Msengapavi
JF-Expert Member
- Oct 23, 2008
- 8,819
- 7,638
Looooh Wanikumbusha Shamba la mboga la Mbowe lililofyekwa na kuharibiwa kabisa. Kisa et kalima Kandokando ya mto. Ukipita Nchi hii kuna watu wengi wamejenga na kulima kwenye kingo za MiTo Kwa Raha zao. Pongezi za dhati zimwendee Rais Kwa hiyo Stop Order.Hao watendaji walifanya hivyo kama njia ya kujipendekeza kumfurahisha bosi wao kwasababu wanaijua tabia yake, kwani walivyovunja Billicanas au kuharibu mashamba ya Mbowe kule Hai walifuata sheria gani?
Club Billicanas ilivunjwa licha ya zuio la mahakama lililokuwepo, kutokufuata sheria ndio imekuwa tabia kuu ya utawala uliopo, halafu chakushangaza, wanatokea watu na kusifia hatua hiyo ya Magufuli kuzuia hoteli isivunjwe, lakini hawajiulizi kwanini hoteli ivunjwe wakati ujenzi wake ulifuata sheria na taratibu zote?
Kwa mtindo huu tutaendelea kuchezewa akili sana na kuishia kushangilia kama mazuzu, pia wengi wataendelea kuumizwa kwa matendo ya kidhalimu watayofanyiwa kwa maamuzi ya wachache wasio na huruma na watanzania wenzao, na wasiofuata sheria za nchi.
Makamanda ni wazuri sana kwa kuhamisha 'goal post', akiona jambo limeelemea upande huu anabadili gia angani ili apate cha kulaumu au kupinga. Wakati mwingine mpaka najiuliza sijui hawa watu wanatumia nini kufikiri!Ingebomolewa ungesema ni uonevu sasa haijabomolewa unatukana. Hivi ulitaka nini haswa?
Ya kukimbilia ubalozini 🤣🤣🤣Sugu nae anatengenezewa mazingira ya ...??
FUTUHIIII NDIO NI FUTUHI.Watanzania wengi wamefurahishwa na hatua ya Rais Magufuli ya kusimamisha nia ovu waliyokuwa nayo watendaji wa serikali ya kutaka kubomoa hotel I ya aliyekuwa mbunge wa Mbeya mjini kwa tiketi ya Chadema, Joseph Mbilinyi, maarufu kwa jina la Sugu.
Kwa bahati nzuri huyo Sugu ameeleza kuwa hoteli yake hiyo ilikuwa na vibali vyote vya mamlaka zinazohusika za kukamilisha ujenzi huo.
Swali linakuja hao watendaji waliotaka kuibomoa hotel I hiyo, walipata wapi kiburi hicho cha kutaka kuibomoa hoteli hiyo, wakati wakijua fika kuwa mwekezaji huyo ana vibali vyote vya mamlaka husika?
Kama hao watendaji hawajapata kiburi hicho kwenye mamlaka za juu za nchi, basi tunategemea hao watendaji waliokuwa na nia hiyo ovu watumbuliwe mara moja.
Kinyume cha hapo tutakuwa tunajenga nchi ambayo baadhi ya watendaji wanaweza kujiamulia mambo yao kwa lengo la visasi tu kwa ajili yakuwakomoa baadhi ya wananchi.
Kama kweli Rais Magufuli ameitoa hiyo kauli bila unafiki wowote, basi tunamtegemea awatumbue haraka hao watendaji wa serikali waliotaka kuibomoa hiyo hoteli, kinyume cha taratibu kwa lengo tu la kutaka kumkomoa Bwana Sugu.
