Rais Magufuli amuapisha Jaji Zephrine Galeba kuwa jaji wa mahakama ya Rufaa

Wewe hujui chochote kuhusu sheria! Kujua Kiswahili siyo kujua sheria!
 
Kuna mtu anasisitiza matumizi ya lugha ya kiswahili lakini wakati huo huo na yeye anatumia maneno ya kiingereza! Challenge, AG, Amendment, East Africa Community, cut and paste, communication, very frustrating, appeal,imagine
Jamaa hajui Kiswahili wala Kingereza
 
Hongera Sana
Nenda Kachape Kazi Sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…