Trainee
JF-Expert Member
- Sep 22, 2018
- 2,660
- 3,501
Unanikoshaga sana na hii style yako!Daa!!ngoja nikakatie zangu maua kule garden
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unanikoshaga sana na hii style yako!Daa!!ngoja nikakatie zangu maua kule garden
Nikisomaga comments zako na hiyo avatar yako basi nahisi wewe ni mtu mwenye vituko vituko na wanaokuwa karibu yako wanaumia mbavuDaa!!ngoja nikakatie zangu maua kule garden
Hakuna cha dawa wala sumu, jamaa ana mawazo ya ajabu sana.Naona dawa imekuingia vyema
Hakuna cha dawa wala sumu, jamaa ana mawazo ya ajabu sana.
Hamna bhana mi wa kawaida sana mbona kwanza kikazi niko kauzu kuliko huwezi amini.Nikisomaga comments zako na hiyo avatar yako basi nahisi wewe ni mtu mwenye vituko vituko na wanaokuwa karibu yako wanaumia mbavu
Tuko pamoja mkuu.Unanikoshaga sana na hii style yako!
Akikujibu kwa hoja nitagKwani ni wapi walikoidhibiti hiyo Corona, huko wanakotoka hao wasimamizi Corona wameithibiti imeisha au?.
mbali tu kwamba hawaelewi hawawezi kujibu hoja wao wanakimbilia matusi na kuimba na kuabuduKuna kitu kikubwa sana hukielewi wewe na wafuasi wenzako wa Rais Magufuli.
Acha ubwege siyo kila anayempinga mtukufu ni chadema hata akina membe na wenzako mnampinga mtukufuUzi wa kijinga aisee..
Bavicha sasa ninkuwaonea huruma tu.
Hilo halina ubishi, toka day 1 alishasema baba mwenye nyumba ashinde asishinde lazma ccm itangazwe mshindi na atakayethubutu kutangaza kinyume chake kesho yake shangingi hana, hiyo ni kuanzia diwani mpaka ikulu.Mwaka huu mtapiga ramli sana na uchaguzi utafanyika na JPM atarudi ikulu amilzie amiradi mikubwa aliyoiasisi na kuanzisha miradi mingine.....hutegemei pesa ya wahisani kuendesha uchaguzi wetu.
Yeye hata afenyeje membe lazima achukue fomu na atamshinda uzuri ni kwamba 90% ya wanaccm tuko na membe