Kuchitimbo
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 439
- 366
Amekamatwa?.Nasikia Mbowe anatafutwa na polisi kwa kubomoa mataluma ya Reli.........hii biashara ya chuma chakavu ameanza lini?!
Au Ni umbea Kama wanawake wa dar
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amekamatwa?.Nasikia Mbowe anatafutwa na polisi kwa kubomoa mataluma ya Reli.........hii biashara ya chuma chakavu ameanza lini?!
Hahahaaaa......... DC Ole sabaya kasema akamatwe popote pale atakapoonekana hapa nchini na nje ya nchi!Amekamatwa?.
Au Ni umbea Kama wanawake wa dar
Ni uzalendo tu bwashee!Kwani Gerson Msigwa alishafukuzwa kazi? Maana naona toka subuhi wewe ndio unatoa habari za mkulu
Binadamu hana wema,angeenda bado mgeuliza kwani wazili wa mambo ya nje,makamu wa rais au waziri mkuu anakazi gani,si wangemuwakilisha,
Sent using Jamii Forums mobile app
Mikedean naona unaweweseka kila akitajwa JPM na CCM ghafra unaona kiwewe inabidi uzoee tu maana atatajwa sana miaka sita na zaidi, Fanya hivi kumkomoa Magu barabara zake anazojenga usizipitie ndege alizonunua usipande vituo vya afya na hospital usiende pitia njia nyingine hata Dodoma alikohamishia serikali usiende kura yako moja usimpe Octoba lakini ataendelea kuwa Rais wako.
Uzalendo kumnyang'anya mwenzako cheo chakeNi uzalendo tu bwashee!
Huku CCM vyeo ni vingi bwashee!Uzalendo kumnyang'anya mwenzako cheo chake
Kwani msigwa ni muajiriwa wa ccmHuku CCM vyeo ni vingi bwashee!
Serikali ni ya CCM bwashee!Kwani msigwa ni muajiriwa wa ccm
Hujajibu swali, msigwa ni muajiriwa wa serikali (IKulu) au ccm (lumumba)Serikali ni ya CCM bwashee!
Huyo si beberu? Asije hatarisha mapinduzi matukufu ya Zenji.Rais Magufuli amemualika Sultan mpya wa Oman kuitembelea Tanzania wakati wowote.
Salamu za Rais Magufuli zimetolewa na Waziri wa mambo ya nje Prof Kabudi aliyeko nchini Oman alikotumwa na Rais Magufuli kutoa salamu za pole kufuatia kifo cha Sultan wa nchi hiyo.
Source: Channel ten
Ajira zinatolewa na sera za CCM bwashee!Hujajibu swali, msigwa ni muajiriwa wa serikali (IKulu) au ccm (lumumba)
Sio kweli hizo ni hisia zako tu.Magufuli anaPaswa aongee na wenzake wamwambie namna wanavyoendesha taasisi zao kwa manufaa ya nchi zao.Binadamu hana wema,angeenda bado mgeuliza kwani wazili wa mambo ya nje,makamu wa rais au waziri mkuu anakazi gani,si wangemuwakilisha,
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivyo vyote ulivosema sivitumii.Namshukuru Mungu aliyenipa afya hata hospitali siijui ikoje hata ndugu yangu hajawahi kuumwa tukampeleka huko.Barabara zote nnazotumia ni za Mabeberu World Bank.Ndege zake sijawapi panda na siji kupanda.Kiufupi mimi siwezi kuweweseka kwa chochote lakin ninyi maccm na Jiwe mkiona comment kama hizi zinawauma maana ni kweli tupu saiz mmebaki mnashikana uchawi tu ndani ya chama.Sisi tunaenjoy life ninyi pamoja na madaraka na power mliyonayo lakin mkiona unyoya tu mnaogooopa utafikiri mmeona jini makata.Mikedean naona unaweweseka kila akitajwa JPM na CCM ghafra unaona kiwewe inabidi uzoee tu maana atatajwa sana miaka sita na zaidi, Fanya hivi kumkomoa Magu barabara zake anazojenga usizipitie ndege alizonunua usipande vituo vya afya na hospital usiende pitia njia nyingine hata Dodoma alikohamishia serikali usiende kura yako moja usimpe Octoba lakini ataendelea kuwa Rais wako.
CCM imeingiaje hapo bwashee?!
Katika uhusiano wa kimataifa, moja ya kanuni muhimu kabisa ni reciprocity.Rais Magufuli amemualika Sultan mpya wa Oman kuitembelea Tanzania wakati wowote.
Salamu za Rais Magufuli zimetolewa na Waziri wa mambo ya nje Prof Kabudi aliyeko nchini Oman alikotumwa na Rais Magufuli kutoa salamu za pole kufuatia kifo cha Sultan wa nchi hiyo.
Source: Channel ten