Uchaguzi 2020 Rais Magufuli apite bila kupingwa

Uchaguzi 2020 Rais Magufuli apite bila kupingwa

Ukweli wa Mambo Magufuli anashinda Kwa kishindo ..itoshe kusema kwamba Hana Mpinzani Kwa Tanzania,Afrika na Dunia

Uwezo wake wa kufanya kazi kila mmoja anaujua jinsi alivyo mtekelezaji kuliko maneno watanzania wanavutiwa nae

WATANZANIA ,BILA KUJALI VYAMA VYETU MAGUFULI TUMUACHE APITE BILA KUPINGWA

Kwa utendaji wa RAIS MAGUFULI Sisi kama watanzania tulipaswa kumuacha apite bila kupingwa , watanzania ,Afrika ,Dunia inajua Rais Magufuli atashinda kwa kishindo .

Rais Magufuli Dunia mzima inajua utendaji wake ,2015 tulimchagua sababu alifanya makubwa akiwa Waziri katika wizara mbalimbali ,alijiuza Kwa uchapaji kazi wake ,

Tulipomchagua kuwa Rais amefanya makubwa Dunia mzima imesimama kumshamshangaa Ngosha ,mtu mchapakazj ,mwenye maono na wanajua atachaguliwa Kwa KISHINDO

Sisi watanzania tulitakiwa kumpa heshima iliotukuka Kwa uchapakazi wake .

Tulitakiwa vyama vyote vimuunge mkono apite peke yake tupige Kura za NDIYO ,kuna aina nyingi za demokrasia duniani

Sio lazima kusimamisha mgombea katika kila nafasi .

URAIS MAGUFULI MITANO TENA ,KAZI IKAENDELEEE

Niwaombie upinzani kutorudisha form za Urais pia ni uzalendo ,ni kumuheshimisha RAIS Magufuli ..

Watanzania katika Urais twende na Magufuli ana Nena na kutenda

Iwa mwema

MALIKI MALIKI
Alitangaza kuua upinzani si dhani kama aliyetangaziwa kuuliwa atakubali ombi lako
 
Mleta mada wewe ni Kati ya wale watakao7bisha anguko la jpm Kwa mapambio kama haya yanamfanya anakuwa hohehahe ktk decision kwani hata akikosea hatajua na shida kubwa mlonayo ni kumsifia katikati ya makosa badala ya kumshauri vizuri mnampotosha.

Hebu mpelekee mchepuko wako huu upupu uloandika uone kama hata maji yakunywa utapewa, mtoto wa kiume unaandika huku umebinua kichuguu na vidole umepindisha sasa hii tabia iishie Tanganyika usijaribu ukiwa Mombasa.
 
Nahisi kunakikundi flani cha kikabila kimeshaota na kinatapakaa kwa kasi na kinamea kuelekea ngazi muhimu za kiserikali. Halafu wa tz hawajashtuka.God save our contry Amen.
 
Ukweli wa Mambo Magufuli anashinda Kwa kishindo ..itoshe kusema kwamba Hana Mpinzani Kwa Tanzania,Afrika na Dunia

Uwezo wake wa kufanya kazi kila mmoja anaujua jinsi alivyo mtekelezaji kuliko maneno watanzania wanavutiwa nae

WATANZANIA, BILA KUJALI VYAMA VYETU MAGUFULI TUMUACHE APITE BILA KUPINGWA

Kwa utendaji wa RAIS MAGUFULI Sisi kama watanzania tulipaswa kumuacha apite bila kupingwa , watanzania ,Afrika ,Dunia inajua Rais Magufuli atashinda kwa kishindo.

Rais Magufuli Dunia mzima inajua utendaji wake ,2015 tulimchagua sababu alifanya makubwa akiwa Waziri katika wizara mbalimbali ,alijiuza Kwa uchapaji kazi wake.

Tulipomchagua kuwa Rais amefanya makubwa Dunia mzima imesimama kumshamshangaa Ngosha ,mtu mchapakazj ,mwenye maono na wanajua atachaguliwa Kwa KISHINDO.

Sisi watanzania tulitakiwa kumpa heshima iliotukuka Kwa uchapakazi wake.

Tulitakiwa vyama vyote vimuunge mkono apite peke yake tupige Kura za NDIYO ,kuna aina nyingi za demokrasia duniani

Sio lazima kusimamisha mgombea katika kila nafasi.

URAIS MAGUFULI MITANO TENA, KAZI IKAENDELEEE

Niwaombie upinzani kutorudisha form za Urais pia ni uzalendo ,ni kumuheshimisha RAIS Magufuli.

Watanzania katika Urais twende na Magufuli ana Nena na kutenda.

Iwa mwema

MALIKI MALIKI

Umesahau kuandika email au namba ya simu mkuu
 
Ukweli wa Mambo Magufuli anashinda Kwa kishindo ..itoshe kusema kwamba Hana Mpinzani Kwa Tanzania,Afrika na Dunia

Uwezo wake wa kufanya kazi kila mmoja anaujua jinsi alivyo mtekelezaji kuliko maneno watanzania wanavutiwa nae

WATANZANIA, BILA KUJALI VYAMA VYETU MAGUFULI TUMUACHE APITE BILA KUPINGWA

Kwa utendaji wa RAIS MAGUFULI Sisi kama watanzania tulipaswa kumuacha apite bila kupingwa , watanzania ,Afrika ,Dunia inajua Rais Magufuli atashinda kwa kishindo.

