Uchaguzi 2020 Rais Magufuli anapoomba tumchague kwa miaka mingine mitano tusisahau pia

Uchaguzi 2020 Rais Magufuli anapoomba tumchague kwa miaka mingine mitano tusisahau pia

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
Utawala wako Rais Magufuli Yangu 2015 Hadi Sasa unapofikia miwshoni kabisa, Tulioyashuhudia sio tu Ni maajabu, lakini ni Maangamizi ya Taifa letu kuanzia misingi yake mpaka kesho yake.

Kwa uchache tujikumbushe maajabu ambayo yameshatokea na hatajawai kuyashuhudia.

1. Watu Takribani 400 wamepotea kusiko julikana kwenye Mkoa wa Pwani na hakuna hata sisimizi aliekamatwa mpaka leo, na mtokeo yake, Azory Gwanda, akatekwa na vyombo vyako.

2. Watu so chini ya 45 waliokogwa kwenye fukwe za Bahati, Mto na maeneo kadhaa wakiwa wamefungwa kwneye viroba na mpaka leo hakuna hata sisimizi aliekamatwa kuhusika mbali ya watu hao kuitwa na serikali yako kuwa Ni Wahamiaji Haramu.

3. Watu kwenye Mkoa wa Kwanza na Dar wa salaam, umewabomolea Nyumba zao na ukawanyima fidia kwa mujibu wa Sheria za nchi na ukasema hutawapa hata Senti mmoja. Na hukijenga barabara maeneo hayo ulioyabomoa pia.

4. Hujapandisha mishahara na madaraja kwa wafanyakazi, ambalo ni takwa la kisheria kwa miaka yote mitano hii ya utawala wako.

5. Tundu Lisu amepigwa risasi 16 ndani ya Nyumba za serikali, na mpaka leo hakuna hata sisimizi aliekamatwa kuhusika na jaribio Hilo la mauwaji.

6. Kituo Cha TV kilivamiwa na Askari chini ya Mkuu wa Mkoa ambae wewe ndie uliemteua, Ana alipobainika, ukamfukuza kazi yule aliembainisha huyo mwovu wako.

7. Uliwapora wakulima wa Korosho mazao yao yote kwa kutumika Jeshi, na hukuwa fedha zao zote, pamoja na kuchukua fedha za mfuko wa Korosho zote kwa mabavu na kuliua zao la Korosho.

8. Ulizuia mikutano ya hadhara na mikutano ya ndani, Jambo ambalo Ni takwa la kikatiba na kisheria. Yaani ulivunja katiba ya nchi ambayo uliapa kuilinda.

9. Umetunga Sheria kandamizi kwa wananchi, Sheria ya Makosa ya mtandaoni, Takwimu, vyama vya siasa, kiasi kwamba zi apingana na katiba ya nchi, kinyume na misingi ya ukuu wa katiba.

10. Uliwafukuza wanafunzi wa Elimu ya Juu wapatao 7000, chuo kikuu Cha Dodoma, usiku waanane, kwa kutumika Jeshi la Polisi.

11. Umekuwa ukiwadhalilisha wanawake nchi hii, kila uchwao mpaka wakati huu wa kampeni.

Mengine Ni mengi hatuwezi kuyamaliza...

Alafu leo unataka tukupe mitano tuone Tena maajabu, Yepi??? Unataka tuonea mauwaji ya halaiki? Kwamba mauwaji YALIOTOKEA mpaka Sasa huoni Ni Ajabu?

Hapana mzee, Nenda tu, tumechoka.
 
Ubabe wake umewafanya wengi wasiishi kwa amani ndani ya nchi yao, na kupendelea mikoa ya kanda ya ziwa kwasababu ndio walimpigia kura 2015 inaonesha anatugawa watanzania, anatuondolea ule umoja wetu tuliouzoea.
 
Utawala wako Rais Magufuli Yangu 2015 Hadi Sasa unapofikia miwshoni kabisa, Tulioyashuhudia sio tu Ni maajabu, lakini ni Maangamizi ya Taifa letu kuanzia misingi yake mpaka kesho yake.

