General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,303
- 23,064
hivi jamani huyu Tulia kaokotwaa wap??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unafikiria kwa kutumia kiungo gani??Kwa fikra zake anaweza kuleta jina la Waziri Mkuu kutoka Zanzibar
Samahani atawabana akina nani,
Haha anaitwa zuhura kiboko ya lowasa
Tatizo Gpa za madesa na kumeza....tabu kweli kweli[/QUOTn
Natumaini una first class ya havard ww...ebu tuwekee tuione kwanza ilvyoo tofaut na hizi za madesa
Tatizo Gpa za madesa na kumeza....tabu kweli kweli
hili ndo swali muhimu,,mtu hawezi hata kujieleza si bora wangemwacha zungu agombee,,
kumbe wanapeana peana tu vyeo hawa watu
.....Hapo unanionea!
wapo wengi sana ccm, pale namkubali chenge tu kwa elimu yakey wengine wote vilazaa
Magwini utawajua tuTatizo Gpa za madesa na kumeza....tabu kweli kweli[/QUOTn
Natumaini una first class ya havard ww...ebu tuwekee tuione kwanza ilvyoo tofaut na hizi za madesa
He tulia ni pendekezo la nan???
Kwani mradi wa ikulu Monduli umeshindikana? Manyumbu bana, shida sana!!Bora ikulu ihamie msogaaa
Ili-leak wapi mkuu..au unataka kusema ulikuwa na magufuli! Hahahaa
Magwini utawajua tu
Ahahaha boss mm siasa imenpitia upande kdogo sina chama...ila napenda anaemponda mwenzie atoe hoja ya msingi kwa nn humtaki kwa vigezo vipi na kwa mawazo yako ww ulistahili nani awepo pale..ila nlichoona kwa jamaa ni uchama zaid wakati kampeni za uchaguzi zmeisha..tushirikiane jaman nchi isonge mbele sio mda wa porojo tena
uhalisia ni kwamba, MKapa makamba na kikwete ndio remote control wa magufuli