Rais Magufuli aongea na Waziri Mkuu wa India

Rais Magufuli aongea na Waziri Mkuu wa India

Kuna vitu wakati wa Kikwete na waliomtangulia vilikua vikifanyika hata hatujui. Maana vya nini tujue.
Sasa propaganda za uongozi huu mpk zinakera yaani. Inafikia mtu kusoma habari kama hii unakasirika.
Jana taarifa habari wazir wa mambo ya nje anaongea na wa Norway kwenye video call. Baasi tunaoneshwa mpk picha jinsi walivokua wakiongea.
Too much propaganda for nothing.
Justt do your ficving business behind the scene and we as citizen we will just feel the the positive impact of what we have sent you to do. Showboating showboating mpaka lini
Ushamba mkuu wangu ni mzigo mzito.Mtu unakuwa Mwalimu wa chuo kikuu au unasoma hadi phD level lakini bado ni mshamba wa vitu Kama video call?kama wangejua watanzania wengi tunafanya kazi na taasisi za kimataifa na kwamba video call kwa kutumia ama Skype,Microsoft or Blue jeans ni sehemu ya maisha yetu wala wasingedhubutu kuweka ushamba wao hadharani
 
ATCL inapiga safari kuwarudisha raia wa India waliokwama Tanzania na kurejea na raia wa Tanzania waliokwama India. Safi sana zama hizi ni za kimkakati tu hakuna kulala. Hapa Kazi Tu!

Vile vile kwa taarifa tu, safari za India zipo njiani kurejea hivi karibuni pamoja na zile zote zilizositishwa kutokana na Covid-19. Wenye wivu wajinyonge.
 
Narendra anamkubali sana Rais Magufuli


Wewe unajisemea tu!!!, unawajua Wahindi???--- Muhindi kamwe halambi mkono mtupu, kuna kitu kipo nyuma kinakuja wewe tusubiri tu.

Muhindi ni Rafiki kwa enye hiki, ni mnafiki kwenye dhiki.
 
Ushamba mkuu wangu ni mzigo mzito.Mtu unakuwa Mwalimu wa chuo kikuu au unasoma hadi phD level lakini bado ni mshamba wa vitu Kama video call?kama wangejua watanzania wengi tunafanya kazi na taasisi za kimataifa na kwamba video call kwa kutumia ama Skype,Microsoft or Blue jeans ni sehemu ya maisha yetu wala wasingedhubutu kuweka ushamba wao hadharani
Ni kweli ushamba ni mzigo na hata wewe inawezekana unao umeubeba. Yaani hapo ulipolazimisha tujue shughuli zako inaonekana ndio yale yale.
 
Aibu hata kwa taifa, manake amekuwa kama kiongozi wa kimila wa kabila lake, akina mtemi.

Taifa lipi? Pengine taifa la fazili? Maana hata ulipojiandikisha uliweka jina kama fazili. Hata kuweka capital tu ilikushinda ukazawadiwa JF Expert member kumbe wewe ni Tinker tu, sasa haya mambo ambayo yamekuzidi kimo utaweza?
 
Taifa lipi? Pengine taifa la fazili? Maana hata ulipojiandikisha uliweka jina kama fazili. Hata kuweka capital tu ilikushinda ukazawadiwa JF Expert member kumbe wewe ni Tinker tu, sasa haya mambo ambayo yamekuzidi kimo utaweza?
You got to be serious! Do you really mean to support the tyrany? We need competent leaders for which case jiwe would barely qualify for a village position as even village leaders who struggle to understand English will poorly serve their subjects, right? Acheni ushamba wa kushabikia chama chakavu.
 
You got to be serious! Do you really mean to support the tyrany? We need competent leaders for which case jiwe would barely qualify for a village position as even village leaders who struggle to understand English will poorly serve their subjects, right? Acheni ushamba wa kushabikia chama chakavu.
Jamani lugha ya watu hiyo!!
 
You got to be serious! Do you really mean to support the tyrany? We need competent leaders for which case jiwe would barely qualify for a village position as even village leaders who struggle to understand English will poorly serve their subjects, right? Acheni ushamba wa kushabikia chama chakavu.

Usiote wakati wa mchana, nafikiri ushamba unakusumbua wewe hata hufahama maana ya maneno unayotumia. Hivi unafahamu kiingereza ni lugha tu kama lugha ya babu yako? Bado una safari ndefu, ungefahamu hata nusu tu ya niliyoandika hungeweza kujibu.
 
Ndiyo inayomfanya jiwe ajifungie ndani na asithubutu kutoka nje ya Tz kwa kisingizio eti anabana matumizi. Watanzania tufunguke.

Kweli wewe binafsi unatakiwa ufunguke.
 
Usiote wakati wa mchana, nafikiri ushamba unakusumbua wewe hata hufahama maana ya maneno unayotumia. Hivi unafahamu kiingereza ni lugha tu kama lugha ya babu yako? Bado una safari ndefu, ungefahamu hata nusu tu ya niliyoandika hungeweza kujibu.
Can you write a sentence in English? Umeelewa nilichoandika?
 
Ni kweli ushamba ni mzigo na hata wewe inawezekana unao umeubeba. Yaani hapo ulipolazimisha tujue shughuli zako inaonekana ndio yale yale.
Washamba kumbe tupo wengi Ila ushamba wa viongozi wa awamu ya tano upo above average
 
Mi hua navutiwa tu na pigo za,mzee Modi. Hana habari ya suti na moka hata siku moja. Hivi na sisi hatuwezi kujaribu siku 1 rais au pm akatua kwenye kikao cha G20 na pigo za kimasai?
 
Back
Top Bottom