Uchaguzi 2020 Rais Magufuli apite bila kupingwa

Uchaguzi 2020 Rais Magufuli apite bila kupingwa

Ukweli wa Mambo Magufuli anashinda Kwa kishindo ..itoshe kusema kwamba Hana Mpinzani Kwa Tanzania,Afrika na Dunia

Uwezo wake wa kufanya kazi kila mmoja anaujua jinsi alivyo mtekelezaji kuliko maneno watanzania wanavutiwa nae

WATANZANIA ,BILA KUJALI VYAMA VYETU MAGUFULI TUMUACHE APITE BILA KUPINGWA

Kwa utendaji wa RAIS MAGUFULI Sisi kama watanzania tulipaswa kumuacha apite bila kupingwa , watanzania ,Afrika ,Dunia inajua Rais Magufuli atashinda kwa kishindo .

Rais Magufuli Dunia mzima inajua utendaji wake ,2015 tulimchagua sababu alifanya makubwa akiwa Waziri katika wizara mbalimbali ,alijiuza Kwa uchapaji kazi wake ,

Tulipomchagua kuwa Rais amefanya makubwa Dunia mzima imesimama kumshamshangaa Ngosha ,mtu mchapakazj ,mwenye maono na wanajua atachaguliwa Kwa KISHINDO

Sisi watanzania tulitakiwa kumpa heshima iliotukuka Kwa uchapakazi wake .

Tulitakiwa vyama vyote vimuunge mkono apite peke yake tupige Kura za NDIYO ,kuna aina nyingi za demokrasia duniani

Sio lazima kusimamisha mgombea katika kila nafasi .

URAIS MAGUFULI MITANO TENA ,KAZI IKAENDELEEE

Niwaombie upinzani kutorudisha form za Urais pia ni uzalendo ,ni kumuheshimisha RAIS Magufuli ..

Watanzania katika Urais twende na Magufuli ana Nena na kutenda

Iwa mwema

MALIKI MALIKI
Bila kumwengua Tundu Lissu kwa kinyan'ganyiro asahau ushindi. Aombe tu Kaijage amsaidie, la sivyo anakwenda na maji!
 
Ila verified users mnaongoza kwa kujikomba sana!...Ila awe bora lazima awashinde wagombea wengine.

Eti hana mpinzani Tanzania, Afrika na Dunia....amekuwa Mungu?

Mungu mwenyewe ana wapinzani..hawa jamaa wanajitoa akili tu!
 
Ukweli wa Mambo Magufuli anashinda Kwa kishindo ..itoshe kusema kwamba Hana Mpinzani Kwa Tanzania,Afrika na Dunia

Uwezo wake wa kufanya kazi kila mmoja anaujua jinsi alivyo mtekelezaji kuliko maneno watanzania wanavutiwa nae

WATANZANIA ,BILA KUJALI VYAMA VYETU MAGUFULI TUMUACHE APITE BILA KUPINGWA

Kwa utendaji wa RAIS MAGUFULI Sisi kama watanzania tulipaswa kumuacha apite bila kupingwa , watanzania ,Afrika ,Dunia inajua Rais Magufuli atashinda kwa kishindo .

Rais Magufuli Dunia mzima inajua utendaji wake ,2015 tulimchagua sababu alifanya makubwa akiwa Waziri katika wizara mbalimbali ,alijiuza Kwa uchapaji kazi wake ,

Tulipomchagua kuwa Rais amefanya makubwa Dunia mzima imesimama kumshamshangaa Ngosha ,mtu mchapakazj ,mwenye maono na wanajua atachaguliwa Kwa KISHINDO

Sisi watanzania tulitakiwa kumpa heshima iliotukuka Kwa uchapakazi wake .

Tulitakiwa vyama vyote vimuunge mkono apite peke yake tupige Kura za NDIYO ,kuna aina nyingi za demokrasia duniani

Sio lazima kusimamisha mgombea katika kila nafasi .

URAIS MAGUFULI MITANO TENA ,KAZI IKAENDELEEE

Niwaombie upinzani kutorudisha form za Urais pia ni uzalendo ,ni kumuheshimisha RAIS Magufuli ..

Watanzania katika Urais twende na Magufuli ana Nena na kutenda

Iwa mwema

MALIKI MALIKI
Mbona kwenye chama chetu imetoka form moja tu
 
Ukiwa Km Kada Mtiifu Ni Lazima Uonyeshe Ukomavu Wa KISIASA....

Unaposema APITE bila ya kupingwa Una Maana Kuwa Serikali Inacheza Kuyatenga Mabilioni Yote Yale Kutoka Jasho La Wananchi kwa AJILI ya huu Uchaguzi ujao ili Kutimiza Matakwa Ya Katiba....Unataka Tuishi kama Nchi Isiyo Ustaarabu?!!!

Hebu Kuweni Think Tankers Ya Uzalendo Wa Kweli Kwa Nchi Na Chama.....
 
