Rais Magufuli aongezewe Ulinzi

eh mawazo chanya ila umetoka huko na humfahamu CDF wa sasa
 
Maana mafisadi wamevuta midomo, amevuruga mifumo yao ya ujambazi, amefumua njia zao zote za giza walizokuwa wanatumia kutusua, wana roho mbaya kama wasaga sumu.

Pia nawaomba watu wa system wamtazame JPM kwa jicho la tatu. Wamlinde kama mboni ya jicho aendelee kutumbua damu itembee vizuri mwilini.
 
umesikia wapi?
 
Reactions: BAK
If you are just so much afraid and uncertain kwa nini msimshauri afanye movements zake akiwa ikulu tu? Mpk mtu a rule ukuta atakuwa kefhaonekana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anajitisha mwenyewe ulinzi ameongezewa ila hakuna anaemuwinda!! Vita vya uchumi ni akili na kuminya supply tu atanyooka!! Wawekezaji wana slow down wafanya biashara the same....walipa kodi wakubwa wanapunguza mzunguko na investment......kodi kidogo maana hawana imani ten kuweka pesa mingi.....vita y uchumi ni ngumu sana!! From 1.2T to 700b sio mchezo....atakopa hadi kwa Nkurunzinza akija ziara hapa!!!
 
Na ulinzi wa mungu pia, ulinzi wa dola peke yake hautoshi.Tuzidi kumuombea
 
Rais Magufuli ni mwema kwa vyovyote vile.
Kajitoa kafara, kafala yake Lazima iwe ghari. Anapigania Watanzania majority.

Vita ya kiuchumi ni ngumu Sana, inahitaji Watanzania wachache model ya prisident Magufuli.

Kuna viongozi Wengi mashuhuri duniani kwa Sasa wanakuja kama wenyeji kusapoti juhudu za muheshimiwa Magufuli.
Nahisi Wengi wa hawa viongozi mashuhuri duniani ni maajenti wa mashirika ya kijasusi duniani.

Nafasi walizonazo ni Lazima uwe mshirika wao, Inawezekana wakatumika na haya mashirka kama majasusi.
Watakuja na biology weapons, kwa kushikana na rais mikono huku wakimuangamiza slowly.
Jipangeni kwa Kila hali, hawa watu hawafai wanaposaka njuru.

Nashauri mboreshe kinga before cure madhubiti Kwa Rais Magufuli.

Tunamuhitaji Sana Wengi wetu atuvushe kwenye kadhia hii ya muda mrefu.
Magufuli ni nguzo na icon ya kilio cha Wengi Watanzania.
Kuumia kwake ki hasara hamtaruka lawama za Watanzania, kwa Imani walionayo kwake.

Nawakilisha!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
tatizo ninyi wote mnaongea hayo ni washamba, hamjui hata mnachokifanya, mnajifunza kufanya vitu, ni kama mpo maabara hamuamini mnachofanya hadi mkifanyie majaribio. wenye uwezo wametulia tu na hawajapata nafasi. ni kama kumtoa samaki aishi nje ya maji, au kumpeleka msukuma au masai akaogelee baharini. mmeharibu hii nchi, mmefanya watu wanaichukia nchi yao, mmefanya kama ni mali yenu vile. hamna maana wala faida yeyote kwa watz.
 
kwa 'gharama yoyote ile' hili neno unajua uzito wake au kwa kuwa lina 'typika' tu nawe uka type?
 
kwa 'gharama yoyote ile' hili neno unajua uzito wake au kwa kuwa lina 'typika' tu nawe uka type?
Ni vizuri watu wakajenga mazingira ya kujifunza kushauri yale yaliyo ndani ya uwezo wao tu!
 
Rais Magufuli ni mwema kwa vyovyote vile. Kajitoa kafara, kafala yake Lazima iwe ghari. Anapigania Watanzania majority.
Duh, hii sasa hatari, lugha! Kumtetea dikteta uchwara lazima kwanza na wewe ujitoe akili. Bestfruits hebu soma tena ulichoandika halafu jiulize kama unajua kweli maana ya kujitoa kafara...je, kweli anayejitoa kafara anahitaji ulinzi! Kama unamlinda aliyejitoa kafara, lazima na wewe ujitoe kafara...sasa hapa nani anahitaji ulinzi kuliko mwingine?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…