Rais Magufuli Dunia mzima inajua utendaji wake ,2015 tulimchagua sababu alifanya makubwa akiwa Waziri katika wizara mbalimbali ,alijiuza Kwa uchapaji kazi wake.

Tulipomchagua kuwa Rais amefanya makubwa Dunia mzima imesimama kumshamshangaa Ngosha ,mtu mchapakazj ,mwenye maono na wanajua atachaguliwa Kwa KISHINDO.

Sisi watanzania tulitakiwa kumpa heshima iliotukuka Kwa uchapakazi wake.

Tulitakiwa vyama vyote vimuunge mkono apite peke yake tupige Kura za NDIYO ,kuna aina nyingi za demokrasia duniani

Sio lazima kusimamisha mgombea katika kila nafasi.

URAIS MAGUFULI MITANO TENA, KAZI IKAENDELEEE

Niwaombie upinzani kutorudisha form za Urais pia ni uzalendo ,ni kumuheshimisha RAIS Magufuli.

Watanzania katika Urais twende na Magufuli ana Nena na kutenda.

Iwa mwema

MALIKI MALIKI
Kwaheri ukoloni
Kwaheri Uhuru
 
Ukweli wa Mambo Magufuli anashinda Kwa kishindo ..itoshe kusema kwamba Hana Mpinzani Kwa Tanzania,Afrika na Dunia

Uwezo wake wa kufanya kazi kila mmoja anaujua jinsi alivyo mtekelezaji kuliko maneno watanzania wanavutiwa nae

WATANZANIA, BILA KUJALI VYAMA VYETU MAGUFULI TUMUACHE APITE BILA KUPINGWA

Kwa utendaji wa RAIS MAGUFULI Sisi kama watanzania tulipaswa kumuacha apite bila kupingwa , watanzania ,Afrika ,Dunia inajua Rais Magufuli atashinda kwa kishindo.

Rais Magufuli Dunia mzima inajua utendaji wake ,2015 tulimchagua sababu alifanya makubwa akiwa Waziri katika wizara mbalimbali ,alijiuza Kwa uchapaji kazi wake.

Tulipomchagua kuwa Rais amefanya makubwa Dunia mzima imesimama kumshamshangaa Ngosha ,mtu mchapakazj ,mwenye maono na wanajua atachaguliwa Kwa KISHINDO.

Sisi watanzania tulitakiwa kumpa heshima iliotukuka Kwa uchapakazi wake.

Tulitakiwa vyama vyote vimuunge mkono apite peke yake tupige Kura za NDIYO ,kuna aina nyingi za demokrasia duniani

Sio lazima kusimamisha mgombea katika kila nafasi.

URAIS MAGUFULI MITANO TENA, KAZI IKAENDELEEE

Niwaombie upinzani kutorudisha form za Urais pia ni uzalendo ,ni kumuheshimisha RAIS Magufuli.

Watanzania katika Urais twende na Magufuli ana Nena na kutenda.

Iwa mwema

MALIKI MALIKI
Acha akupitie wewe bila ya kumpinga
 
Kupita bila kupingwa mabeberu watakereka,acha vibaraka wa mabeberu(ACT na chadema) wamsindikize jembe magufuli kwenye ushindi wake wa kishindo

Akitoa dawa na ela za elimu unakuwa mhisani wa maendeleo sio beberu hahaha
 
Ukweli wa Mambo Magufuli anashinda Kwa kishindo ..itoshe kusema kwamba Hana Mpinzani Kwa Tanzania,Afrika na Dunia

Uwezo wake wa kufanya kazi kila mmoja anaujua jinsi alivyo mtekelezaji kuliko maneno watanzania wanavutiwa nae

WATANZANIA, BILA KUJALI VYAMA VYETU MAGUFULI TUMUACHE APITE BILA KUPINGWA

Kwa utendaji wa RAIS MAGUFULI Sisi kama watanzania tulipaswa kumuacha apite bila kupingwa , watanzania ,Afrika ,Dunia inajua Rais Magufuli atashinda kwa kishindo.

Rais Magufuli Dunia mzima inajua utendaji wake ,2015 tulimchagua sababu alifanya makubwa akiwa Waziri katika wizara mbalimbali ,alijiuza Kwa uchapaji kazi wake.

Tulipomchagua kuwa Rais amefanya makubwa Dunia mzima imesimama kumshamshangaa Ngosha ,mtu mchapakazj ,mwenye maono na wanajua atachaguliwa Kwa KISHINDO.

Sisi watanzania tulitakiwa kumpa heshima iliotukuka Kwa uchapakazi wake.

