Atuongeze Miaka Mingine MinneTUNAMSHUKURU MH.RAIS,LAKINI BADO PIA HUO MUDA NI MDOGO MNO,SPEED YA JAMAA WA NIDA NI NDOGO MNO.
#TUNAOMBA AONGEZE MIEZI 3,
#USAJILI WA LINE KWA NJIA ZA KADI YA KITAMBULISHO CHA TAIFA TU NDIO UKUBALIKE.
#WANAOPOTEZA SIMU ZAO IWE NI LAZIMA KUZI RENEW KWA KITAMBULISHO CHA TAIFA.
#GHARAMA ZA AFIDAVITY ZIONDOLEWE KABISA PAMOJA NA AINA ZOTE ZA TOZO NDOGONDOGO ZIFUTWE,KWANI VITAMBULISHO HIVI VIMETENGENEZA DILI TAYARI KWA BAADHI YA WATENDAJI WA NGAZI MBALIMBALI.
#
Hawezi kufanya hamasa ya hivyo wakati PM alishalivalia njugaTunaomba Rais ahamasishe watu kupima HIV kwa mfano huu.
Pombe wakati mwingine huwa haifai kabisa...!Atuongeze Miaka Mingine Minne
Deadline kwa maana ya kwamba hautaweza fanya mawasiliano itakapofika hiyo siku iliyotangazwa kama haujasajiri kwa alama za vidole. Haimaanishi zoezi la usajiri halitaendelea usajiri utaendelea kama kawaida ila usipokamilisha kwa alama za vidole upande wako utasitishiwa mawasiliano.The President acts like a high school PREFECT!
Hii nchi haina sheria?
Bunge mpaka muda huu halijatunga sheria za usajili wa laini za simu?
Yaani Rais wa nchi anaweza tu kutoa hisani na kuelekeza lolote na kutoa sanctions kuhusu lolote jinsi apendavyo?
Hivyo, baada ya tarehe 20 kupita, hapatakuwa na watu watakaosajili laini mpya zingine?
What do they mean by "deadline"?
Sent using Jamii Forums mobile app
Strange, Mr president, kama mtu hana kitambulisho cha NIDA anafanyaje kukipata. Limiting step ni ipi? Huyu amesoma chemistry, anajua mambo ya rate limiting step/rate limiting step katika chemical reactions! The slowest step is the one that detrmines the end of the reaction. sasa kama NIDA hawatoi vitambulisho, hizo 20 days ni useless!Rais Magufuli leo Dec 27, 2019 amefanya usajili wa laini yake ya simu kwa kutumia alama za vidole na kuwataka Watanzania kusajili laini zao kwa alama za vidole kama ilivyoelekezwa na TCRA, JPM ametangaza kuongeza siku 20 kwa ambao hawajakamilisha zoezi hilo.
_
Rais Magufuli amefanya usajili huo wa laini yake kwa alama za vidole Chato, Mkoani Geita ambapo ameongeza siku 20 kuanzia Jan 01, 2020 hadi Jan 20, 2020 kwa wote ambao watashindwa kusajili laini zao katika kipindi cha kuishia December 31, 2019 kama ilivyotangazwa na TCRA.
_
Rais Magufuli amesisitiza kuwa baada ya siku 20 alizoongeza kukamilika hakuna kisingizio chochote kitakachokubalika na ameagiza TCRA kuhakikisha laini ambazo hazijasajiliwa zinazimwa “usajili wa laini za simu kwa alama za vidole ni muhimu kwa usalama wa nchi, unaepusha uhalifu”
Magufuli anadhihirisha kwamba yeye ni Rais wa wanyongeRais John Magufuli ameongeza siku 20 kuanzia kuanzia Januari 1-20 kwa watu wote watakaoshindwa kusajili laini zao za simu ifikapo Desemba 31.
Pia, leo Desemba 27 Rais amefanya usajili wa laini yake kwa kutumia alama za vidole
Mwananchi
====
View attachment 1304669
Hazitaongezwa hata sekunde
Rais John Magufuli ameongeza siku 20 kuanzia kuanzia Januari 1-20 kwa watu wote watakaoshindwa kusajili laini zao za simu ifikapo Desemba 31.
Pia, leo Desemba 27 Rais amefanya usajili wa laini yake kwa kutumia alama za vidole
Mwananchi
====
View attachment 1304669
Anapenda mwenyewe ili apate sifa!Mheshimiwa sikuizi anafanya kazi TCRA ama..?
Kwanini aongeze yeye mbona atachoka sana wangemsaidia Tu wateule wake
They are not serious, tutashuhudia vituko!kumbuka inshu ya simu fake..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
hilo liko wazi ndugu ukitaka kujua ukweli, tafuta card ya voda iliyokwishasajiliwa mpigie mwenye namba ya voda inaanza sauti kuwa 'laini yako haijasajiliwa kwa alama ya vidole kama inavyotakiwa kisheria.....'
niliudhika nikawapigia eti najibiwa samahani hiyo sauti imewekwa kimakosa lkn baadae wataitoa. nikamuuliza dada pamoja na wasomi wa it mlionao wameshindwa kuweka mfumo thabiti wa kutifautisha cards zenye usaili na zisizosajiliwa iki kutuondolea kero ya kusubiri dk nzima kupisha tangazo lenu? alibaki kuuma midomo.
nahisi site tutapigea pini watuambie tena tukaunge foleni maduka yao awamu hii tukiwa na kitambulisho na barua ya kiapo cha mahakama. huwa najisemea tu, teknolojia inatukimbiza tofauti ma mwendo wa gari letu
Sent using Jamii Forums mobile app
Subiri mkuu..kumbuka ishu ya simu fake,zilizimwa hats ambazo zilisajiliwa as originalKivipi wakati taarifa zote ziko kwenye kanzi-data