Ukweli wa Mambo Magufuli anashinda Kwa kishindo ..itoshe kusema kwamba Hana Mpinzani Kwa Tanzania,Afrika na Dunia

Uwezo wake wa kufanya kazi kila mmoja anaujua jinsi alivyo mtekelezaji kuliko maneno watanzania wanavutiwa nae

WATANZANIA ,BILA KUJALI VYAMA VYETU MAGUFULI TUMUACHE APITE BILA KUPINGWA

Kwa utendaji wa RAIS MAGUFULI Sisi kama watanzania tulipaswa kumuacha apite bila kupingwa , watanzania ,Afrika ,Dunia inajua Rais Magufuli atashinda kwa kishindo .

Rais Magufuli Dunia mzima inajua utendaji wake ,2015 tulimchagua sababu alifanya makubwa akiwa Waziri katika wizara mbalimbali ,alijiuza Kwa uchapaji kazi wake ,

Tulipomchagua kuwa Rais amefanya makubwa Dunia mzima imesimama kumshamshangaa Ngosha ,mtu mchapakazj ,mwenye maono na wanajua atachaguliwa Kwa KISHINDO

Sisi watanzania tulitakiwa kumpa heshima iliotukuka Kwa uchapakazi wake .

Tulitakiwa vyama vyote vimuunge mkono apite peke yake tupige Kura za NDIYO ,kuna aina nyingi za demokrasia duniani

Sio lazima kusimamisha mgombea katika kila nafasi .

URAIS MAGUFULI MITANO TENA ,KAZI IKAENDELEEE

Niwaombie upinzani kutorudisha form za Urais pia ni uzalendo ,ni kumuheshimisha RAIS Magufuli ..

Watanzania katika Urais twende na Magufuli ana Nena na kutenda

Iwa mwema

MALIKI MALIKI
Labda mumpitishe bila kupingwa awe Rais wa familia yako na wanao. Tanzania tunamtaka TUNDU Lissu period
 
Ukweli wa Mambo Magufuli anashinda Kwa kishindo ..itoshe kusema kwamba Hana Mpinzani Kwa Tanzania,Afrika na Dunia

Uwezo wake wa kufanya kazi kila mmoja anaujua jinsi alivyo mtekelezaji kuliko maneno watanzania wanavutiwa nae

WATANZANIA ,BILA KUJALI VYAMA VYETU MAGUFULI TUMUACHE APITE BILA KUPINGWA

Kwa utendaji wa RAIS MAGUFULI Sisi kama watanzania tulipaswa kumuacha apite bila kupingwa , watanzania ,Afrika ,Dunia inajua Rais Magufuli atashinda kwa kishindo .

Rais Magufuli Dunia mzima inajua utendaji wake ,2015 tulimchagua sababu alifanya makubwa akiwa Waziri katika wizara mbalimbali ,alijiuza Kwa uchapaji kazi wake ,

Tulipomchagua kuwa Rais amefanya makubwa Dunia mzima imesimama kumshamshangaa Ngosha ,mtu mchapakazj ,mwenye maono na wanajua atachaguliwa Kwa KISHINDO

Sisi watanzania tulitakiwa kumpa heshima iliotukuka Kwa uchapakazi wake .

Tulitakiwa vyama vyote vimuunge mkono apite peke yake tupige Kura za NDIYO ,kuna aina nyingi za demokrasia duniani

Sio lazima kusimamisha mgombea katika kila nafasi .

URAIS MAGUFULI MITANO TENA ,KAZI IKAENDELEEE

Niwaombie upinzani kutorudisha form za Urais pia ni uzalendo ,ni kumuheshimisha RAIS Magufuli ..

Watanzania katika Urais twende na Magufuli ana Nena na kutenda

Iwa mwema

MALIKI MALIKI

Tunataka mdahalo Raisi ajieleze mwenyewe na si wapambe
 
Watu wapunguze mapambio na wawe na uhalisia....hata kama mtu anampenda Rais kama mimi wasisahahu yule ni Mwanadamu na pande zake mbili....wamsaidie azidi kuimarika na siyo kupumbaza eti ameshafikia kilele cha ukamilifu.
Wana kufuru
 
Ila verified users mnaongoza kwa kujikomba sana!...Ila awe bora lazima awashinde wagombea wengine.

Eti hana mpinzani Tanzania, Afrika na Dunia....amekuwa Mungu?
Mleta uzi hayuko sawa sawa, asaidiwe kwa kweli.
 
ona chuma kinavyofuta ndani ya wiki 1 tu magoli yote yaliyofungwa kwa miaka 5.

kampeni zikianza MATAGA watakimbia nchi!


