijui elimu yake lakini kwa haya maelezo MAGDALENA SAKAYA ni zaid ya Dr.Tulia.
 
Mgombea nafasi ya uspika Tulia ameshindwa kujibu swali lini alijiunga Na ccm, Mh.Ndugai amemlinda Na kumwondoa kwenye kizimba!
 
Nimeamini Dr tulia in jembe. Ni kichwa. Atatuongoza vizuri. ni msomi mwenye PhD katika sheria.



Anajiamini na ni msomi bobezi
 
Dr. Tulia atashindwa kuendesha bunge...
 
Kisura,kiumbo na kiumri yule dada hafai kuwa naibu spika labda kwa elimu alokua nayo.
 
amebebwaaa, amebebwaaa, amebebwaaaa, amebebwaaaa, amebebwaaaaa!!!!!
 
Mkuu OLESAIDIMU, rejea bandiko lile niliposema Mwigulu is the best, if the best if what Magufuli was looking for!. Japo Magufuli ni mtu mwingine lakini CCM ni ile ile!. Magufuli ameshauriwa kuweka boya he can push around atakavyo!. Angemuweka Mwingulu au Prof. Mhongo hawa ni watu real and genuine!, you can't push them around kuwaswaga tuu kama ling'ombe.

CCM ni ile ile kuwachagua watu fulani fulani kwa sababu za kijinga jinga tuu!. Kikwete mwenye GPA ya 2.1 alisimama na Prof. Mwandosya mwenye best brain ya GPA ya 4.5!, na Dr. Salim hata kwa macho tuu anaokena intelligent!. Sisi wengine vilaza unawaona kwa naked eyes. Kati ya watatu hao, kilaza wao ndio alikuwa JK, lakini ndie aliyechaguliwa na sababu zikatolewa ni 'mtu wa watu', ana 'sura nzuri', ana 'cheko na bashasha' hivyo anapendwa na watu na anachagulika kuliko hizo best brain!. Hizo ndizo zilizomfanya JK apete na matokeo tumeyaona!.

Ndani ya CCM kuna vichwa, vilaza na magarasa!, mtu anapoacha kuchagua vichwa na badala yake kucheza na magarasa, then lets hope hivyo vichwa kama Mwingulu, amemsave the best for the last kumleta kwenye wizara ya Fedha na Uchumi au Viwanda, Biashara na Uwezeshaji!. Na Prof. Mhongo kwenye wizara ya Nishati na Madini!.

Haijalishi PM ni nani, bali the reasons behind kwa nini ni fulani!.

Lowassa alipokuwa PM alimu outshine vibaya JK!, kwa sababu EL was was dominant gene na JK was weak!, hivyo kumfix was appropriet!. Ben was dominant Sumaye was weak!. Magufuli is dominant, Majaliwa is weak! tena usikute its true ni shemeji wa JK kama ilivyo kwa Hawa Ghasia au Shukuru Kawambwa!, pia tujiandae kwa R1 kupewa u Deputy, 2020 full minister ready for 2025 ni zamu ya Muislamu!.

Pasco
Yani hapo kwenye Gpa anaingia mara mbili na kubaki chenji ya 0.3 duh hatari sana
 
Back
Top Bottom