[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
hilo liko wazi ndugu ukitaka kujua ukweli, tafuta card ya voda iliyokwishasajiliwa mpigie mwenye namba ya voda inaanza sauti kuwa 'laini yako haijasajiliwa kwa alama ya vidole kama inavyotakiwa kisheria.....'
niliudhika nikawapigia eti najibiwa samahani hiyo sauti imewekwa kimakosa lkn baadae wataitoa. nikamuuliza dada pamoja na wasomi wa it mlionao wameshindwa kuweka mfumo thabiti wa kutifautisha cards zenye usaili na zisizosajiliwa iki kutuondolea kero ya kusubiri dk nzima kupisha tangazo lenu? alibaki kuuma midomo.
nahisi site tutapigea pini watuambie tena tukaunge foleni maduka yao awamu hii tukiwa na kitambulisho na barua ya kiapo cha mahakama. huwa najisemea tu, teknolojia inatukimbiza tofauti ma mwendo wa gari letu
Sent using
Jamii Forums mobile app