Kwa uchache tujikumbushe maajabu ambayo yameshatokea na hatajawai kuyashuhudia.

1. Watu Takribani 400 wamepotea kusiko julikana kwenye Mkoa wa Pwani na hakuna hata sisimizi aliekamatwa mpaka leo, na mtokeo yake, Azory Gwanda, akatekwa na vyombo vyako.

2. Watu so chini ya 45 waliokogwa kwenye fukwe za Bahati, Mto na maeneo kadhaa wakiwa wamefungwa kwneye viroba na mpaka leo hakuna hata sisimizi aliekamatwa kuhusika mbali ya watu hao kuitwa na serikali yako kuwa Ni Wahamiaji Haramu.

3. Watu kwenye Mkoa wa Kwanza na Dar wa salaam, umewabomolea Nyumba zao na ukawanyima fidia kwa mujibu wa Sheria za nchi na ukasema hutawapa hata Senti mmoja. Na hukijenga barabara maeneo hayo ulioyabomoa pia.

4. Hujapandisha mishahara na madaraja kwa wafanyakazi, ambalo ni takwa la kisheria kwa miaka yote mitano hii ya utawala wako.

5. Tundu Lisu amepigwa risasi 16 ndani ya Nyumba za serikali, na mpaka leo hakuna hata sisimizi aliekamatwa kuhusika na jaribio Hilo la mauwaji.

6. Kituo Cha TV kilivamiwa na Askari chini ya Mkuu wa Mkoa ambae wewe ndie uliemteua, Ana alipobainika, ukamfukuza kazi yule aliembainisha huyo mwovu wako.

7. Uliwapora wakulima wa Korosho mazao yao yote kwa kutumika Jeshi, na hukuwa fedha zao zote, pamoja na kuchukua fedha za mfuko wa Korosho zote kwa mabavu na kuliua zao la Korosho.

8. Ulizuia mikutano ya hadhara na mikutano ya ndani, Jambo ambalo Ni takwa la kikatiba na kisheria. Yaani ulivunja katiba ya nchi ambayo uliapa kuilinda.

9. Umetunga Sheria kandamizi kwa wananchi, Sheria ya Makosa ya mtandaoni, Takwimu, vyama vya siasa, kiasi kwamba zi apingana na katiba ya nchi, kinyume na misingi ya ukuu wa katiba.

10. Uliwafukuza wanafunzi wa Elimu ya Juu wapatao 7000, chuo kikuu Cha Dodoma, usiku waanane, kwa kutumika Jeshi la Polisi.

11. Umekuwa ukiwadhalilisha wanawake nchi hii, kila uchwao mpaka wakati huu wa kampeni.

Mengine Ni mengi hatuwezi kuyamaliza...

Alafu leo unataka tukupe mitano tuone Tena maajabu, Yepi??? Unataka tuonea mauwaji ya halaiki? Kwamba mauwaji YALIOTOKEA mpaka Sasa huoni Ni Ajabu?

Hapana mzee, Nenda tu, tumechoka.
Lissu anawanyosha mpaka watapike
 
Magufuli amepwaya mno haamini macho yake kwa jinsi alivyokutana na upinzani imara kabisa, amebakia kufoka, kutisha, kubwabwaja na kupayuka tu.
 
Mimi na ukoo wangu wote tunasubiri kwa hamu siku ya kupiga kura tumpigie John Joseph Pombe Magufuli tuwe
na Tanzania kakamavu na ya kiume.
 
Magufuli amepwaya mno haamini macho yake kwa jinsi alivyokutana na upinzani imara kabisa, amebakia kufoka, kutisha, kubwabwaja na kupayuka tu.
Naona hata utulivu wa mgombea mwenza imumeghafilika. Leo kapaniki hatari sana. naona ni dalili nzuri kwa ukombozi wa watamzania
 
Kuna wakati siri iliyopo moyoni haiwezi kuletwa kwenye uhalisia na kutamkwa waziwazi kuwa nina siri hii ipo moyoni inaniumiza.

Leo hapa mjini musoma mgombea urais kupitia chama kikongwe kinachoendelea kushika dola cha utawala ccm, dr magufuri amefungua yaliyopo moyoni mwake na kuamua kuwaeleza kinachomuumiza.