Kwa kuwa sisi wananchi tunamjua Rais wetu kuwa ni mtu asiyetaka masihara hata kidogo na ni mwepesi sana wa kuwatumbua watendaji wake hata kwa "vijikosa" vidogo, basi tunatarajia kwa hawa watendaji wake ambao walitaka kubomoa hiyo Hoteli ya mamiloni ya shilingi za mwwkezaji mzawa wa kitanzania, ambaye amefiata taratibu zote za uwekezaji, basi tunatarajia atawatimbua mara moja ili kuondoa fikra za wananchi wengi kuwa huyo Sugu alitaka kukomolewa kwa kuwa ni kiongozi wa Chadema, hasa tulitilia maanani usemi maarufu wa Rais wetu Magufuli kuwa MAENDELEO HAYANA CHAMA
Baada ya Makubaliano ya Siri kuwa atahamia Kwao kwani hata aliyezuia alishaonyesha Kumkubali wakati wa Kampeni sasa ndiyo tunazugwa mno.Shukrani hizo zimekuja baada ya mheshimiwa rais kumtuma mkuu wa mkoa wa Mbeya kuzuia ubomoaji wa hoteli ya Desderia iliyokua inadaiwa ujengwa eneo la chanzo cha maji
Rais Magufuli amesema Sugu kama muwekezaji aliyeamua kuwekeza mbeya pia apewe kipaumbele kwenye maeneo mengine ya uzunguni aweze kuendeleza uwekezaji
Maendeleo hayana vyama
Usisahau kuwa Sugu alitumia influence yake kama mbunge kuwarubuni waliompa kibali,au umesahau alivyokuwa akijinasibu kuwa yeye ni raisi wa Mbeya na umeshasahau kuwa Mbeya mjini madiwani karibu wote walikuwa Chadema,nani angemkwamisha Sugu kupata kibali cha kujenga kwenye chanzo cha maji?hapa sio siasa bali ni kufuata utawala wa sheria ,na si hata marehemu Lwakatare nae alijenga kwenye njia ya maji wakati sheria zipo wazi kuhusu ujenzi, hii tabia ikiendelea mwisho wake utakuwa mbaya na basi tufute sheria zilizowekwa kuhusu ujenzi kwenye maeneo ambayo hayaruhusiwi kujengwa. Sheria ni msumeno,kuzembea kwa wasimamizi hakuhalalishi watu kuvunja sheria, kuwa na vibali sio sababu je mazingira ya kutolewa hivyo vibali yakoje? hata marehemu mama Lwakatale alikuwa na vibali ingawa kajenga kwenye mkondo wa maji.Watanzania wengi wamefurahishwa na hatua ya Rais Magufuli ya kusimamisha nia ovu waliyokuwa nayo watendaji wa serikali ya kutaka kubomoa hotel I ya aliyekuwa mbunge wa Mbeya mjini kwa tiketi ya Chadema, Joseph Mbilinyi, maarufu kwa jina la Sugu.
Kwa bahati nzuri huyo Sugu ameeleza kuwa hoteli yake hiyo ilikuwa na vibali vyote vya mamlaka zinazohusika za kukamilisha ujenzi huo.
Swali linakuja hao watendaji waliotaka kuibomoa hotel I hiyo, walipata wapi kiburi hicho cha kutaka kuibomoa hoteli hiyo, wakati wakijua fika kuwa mwekezaji huyo ana vibali vyote vya mamlaka husika?
Kama hao watendaji hawajapata kiburi hicho kwenye mamlaka za juu za nchi, basi tunategemea hao watendaji waliokuwa na nia hiyo ovu watumbuliwe mara moja.
Kinyume cha hapo tutakuwa tunajenga nchi ambayo baadhi ya watendaji wanaweza kujiamulia mambo yao kwa lengo la visasi tu kwa ajili yakuwakomoa baadhi ya wananchi.
Kama kweli Rais Magufuli ameitoa hiyo kauli bila unafiki wowote, basi tunamtegemea awatumbue haraka hao watendaji wa serikali waliotaka kuibomoa hiyo hoteli, kinyume cha taratibu kwa lengo tu la kutaka kumkomoa Bwana Sugu.
Kwa kuwa sisi wananchi tunamjua Rais wetu kuwa ni mtu asiyetaka masihara hata kidogo na ni mwepesi sana wa kuwatumbua watendaji wake hata kwa "vijikosa" vidogo, basi tunatarajia kwa hawa watendaji wake ambao walitaka kubomoa hiyo Hoteli ya mamiloni ya shilingi za mwwkezaji mzawa wa kitanzania, ambaye amefiata taratibu zote za uwekezaji, basi tunatarajia atawatimbua mara moja ili kuondoa fikra za wananchi wengi kuwa huyo Sugu alitaka kukomolewa kwa kuwa ni kiongozi wa Chadema, hasa tulitilia maanani usemi maarufu wa Rais wetu Magufuli kuwa MAENDELEO HAYANA CHAMA
Niliwahi kusema JPM is a very considerate person, ni Msikivu, mwenye huruma na anae jaliShukrani hizo zimekuja baada ya mheshimiwa rais kumtuma mkuu wa mkoa wa Mbeya kuzuia ubomoaji wa hoteli ya Desderia iliyokua inadaiwa ujengwa eneo la chanzo cha maji
Rais Magufuli amesema Sugu kama muwekezaji aliyeamua kuwekeza mbeya pia apewe kipaumbele kwenye maeneo mengine ya uzunguni aweze kuendeleza uwekezaji
Maendeleo hayana vyama
Ya Nini?anategenexa tatizo Kisha mbio anakuja kutatuaMpe hongera Magufuli sasa, mbona unajifanya hilo nalo hulioni eti kwa sababu tu wewe ni kamanda uchwara?
