Uchaguzi 2020 Rais Magufuli apite bila kupingwa

Uchaguzi 2020 Rais Magufuli apite bila kupingwa

Malick M. Malick

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2013
Posts
658
Reaction score
312
Ukweli wa Mambo Magufuli anashinda Kwa kishindo ..itoshe kusema kwamba Hana Mpinzani Kwa Tanzania,Afrika na Dunia

Uwezo wake wa kufanya kazi kila mmoja anaujua jinsi alivyo mtekelezaji kuliko maneno watanzania wanavutiwa nae

WATANZANIA, BILA KUJALI VYAMA VYETU MAGUFULI TUMUACHE APITE BILA KUPINGWA

Kwa utendaji wa RAIS MAGUFULI Sisi kama watanzania tulipaswa kumuacha apite bila kupingwa , watanzania ,Afrika ,Dunia inajua Rais Magufuli atashinda kwa kishindo.

Rais Magufuli Dunia mzima inajua utendaji wake ,2015 tulimchagua sababu alifanya makubwa akiwa Waziri katika wizara mbalimbali ,alijiuza Kwa uchapaji kazi wake.

Tulipomchagua kuwa Rais amefanya makubwa Dunia mzima imesimama kumshamshangaa Ngosha ,mtu mchapakazj ,mwenye maono na wanajua atachaguliwa Kwa KISHINDO.

Sisi watanzania tulitakiwa kumpa heshima iliotukuka Kwa uchapakazi wake.

Tulitakiwa vyama vyote vimuunge mkono apite peke yake tupige Kura za NDIYO ,kuna aina nyingi za demokrasia duniani

Sio lazima kusimamisha mgombea katika kila nafasi.

URAIS MAGUFULI MITANO TENA, KAZI IKAENDELEEE

Niwaombie upinzani kutorudisha form za Urais pia ni uzalendo ,ni kumuheshimisha RAIS Magufuli.

Watanzania katika Urais twende na Magufuli ana Nena na kutenda.

Iwa mwema

MALIKI MALIKI
 
ona chuma kinavyofuta ndani ya wiki 1 tu magoli yote yaliyofungwa kwa miaka 5.

kampeni zikianza MATAGA watakimbia nchi!

 
Kama ulikula hela zake na kumwambia kuwa upinzani umekufa, bora urudishe hizo hela maana itakuwa tatizo kubwa. Alishazoea kupita bila kupingwa, hebu apambane apate kura atakapopata na wengine wapate watakazopata.
Mzee anachanganyikiwa sna
 
Watanzania wapi hao unawaongelea?? Yaani mawazo yako binafsi ndo unakuja kutuunganisha watanzania wote kweli?

Good new Ni kwamba hata yeye anajua kua kushinda kwake kihalali Ni ngumu yaani Ni rahisi ngamia kupita ktk tundu la sindano kuliko magufuli kushinda katika uchaguzi huu nayeye analijua hilo ndo maana anahangaika kufanya kila aina ya hujuma ili apite bila kupingwa lakn nyie wapambe wake hamlijui hilo ndo maana mnapiga kelel hapa Jf
 
Ukweli wa Mambo Magufuli anashinda Kwa kishindo ..itoshe kusema kwamba Hana Mpinzani Kwa Tanzania,Afrika na Dunia

Uwezo wake wa kufanya kazi kila mmoja anaujua jinsi alivyo mtekelezaji kuliko maneno watanzania wanavutiwa nae

WATANZANIA ,BILA KUJALI VYAMA VYETU MAGUFULI TUMUACHE APITE BILA KUPINGWA

Kwa utendaji wa RAIS MAGUFULI Sisi kama watanzania tulipaswa kumuacha apite bila kupingwa , watanzania ,Afrika ,Dunia inajua Rais Magufuli atashinda kwa kishindo .

Rais Magufuli Dunia mzima inajua utendaji wake ,2015 tulimchagua sababu alifanya makubwa akiwa Waziri katika wizara mbalimbali ,alijiuza Kwa uchapaji kazi wake ,

Tulipomchagua kuwa Rais amefanya makubwa Dunia mzima imesimama kumshamshangaa Ngosha ,mtu mchapakazj ,mwenye maono na wanajua atachaguliwa Kwa KISHINDO

Sisi watanzania tulitakiwa kumpa heshima iliotukuka Kwa uchapakazi wake .

Tulitakiwa vyama vyote vimuunge mkono apite peke yake tupige Kura za NDIYO ,kuna aina nyingi za demokrasia duniani

Sio lazima kusimamisha mgombea katika kila nafasi .

URAIS MAGUFULI MITANO TENA ,KAZI IKAENDELEEE

Niwaombie upinzani kutorudisha form za Urais pia ni uzalendo ,ni kumuheshimisha RAIS Magufuli ..

Watanzania katika Urais twende na Magufuli ana Nena na kutenda

Iwa mwema

MALIKI MALIKI
Jifunze kuheshimu katiba njoo nikupe elimi ya uraia ili ujinga ukutoke
 
Kwa
Kama ulikula hela zake na kumwambia kuwa upinzani umekufa, bora urudishe hizo hela maana itakuwa tatizo kubwa. Alishazoea kupita bila kupingwa, hebu apambane apate kura atakapopata na wengine wapate watakazopata.
Kwani 2015 alipita pia bila kupingwa.
 
Back
Top Bottom