Rais Magufuli aongea na Waziri Mkuu wa India

Wahindi na wachina wadau wetu wapya wa maendeleo!!
 
Ndiyo inayomfanya jiwe ajifungie ndani na asithubutu kutoka nje ya Tz kwa kisingizio eti anabana matumizi. Watanzania tufunguke.
Wewe mburula kweli, yaani rais ashindwe kwenda nje ya nchi kwa sababu ya kutojua kiingereza?
 
Sifa hizi sasa..
Eti tuseme kwamba nae anajua kiingereza sasa.
Teh teh teh teh!!!
Ujinga tu na utumwa wa fikira.
 
Reactions: Dua
Wewe mburula kweli, yaani rais ashindwe kwenda nje ya nchi kwa sababu ya kutojua kiingereza?
Viongozi wengi wasio kuwa diplomatic na wenye uwezo mdogo wa kujenga hoja na kujieleza kuwa wanabaki nyumbani na hawapendi sana kwenda kwenye mikutano nje na mifano hai ipo hapa hapa lakiki itasingiziwa oh tunabana matumizi...oh..yote hayo ni incompetence za viongozi wetu, tuwe makini wakati wa uchaguzi.
 
"Uwezo mdogo wa kujieleza na kujenga hoja"
Hiyo ndiyo pointi, siyo kuongea kiingereza
 

Lakini si ndio uwazi huo ambao kila mtu anasema unatakiwa?
 

That's beside the point. People had been complaining that the Government is doing its business in secrecy, while it is supposed to do it for its own people. Who cares if other people are using different methods, or what've you got during this pandemic, let them do whatever they think is right to do. If the opportunity comes and you think you can do better its your turn to show Tanzanians how its done. At the moment its their turn, calling other people names does not help, it only shows how narrow minded people are. BTW you do not need to work with ''taasisi za kimataifa'' to use video conferencing.
 
Angalia historia ya JPM kabla hajawa rais.
 
Hivi ingekua Obama ndo kaja kwenye hii awamu ya 5 ingekuaje?
 
Lakini si ndio uwazi huo ambao kila mtu anasema unatakiwa?
Hamna aisee. Wanajionesha tuwaone kua wanapendwa na ma beberu
Mbona kuna vitu vya maaana km bunge live na vingine hawatuoneshi km ni wawazi
 
Hamna aisee. Wanajionesha tuwaone kua wanapendwa na ma beberu
Mbona kuna vitu vya maaana km bunge live na vingine hawatuoneshi km ni wawazi

Hakuna hata Beberu moja wanayependana na awamu ya JPM kwa sababu Mabeberu wanamuogopa. Kama nchi zote za Afrika wakiamua kukomaa kama Tanzania watakuwa na wakati mgumu, wazungu watakufa na njaa. Afrika hivi sasa wanawalisha wazungu kwa mambo mengi tu. (tafakari). Yanayotokea Bungeni mbona tunayaona kwenye videos etc. Unlesss unataka kusema hizo zinakuwa edited. Unaweza kuniambia umuhimu wa kuonyesha ''Live'' Bunge wakati wanajadiliana?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…