Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli amesema soko la Mabibo, Maarufu kama Mahakama ya Ndizi litakuwa chini ya wananchi.
Ameyasema hayo alipokuwa katika mkutano wa kampeni, akiwa anawaomba kura wananchi wa Ubungo.
Ameyasema hayo baada ya mgombea Ubunge wa Ubungo kupitia CCM, Kitila Mkumbo kusema kuwa, soko lile lilikuwa na changamoto kwa kuwa halikuwa rasmi kutokana na eneo hilo kuwa chini ya kiwanda cha Urafiki hivyo kushindwa kufanya uwekezaji.
Ameyasema hayo alipokuwa katika mkutano wa kampeni, akiwa anawaomba kura wananchi wa Ubungo.
Ameyasema hayo baada ya mgombea Ubunge wa Ubungo kupitia CCM, Kitila Mkumbo kusema kuwa, soko lile lilikuwa na changamoto kwa kuwa halikuwa rasmi kutokana na eneo hilo kuwa chini ya kiwanda cha Urafiki hivyo kushindwa kufanya uwekezaji.