hao waliotaka kubomoboa WAKIWA NA NIO OVU HUKU MKUU WA MKOA AKISEMA KUNA WATU WANATAKA KUGOMBANISHA KISIASA BADO WANAACHWA WAENDELEE NA KAZI?yakimkuta mtu ambaye hana jina la kisiasa kama sugu itakuwaje?hawakutumwa na mamlaka za juu?wafukuzwe kazi haraka ili wasiumize wawekezaji wengineHatua ya Rais kumtetea mwekezaji Mzawa bw Sugu bila kujali itikadi ni ya kupongezwa na kwa hilo ameumaliza mwaka vizuri kwa kuwawezesha wawekezaji wazawa kujiamini. Huu ni Mwanzo mzuri kwa sekta binafsi kujenga uhusiano mzuri na serikali na hii tafsiri yake kila mtendaji atapaswa abadiri fikra. Sasa kumekucha kila mtu ajipange kuwekeza ili mradi afuate sheria za nchi. Na ndiyo maana kwa sasa TIC iko ofisi ya Rais chini yake.Bravo Rais Mpendwa!
Mhe rais baadhi ya qaku wa mikoa ni wakurupukaji. Ni majip .. wana under perform. Tale them out.kulikuwa hakuna haja ya chalamila kutengenexa ugomvi na kuraka kubomoa hotel half rais alipotoa tamko kaja upande wa rais.
Aache unafki.. hila hazinengi taifa
kwa hiyo hadi kamera zimewashwa sugu alikuwa hajui nini kinaongelewa? is that your point?aliongea kwa kujiamni akisema yeye hakuwa na wasiwasi sababu vibali vyote anavyo(AKA CHUCKLE)akasema unless otherwise..(maagizo toka juu)Ila Sugu naye bwana,mkuu wa mkoa anamwambia nina maelekezo ya Mh. Rais yeye Sugu ukiisoma kisaikologjia midomo yake na macho yake alitegemea kusikia jambo baya juu yake,anaonyesha ni mtu wa kutaka kushambulia kila wakati lakini kinyume chake akasikia mazuri kutoka juu.
Inaonekana bado ana tabia mbaya.Sasa ajifunze kwamba yeye ni mfanya biashara kama wafanya biashara wengine na abadilike.
Ila kwa upande wa pili namsifu sana Sugu kwa kuwa mbunifu kwani wabunge wengine wengi waliodondoka hawajui hata waanzie wapi.Nilimkuta mmoja anajaza form BRELA online anataka kufungua ofisi ya kuuza vifaa vya stationary,yaani ndiyo anaanza sasa baada ya uchaguzi kwisha .Na wengine ndiyo kama hivyo mlivyosikia wanaona kabisa nje ya ubunge hakuna tena maisha,mtu anaamua kujibeba yeye na familia yake anakimbia nchi anajifanya mkimbizi wa kisiasa.Hapo hakuna,mkimbizi wa kisiasa wala nini ila hali yao mbaya.
Kwahiyo hapo inabidi amwabudu sana Magu, kwamba bila yeye hotel inabomolewa.
Hii nchi ni takataka, imejaa vibwengo wanaopenda kuabudiwa sana.
Rais hakuwa na sababu ya kuruhusu ibomolewe sababu ujenzi wa Hoteli ulifuata taratibu zote. Kama ingebomolewa ingekuwa ni dhulma kubwa sana kwa Sugu.Ingebomolewa ungesema ni uonevu sasa haijabomolewa unatukana. Hivi ulitaka nini haswa?
Rais wetu ni wa kila chama, kila kabila, kila dini, kila rangi, kila mkoa
Nchi yetu sio takataka mkuu ila mawazo yako uliyoyaandika hapa ndio takataka
Niliwahi kusema JPM is a very considerate person, ni Msikivu, mwenye huruma na anae jali
sana.
P
I don't think so! Bro, investments zinadrop na hivyo soko la ajira + kodi vinaporomoka.Hivi mnafahamu gharama za walau nyumba ya ghorofa moja ya uhakika?Siyo chini ya TZS300M.Rais ameguswa na hiyo hasara.