Rais Magufuli aongeza muda kwa usajili wa laini kwa alama za vidole

Atuongeze Miaka Mingine Minne
 
Hivi inakuwaje kwa wale watu ambao wanaidhi Tanzania lakini sio watanzania,kwahyo wao watasajili kwa kutumia kitambulisho gani?...ninavyojua wenyewe hawana kitambulisho cha NIDA,au hawataruhusiwa kuwa na laini za Tanzania? Mfano Mwinyi Zahera,Niyonzima ,Juma sharobaro,mabalozi n.k?,...ufanunuzi please!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nchi hii dah, ni vyema kushuku kila kauli inayotoka katika kinywa cha mwanadamu, maana huwezi kujua kesho atazungumza nini.

Watu wanakana maandiko yao (Serikali 2 Vs 3); wengine wanalaumu mkuu kuwatumia wana zuoni. kwenye nafasi za uongozi leo lakini kesho nao wakiwa kama wanazuoni wanateuliwa kuwa viongozi wanaishukuru mamlaka ya uteuzi.

Wengine leo hasifungiwe mtu hadi Dec, mara kama A hajakamilisha kazi yake basi B hasimnyime mnyonge mawasiliano sababu ya uzembe wa A mara baada ya 20 tu fungia wote.

Haya baba, tutajitahidi tusajiri line zetu kwa jasho na damu ili tuendelee kuwasiliana. Ikishindikana basi tutakupa tena mi 5 mingine kwa ahadi ya kuturudishia tena mawasiliano yetu.

Lakini hongera sana baba kwa kuonesha njia, maana tulikuwa tunajificha kwenye kichaka cha kauli ya Mbeya na Moro na kile cha msaidizi wako wa ndani kule mjengoni Dom ndio vimeshachomwa moto.
 
The President acts like a high school PREFECT!

Hii nchi haina sheria?

Bunge mpaka muda huu halijatunga sheria za usajili wa laini za simu?

TCRA hawana miongozo na kanuni mpya za usajili wa alama za vidole?

Yaani Rais wa nchi anaweza tu kutoa hisani na kuelekeza lolote na kutoa sanctions kuhusu lolote jinsi apendavyo?

So much politics and abuse of power (potential abuse of power).

Hivyo, baada ya tarehe 20 kupita, hapatakuwa na watu watakaosajili laini mpya zingine?

What do they mean by "deadline"?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe Magufuli alikuwa anasubiria karibu na mwisho.

Sio kila jambo kiongozi uwe wa mfano.

Hongera kwa Mh rais kukamilisha usajili, sasa wewe ni nani hadi usiende kufanya usajili wa line yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Deadline kwa maana ya kwamba hautaweza fanya mawasiliano itakapofika hiyo siku iliyotangazwa kama haujasajiri kwa alama za vidole. Haimaanishi zoezi la usajiri halitaendelea usajiri utaendelea kama kawaida ila usipokamilisha kwa alama za vidole upande wako utasitishiwa mawasiliano.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Strange, Mr president, kama mtu hana kitambulisho cha NIDA anafanyaje kukipata. Limiting step ni ipi? Huyu amesoma chemistry, anajua mambo ya rate limiting step/rate limiting step katika chemical reactions! The slowest step is the one that detrmines the end of the reaction. sasa kama NIDA hawatoi vitambulisho, hizo 20 days ni useless!
 

Muda wa kukaa madarakani anaongeza lini?

Hii nchi bila Dr John P. Magufuli tungeipoteza kabisa kwa mafisadi na vibaraka wao.
 
They are not serious, tutashuhudia vituko!kumbuka inshu ya simu fake..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…