Ufipa mnashida sana. sasa hapo yupo kutafuta wadhamini au kwenye mkutano wa wananchi? ina maana hao wote wana kadi za uanachama au wamekuja kumuona kama kituko fulani. Think before you post your nanihiii hapo. Pumba tupu
 
Ukweli wa Mambo Magufuli anashinda Kwa kishindo ..itoshe kusema kwamba Hana Mpinzani Kwa Tanzania,Afrika na Dunia

Uwezo wake wa kufanya kazi kila mmoja anaujua jinsi alivyo mtekelezaji kuliko maneno watanzania wanavutiwa nae

WATANZANIA ,BILA KUJALI VYAMA VYETU MAGUFULI TUMUACHE APITE BILA KUPINGWA

Kwa utendaji wa RAIS MAGUFULI Sisi kama watanzania tulipaswa kumuacha apite bila kupingwa , watanzania ,Afrika ,Dunia inajua Rais Magufuli atashinda kwa kishindo .

Rais Magufuli Dunia mzima inajua utendaji wake ,2015 tulimchagua sababu alifanya makubwa akiwa Waziri katika wizara mbalimbali ,alijiuza Kwa uchapaji kazi wake ,

Tulipomchagua kuwa Rais amefanya makubwa Dunia mzima imesimama kumshamshangaa Ngosha ,mtu mchapakazj ,mwenye maono na wanajua atachaguliwa Kwa KISHINDO

Sisi watanzania tulitakiwa kumpa heshima iliotukuka Kwa uchapakazi wake .

Tulitakiwa vyama vyote vimuunge mkono apite peke yake tupige Kura za NDIYO ,kuna aina nyingi za demokrasia duniani

Sio lazima kusimamisha mgombea katika kila nafasi .

URAIS MAGUFULI MITANO TENA ,KAZI IKAENDELEEE

Niwaombie upinzani kutorudisha form za Urais pia ni uzalendo ,ni kumuheshimisha RAIS Magufuli ..

Watanzania katika Urais twende na Magufuli ana Nena na kutenda

Iwa mwema

MALIKI MALIKI
Mwambie mamako ampitishe kwa maana ana sehemu ya kumpitisha
 
Hapana hilo kwenye nchi yenye democracy halina nafasi
 
Ukweli wa Mambo Magufuli anashinda Kwa kishindo ..itoshe kusema kwamba Hana Mpinzani Kwa Tanzania,Afrika na Dunia

Uwezo wake wa kufanya kazi kila mmoja anaujua jinsi alivyo mtekelezaji kuliko maneno watanzania wanavutiwa nae

WATANZANIA ,BILA KUJALI VYAMA VYETU MAGUFULI TUMUACHE APITE BILA KUPINGWA

Kwa utendaji wa RAIS MAGUFULI Sisi kama watanzania tulipaswa kumuacha apite bila kupingwa , watanzania ,Afrika ,Dunia inajua Rais Magufuli atashinda kwa kishindo .

Rais Magufuli Dunia mzima inajua utendaji wake ,2015 tulimchagua sababu alifanya makubwa akiwa Waziri katika wizara mbalimbali ,alijiuza Kwa uchapaji kazi wake ,

Tulipomchagua kuwa Rais amefanya makubwa Dunia mzima imesimama kumshamshangaa Ngosha ,mtu mchapakazj ,mwenye maono na wanajua atachaguliwa Kwa KISHINDO

Sisi watanzania tulitakiwa kumpa heshima iliotukuka Kwa uchapakazi wake .

Tulitakiwa vyama vyote vimuunge mkono apite peke yake tupige Kura za NDIYO ,kuna aina nyingi za demokrasia duniani

Sio lazima kusimamisha mgombea katika kila nafasi .

URAIS MAGUFULI MITANO TENA ,KAZI IKAENDELEEE

Niwaombie upinzani kutorudisha form za Urais pia ni uzalendo ,ni kumuheshimisha RAIS Magufuli ..

Watanzania katika Urais twende na Magufuli ana Nena na kutenda

Iwa mwema

MALIKI MALIKI
Tume ya Uchaguzi yenu Jaji Mkuu wenu Mwapisheni tu
 
Ufipa mnashida sana. sasa hapo yupo kutafuta wadhamini au kwenye mkutano wa wananchi? ina maana hao wote wana kadi za uanachama au wamekuja kumuona kama kituko fulani. Think before you post your nanihiii hapo. Pumba tupu
poa poa.
hizi hasira zako ni dhahiri Lissu kakushika kunako....
 
Huku CCM kwenyewe tulitaka kumpinga, walipotushtukia likatoka agizo ichapishwe fomu 1. Itakuwa huko upinzaji kwenye mijitu mibishi iliyogomea mpaka kifo??

Acha hayo mambo buanaaa
 
Huku CCM kwenyewe tulitaka kumpinga, walipotushtukia likatoka agizo ichapishwe fomu 1. Itakuwa huko upinzaji kwenye mijitu mibishi iliyogomea mpaka kifo??

Acha hayo mambo buanaaa
Nimecheka sana eti iliyogomea mpaka kifo
 
Atake Asitake Mpaka Afie Kwenye Kiti
Chama Dola!!!
 
Back
Top Bottom