"Mkapa mmempa miaka 10, Mwinyi mmempa miaka 10 na Kikwete mmempa miaka 10 na mimi msinipe kwa miaka 5 mtanionea mniongezee mingine 5 muone"
Kutokana na kauli hiyo mzee wa watu anajua kabisa inawezekana akabaki na miaka mitano aliyoongoza.

Kauli hiyo tunaweza kusema mwaka huu unaweza kutoa picha halisi ndani na nje ya ccm kwamba kuna nini kinaendelea kwa mustakali wa siasa za nchi hii.
 
Mimi na ukoo wangu wote tunasubiri kwa hamu siku ya kupiga kura tumpigie John Joseph Pombe Magufuli tuwe
na Tanzania kakamavu na ya kiume.
Wewe na ukoo wako wa panya wote huwezi kumpigia kura mtu mwizi na mtesaji
 
anawambia watu eti "Bunda walijichanganya wenyewe, kumchagua mpinzani"....et ndo sababu hawana mabarabara.


Alafu hapo,, anakuambia Maendeleo hayana Chama. Ohoooo barabara anapita wa chadema, ccm n.k


Tunaongozwa na mnafiki na mtu mwenye tatizo kichwani.
Sidhani km kuna binadamu anayeweza kumuelewa JIWE,
Hata physiologist hawawezi kabisaaa, ndo huyo yesu fake na kiongozi wa malaika hewa.
 
JIWE ni mnafiki, fedhuri, baradhuri, na muuaji.
 
Utawala wako Rais Magufuli Yangu 2015 Hadi Sasa unapofikia miwshoni kabisa, Tulioyashuhudia sio tu Ni maajabu, lakini ni Maangamizi ya Taifa letu kuanzia misingi yake mpaka kesho yake.

Kwa uchache tujikumbushe maajabu ambayo yameshatokea na hatajawai kuyashuhudia.

1. Watu Takribani 400 wamepotea kusiko julikana kwenye Mkoa wa Pwani na hakuna hata sisimizi aliekamatwa mpaka leo, na mtokeo yake, Azory Gwanda, akatekwa na vyombo vyako.

2. Watu so chini ya 45 waliokogwa kwenye fukwe za Bahati, Mto na maeneo kadhaa wakiwa wamefungwa kwneye viroba na mpaka leo hakuna hata sisimizi aliekamatwa kuhusika mbali ya watu hao kuitwa na serikali yako kuwa Ni Wahamiaji Haramu.

3. Watu kwenye Mkoa wa Kwanza na Dar wa salaam, umewabomolea Nyumba zao na ukawanyima fidia kwa mujibu wa Sheria za nchi na ukasema hutawapa hata Senti mmoja. Na hukijenga barabara maeneo hayo ulioyabomoa pia.

4. Hujapandisha mishahara na madaraja kwa wafanyakazi, ambalo ni takwa la kisheria kwa miaka yote mitano hii ya utawala wako.

5. Tundu Lisu amepigwa risasi 16 ndani ya Nyumba za serikali, na mpaka leo hakuna hata sisimizi aliekamatwa kuhusika na jaribio Hilo la mauwaji.

6. Kituo Cha TV kilivamiwa na Askari chini ya Mkuu wa Mkoa ambae wewe ndie uliemteua, Ana alipobainika, ukamfukuza kazi yule aliembainisha huyo mwovu wako.

7. Uliwapora wakulima wa Korosho mazao yao yote kwa kutumika Jeshi, na hukuwa fedha zao zote, pamoja na kuchukua fedha za mfuko wa Korosho zote kwa mabavu na kuliua zao la Korosho.

8. Ulizuia mikutano ya hadhara na mikutano ya ndani, Jambo ambalo Ni takwa la kikatiba na kisheria. Yaani ulivunja katiba ya nchi ambayo uliapa kuilinda.

9. Umetunga Sheria kandamizi kwa wananchi, Sheria ya Makosa ya mtandaoni, Takwimu, vyama vya siasa, kiasi kwamba zi apingana na katiba ya nchi, kinyume na misingi ya ukuu wa katiba.

