Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,455
- 73,145
Mimi nashauri kwa vile yeye ni kipenzi cha watu basi tutumie ile mbinu ya Osare Otango itakayo mfanya wakati mwingine anaweza kupita mahali bila kuonekana. Au tumuulize mtoto wa shehe Yahaya jee ule ulinzi usioonekana hauwezi kupewa huyu mzee wetu? Wakipatikana majini kama ishirini hivi atakuwa salama kuliko hata yule wa Korea Kaskazini.
Tumempenda wenyewe, hivyo tufanye kila tuwezalo hata kama ikibidi asafiri kwa ungo