Tulitakiwa vyama vyote vimuunge mkono apite peke yake tupige Kura za NDIYO ,kuna aina nyingi za demokrasia duniani

Sio lazima kusimamisha mgombea katika kila nafasi.

URAIS MAGUFULI MITANO TENA, KAZI IKAENDELEEE

Niwaombie upinzani kutorudisha form za Urais pia ni uzalendo ,ni kumuheshimisha RAIS Magufuli.

Watanzania katika Urais twende na Magufuli ana Nena na kutenda.

Iwa mwema

MALIKI MALIKI
Unajikomba hadi unatia kinyaa!
 
Ukweli wa Mambo Magufuli anashinda Kwa kishindo ..itoshe kusema kwamba Hana Mpinzani Kwa Tanzania,Afrika na Dunia

Uwezo wake wa kufanya kazi kila mmoja anaujua jinsi alivyo mtekelezaji kuliko maneno watanzania wanavutiwa nae

WATANZANIA, BILA KUJALI VYAMA VYETU MAGUFULI TUMUACHE APITE BILA KUPINGWA

Kwa utendaji wa RAIS MAGUFULI Sisi kama watanzania tulipaswa kumuacha apite bila kupingwa , watanzania ,Afrika ,Dunia inajua Rais Magufuli atashinda kwa kishindo.

Rais Magufuli Dunia mzima inajua utendaji wake ,2015 tulimchagua sababu alifanya makubwa akiwa Waziri katika wizara mbalimbali ,alijiuza Kwa uchapaji kazi wake.

Tulipomchagua kuwa Rais amefanya makubwa Dunia mzima imesimama kumshamshangaa Ngosha ,mtu mchapakazj ,mwenye maono na wanajua atachaguliwa Kwa KISHINDO.

Sisi watanzania tulitakiwa kumpa heshima iliotukuka Kwa uchapakazi wake.

Tulitakiwa vyama vyote vimuunge mkono apite peke yake tupige Kura za NDIYO ,kuna aina nyingi za demokrasia duniani

Sio lazima kusimamisha mgombea katika kila nafasi.

URAIS MAGUFULI MITANO TENA, KAZI IKAENDELEEE

Niwaombie upinzani kutorudisha form za Urais pia ni uzalendo ,ni kumuheshimisha RAIS Magufuli.

Watanzania katika Urais twende na Magufuli ana Nena na kutenda.

Iwa mwema

MALIKI MALIKI
Ili watz waendelee kuwa masikini kwasababu wwe ni mnufaika
 
Wajinga wanazidi kupungua ila naona ww umeendelea kushikia ujinha, pambana utoke kwenye hiyo 58% hapo ambayo sahivi imekuwa 30% maana T.Lissu anapindua meza
20200917_214810.jpg
 
Sijawahi msikia Magufuli anasema yeye mnyonge na siku ikimwita mnyonge am shually atakuteka.
 
Ukweli wa Mambo Magufuli anashinda Kwa kishindo ..itoshe kusema kwamba Hana Mpinzani Kwa Tanzania,Afrika na Dunia

Uwezo wake wa kufanya kazi kila mmoja anaujua jinsi alivyo mtekelezaji kuliko maneno watanzania wanavutiwa nae

WATANZANIA, BILA KUJALI VYAMA VYETU MAGUFULI TUMUACHE APITE BILA KUPINGWA

Kwa utendaji wa RAIS MAGUFULI Sisi kama watanzania tulipaswa kumuacha apite bila kupingwa , watanzania ,Afrika ,Dunia inajua Rais Magufuli atashinda kwa kishindo.

Rais Magufuli Dunia mzima inajua utendaji wake ,2015 tulimchagua sababu alifanya makubwa akiwa Waziri katika wizara mbalimbali ,alijiuza Kwa uchapaji kazi wake.

Tulipomchagua kuwa Rais amefanya makubwa Dunia mzima imesimama kumshamshangaa Ngosha ,mtu mchapakazj ,mwenye maono na wanajua atachaguliwa Kwa KISHINDO.

Sisi watanzania tulitakiwa kumpa heshima iliotukuka Kwa uchapakazi wake.

Tulitakiwa vyama vyote vimuunge mkono apite peke yake tupige Kura za NDIYO ,kuna aina nyingi za demokrasia duniani

Sio lazima kusimamisha mgombea katika kila nafasi.

URAIS MAGUFULI MITANO TENA, KAZI IKAENDELEEE

Niwaombie upinzani kutorudisha form za Urais pia ni uzalendo ,ni kumuheshimisha RAIS Magufuli.

Watanzania katika Urais twende na Magufuli ana Nena na kutenda.

Iwa mwema

MALIKI MALIKI
Mukisha vimbiwa viazi mbatata ndiyo mmaanza kuandika pumba hizi. Labda kama a kwenda chooni ndiyo apite bila kupingwa, ila siyo kwa uongozi wa nchi.

Nyerere mwenyewe aliyekuwa na chama kimoja tulikuwa tunapiga kura ya ndiyo au hapana. Huyo kibwengu lazima nimuonyeshe tarehe 28/ 10 kuwa HATUMTAKI
 
Back
Top Bottom