mr chopa
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 5,297
- 13,678
Kwani ni kinyume na sheria akijenga msikitiAje tjmuombe atujengee misikiti
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani ni kinyume na sheria akijenga msikitiAje tjmuombe atujengee misikiti
Kwani Mimi nimesema ni kosa bro!!
Akili za nyumbu utaziweza? Kila linalofanyika limekosewa. Lipi jema, hawasemiBinadamu hana wema,angeenda bado mgeuliza kwani wazili wa mambo ya nje,makamu wa rais au waziri mkuu anakazi gani,si wangemuwakilisha,
Sent using Jamii Forums mobile app
No,hao Ni United Arab Emirates Kama sikoseiNaomba mnisaidie,hivi Hawa jamaa ndo wenye pori tengefu la Loliondo kule linachukua vijiji ukianzia Ololosokwani Hadi maeneo ya huku Pinyinyi
Si kweli. Zanzibar haikuwa na utawala wa Oman mwaka 1964 na uhuru wa Zanzibar ulipatikana mwaka 1963 kutoka kwa Muingereza.Hawa si ndio muliowafukuza Zanzibar 1964 na kuwatukana kuwaambia hii si nchi ya Machotara?
Pori la Loliondo linamilikiwa (leased) kisheria za vitalu vya uwindaji na kampuni iitwayo Otterlo Business Corporation (OBE). wamiliki wa hiyo OBE wanatokea UAE na wa familia ya Kifalme lakini Loliondo haimilikiwi na UAE.No,hao Ni United Arab Emirates Kama sikosei
Hao Hao Yaani Hawawezi Kuguswa, Huko Ni Kama Lesotho Ilivyo Nchi Yenye Mamlaka Kamili Ikiwa Ndani Ya South AfricaNchi hii hakuna wa kuuvunja huo mfupa,mengine watu wanaogopa kuzungumza.
Si ndo hao waliojenga Ile hoteli ya Bililla campsic pale kwenye milima ya fedha kabla hujafika seronera Kama unatokea Clens geti?
Naomba mnisaidie,hivi Hawa jamaa ndo wenye pori tengefu la Loliondo kule linachukua vijiji ukianzia Ololosokwani Hadi maeneo ya huku Pinyinyi
Ndiyo Hao Walionunua Kipande Cha Ardhi
Kwa Miaka 100 Yaani Huo Mkataba Ni Mfupa Mgumu Sana Uliomshinda Fisi.
Humu Jamiiforums.com Ipo Thread Inayozungumzia Hayo Makandokando Ya Mkataba
Sio mbowe wa chadema,ni mbowe mwenye magari ya machame safariNasikia Mbowe anatafutwa na polisi kwa kubomoa mataluma ya Reli.........hii biashara ya chuma chakavu ameanza lini?!
kwa taarifa yako tu Tanzania inautajiri kulikio saudia arabia inaweza kuulisha afrika yote na dunia kwa ujumla lakini matatizo hawana akili wabongoKwanini asiende mwenyewe Magu huko Oman.Anyway yeye kabudi ameongeza nini huko kati ya oman na Tz.Hivi oman si nchi tu sawa na Oman.Tanzania bila ccm ingekuwa zaidi ya Oman
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaaa......... Mbowe wa Machame safari unamjua bwashee?!Sio mbowe wa chadema,ni mbowe mwenye magari ya machame safari
Simjui bali namfahamu mkuu,mpaka nyumbani kwake.Hahahaaaa......... Mbowe wa Machame safari unamjua bwashee?!
Basi ukienda msalimie!Simjui bali namfahamu mkuu,mpaka nyumbani kwake.
Si kweli. Zanzibar haikuwa na utawala wa Oman mwaka 1964 na uhuru wa Zanzibar ulipatikana mwaka 1963 kutoka kwa Muingereza.
Soma...
The islands gained independence from Britain in December 1963 as a constitutional monarchy.
Soma zaidi: History of Zanzibar - Wikipedia