10. Uliwafukuza wanafunzi wa Elimu ya Juu wapatao 7000, chuo kikuu Cha Dodoma, usiku waanane, kwa kutumika Jeshi la Polisi.

11. Umekuwa ukiwadhalilisha wanawake nchi hii, kila uchwao mpaka wakati huu wa kampeni.

Mengine Ni mengi hatuwezi kuyamaliza...

Alafu leo unataka tukupe mitano tuone Tena maajabu, Yepi??? Unataka tuonea mauwaji ya halaiki? Kwamba mauwaji YALIOTOKEA mpaka Sasa huoni Ni Ajabu?

Hapana mzee, Nenda tu, tumechoka.
Watanzania hawaangalii hayo yote...hata ukiwaliza kwanini wanalisapoti jiwe hawana hata sababu ya msingi.
Acha tuteseke sote wanaounga juhudi na tunaopinga.
 
anawambia watu eti "Bunda walijichanganya wenyewe, kumchagua mpinzani"....et ndo sababu hawana mabarabara.


Alafu hapo,, anakuambia Maendeleo hayana Chama. Ohoooo barabara anapita wa chadema, ccm n.k


Tunaongozwa na mnafiki na mtu mwenye tatizo kichwani.

Huyu mzee alitakiwa apigwe msasa wa kutosha kabla ya kukabidhiwa jukumu zito la kuwaongoza watu zaidi ya mil. 50. Ana changamoto nyingi sana kwenye uongozi wa nchi. Yaani anatutawala kwa utashi wake na si kwa mujibu wa Katiba ya nchi.

Mbaya zaidi kwa sasa ametuzalishia kizazi kingine kipya cha watanzania wanafiki. Unakuta baadhi ya watu wamejitoa kabisa ufahamu kwa kumlimbikizia utukufu, huku wakimsifia na kumtukuza kwa kila jambo hata lisilo stahili.

Infact kama Taifa, tumeingia choo cha kike.
 
Kuna wakati siri iliyopo moyoni haiwezi kuletwa mwenye uhalisia na kutamkwa waziwazi kuwa nina siti hii hapa ipo moyoni inaniumiza.

Leo hapa mjini musoma mgombea urais kupitia chama kikongwe kinachoendelea kushika dola cha utawala ccm, dr magufuri amefungua yaliyopo moyoni mwake na kuamua kuwaeleza kinachomuumiza.

"Mkapa mmempa miaka 10, Mwinyi mmempa 10, Kikwete mmemapa 10, msinipime kwa miaka 5 mtanionea mbioe 10 muone"
Kutokana na kauli hiyo mzee wa watu anajua kabisa inawezekana akabaki na miaka mitano aliyoongoza.

Kauli hiyo tunaweza kusema mwaka huu unaweza kutoa picha halisi ndani na nje ya ccm kwamba kuna nini kinaendelea kwa mustakali wa siasa za nchi hii.
Maskini nanza kumwonea huruma. Who cares??
 
Kuna wakati siri iliyopo moyoni haiwezi kuletwa mwenye uhalisia na kutamkwa waziwazi kuwa nina siti hii hapa ipo moyoni inaniumiza.

Leo hapa mjini musoma mgombea urais kupitia chama kikongwe kinachoendelea kushika dola cha utawala ccm, dr magufuri amefungua yaliyopo moyoni mwake na kuamua kuwaeleza kinachomuumiza.

"Mkapa mmempa miaka 10, Mwinyi mmempa 10, Kikwete mmemapa 10, msinipime kwa miaka 5 mtanionea mbioe 10 muone"
Kutokana na kauli hiyo mzee wa watu anajua kabisa inawezekana akabaki na miaka mitano aliyoongoza.

Kauli hiyo tunaweza kusema mwaka huu unaweza kutoa picha halisi ndani na nje ya ccm kwamba kuna nini kinaendelea kwa mustakali wa siasa za nchi hii.
WEWE HUNA AKILI AU KAZI YA KUFANYA?

UMEWAONA UMATI HUO ANAOONGEA NAO HAPO?

ACHA KITUMIA MAT**KO KUFIKIRI
 
Back
Top Bottom