pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,422
- 6,108
Ndio tuiondoe sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe hujui chochote kuhusu sheria! Kujua Kiswahili siyo kujua sheria!Kutumia Kiswahili kwenye hukumu na sheria, itakuwa faida kwa wananchi, ila itaathiri mapato ya Mawakili na Wanasheria.
Ugumu wa lugha ya kisheria (legal language) ni moja ya sababu ya wananchi kuwahitaji Wanasheria.
Sasa sheria zikiwa kwa Kiswahili, kila mwananchi atazielewa, halafu Mawakili na Wanasheria watakosa kazi.
Siri ya kazi itafichuka soon!
Wewe hujui chochote kuhusu sheria! Kujua Kiswahili siyo kujua sheria!
Jamaa hajui Kiswahili wala KingerezaKuna mtu anasisitiza matumizi ya lugha ya kiswahili lakini wakati huo huo na yeye anatumia maneno ya kiingereza! Challenge, AG, Amendment, East Africa Community, cut and paste, communication, very frustrating, appeal,imagine
Hivi ile thesis ya JPM ya Masters na PhD yeye mwenyewe anaweza kuisema kwa Kiswahili?Huwa zimaendeshwa kwa Kiswahili but...
records ndio zinawekwa kwa kingereza
Sidhani kama ataweza kuisema kwa kiswahiliHivi ile thesis ya JPM ya Masters na PhD yeye mwenyewe anaweza kuisema kwa Kiswahili?