Rais Magufuli ni mwema kwa vyovyote vile.
Kajitoa kafara, kafala yake Lazima iwe ghari. Anapigania Watanzania majority.
Vita ya kiuchumi ni ngumu Sana, inahitaji Watanzania wachache model ya prisident Magufuli.
Kuna viongozi Wengi mashuhuri duniani kwa Sasa wanakuja kama wenyeji kusapoti juhudu za muheshimiwa Magufuli.
Nahisi Wengi wa hawa viongozi mashuhuri duniani ni maajenti wa mashirika ya kijasusi duniani.
Nafasi walizonazo ni Lazima uwe mshirika wao, Inawezekana wakatumika na haya mashirka kama majasusi.
Watakuja na biology weapons, kwa kushikana na rais mikono huku wakimuangamiza slowly.
Jipangeni kwa Kila hali, hawa watu hawafai wanaposaka njuru.
Nashauri mboreshe kinga before cure madhubiti Kwa Rais Magufuli.
Tunamuhitaji Sana Wengi wetu atuvushe kwenye kadhia hii ya muda mrefu.
Magufuli ni nguzo na icon ya kilio cha Wengi Watanzania.
Kuumia kwake ki hasara hamtaruka lawama za Watanzania, kwa Imani walionayo kwake.
Nawakilisha!
Sent using
Jamii Forums mobile app