Uchaguzi 2020 Rais Magufuli asema soko la Mabibo, maarufu kama Mahakama ya Ndizi kumilikiwa na wananchi

Uchaguzi 2020 Rais Magufuli asema soko la Mabibo, maarufu kama Mahakama ya Ndizi kumilikiwa na wananchi

Lissu akandamize hapo kwenye hiki Kitambulisho cha wizi, halafu amrarue kwenye Fao la Kujitoa kwamba akiingia tu madarakani anaifuta hii sheria kandamizi halafu aahidi wananchi anarudisha Bunge live cc Salary Slip yani hapo tunamchana Meko msamba vibaya anarudi chato.
Watu walio karibu na Lissu wamfikishie mawazo haya.

,CC: Molemo
 
Hii ni rushwa ya wazi kabisa lakini NEC watakaa kimya kama hawajaona wala kusikia. Hizi ni kampeni za uchaguzi.

Pili ni kwamba hapa wamepigwa changa la macho kwa sababu wamiliki wa hilo eneo wapo na je watamilikiwa kwa namna gani?
Je, kuongeza mishahara nk kwa Anti ni rushwa au.
 
tuliambiwa na aliye kuwa mkuu wa mkoa kuwa tutajengewa soko letu la kisasa ktk eneo la kulivya bwawani....sasa hatujui maendeleo.
bora tujengewe eneo hilo..na kuna eneo lenye nafasi kubwa
Kujenga soko jingine la kisasa haliondoi umuhimu wa soko la Mahakama ya ndizi.
Maadamu mwenye ardhi ametoa kibali basi ni heri.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli amesema soko la Mabibo, Maarufu kama Mahakama ya Ndizi litakuwa chini ya wananchi.

Ameyasema hayo alipokuwa katika mkutano wa kampeni, akiwa anawaomba kura wananchi wa Ubungo.

Ameyasema hayo baada ya mgombea Ubunge wa Ubungo kupitia CCM, Kitila Mkumbo kusema kuwa, soko lile lilikuwa na changamoto kwa kuwa halikuwa rasmi kutokana na eneo hilo kuwa chini ya kiwanda cha Urafiki hivyo kushindwa kufanya uwekezaji.
Hakuna Kipindi ambacho huwa nakipenda kama cha wakati wa Kampeni kwani mnaweza hata kuambiwa 'Kunya' Getini Magogoni ni rukhsa tu 24/7.
 
Kwanini soko hilo linaonekana leo linatakiwa kumilikiwa na wananchi? Awali lilikuwa linamilikiwa na Nani? Kodi zilikuwa zinatozwa na kukusanywa na Nani? Hao wananchi wataunda kikundi Cha umiliki, wataunda kamati, wataunda seriakali au watamiliki kwa njia zipi?
Naweza kusema kwasababu ya aliyekuwa mbunge mpinzani hakutaka Maendeleo yafanyike,hakusimamia vyema majukumu yake na ndio maana tunatakiwa tuchague mafiga Matatu, Rais ,Wabunge na madiwani wa CCM,

Alafu pia Rais hawezi kujua shida za kila sehemu ndo maana pakawa na wawakilishi wa wananchi, kama mbunge hatasimamia na kuelezea shida za wananchi wake huwezi kumlaumu Rais.

Kwa kuangalia tu Rais anaupendo wa dhati kwa wananchi wake, amefika ubungo kapewa shida zilizopo na leo hii hii katatua wananchi sasa wamepata hako zao.
Ndugu usitake kupambana na wana CCM , ni jeshi kubwa
IMG-20201013-WA0079.jpg
 
Naweza kusema kwasababu ya aliyekuwa mbunge mpinzani hakutaka Maendeleo yafanyike,hakusimamia vyema majukumu yake na ndio maana tunatakiwa tuchague mafiga Matatu, Rais ,Wabunge na madiwani wa CCM,

Alafu pia Rais hawezi kujua shida za kila sehemu ndo maana pakawa na wawakilishi wa wananchi, kama mbunge hatasimamia na kuelezea shida za wananchi wake huwezi kumlaumu Rais.

Kwa kuangalia tu Rais anaupendo wa dhati kwa wananchi wake, amefika ubungo kapewa shida zilizopo na leo hii hii katatua wananchi sasa wamepata hako zao.
Ndugu usitake kupambana na wana CCM , ni jeshi kubwa View attachment 1598754
'Naweza kusema kwasababu ya aliyekuwa mbunge mpinzani hakutaka Maendeleo yafanyike'.

Kwa hio majimbo yaliyo chini ya wabunge wa CCM kama kule Kongwa kwa Ndungai kuna maendeleo sana sio?
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli amesema soko la Mabibo, Maarufu kama Mahakama ya Ndizi litakuwa chini ya wananchi.

Ameyasema hayo alipokuwa katika mkutano wa kampeni, akiwa anawaomba kura wananchi wa Ubungo.

Ameyasema hayo baada ya mgombea Ubunge wa Ubungo kupitia CCM, Kitila Mkumbo kusema kuwa, soko lile lilikuwa na changamoto kwa kuwa halikuwa rasmi kutokana na eneo hilo kuwa chini ya kiwanda cha Urafiki hivyo kushindwa kufanya uwekezaji.
Walikuwa wamelala? Wameamushwa na TL? Walikuwa wapinzani miaka mitano iliyopita? Watapata taabu sana!
 
Hii ni rushwa ya wazi kabisa lakini NEC watakaa kimya kama hawajaona wala kusikia. Hizi ni kampeni za uchaguzi.

Pili ni kwamba hapa wamepigwa changa la macho kwa sababu wamiliki wa hilo eneo wapo na je watamilikiwa kwa namna gani?
Ndugu zangu ni mgombea lakini bado ni rahisi, ana mamlaka ya kufanya chochote, haimaanishi kuwa kwenye kampeni basi shughuli za kiserikali zisimame,
Kwahvy fahamu kuwa hiyo siyo rushwa bali ametekeleza miongoni mwa majukumu yake kama raisi.
 
'Naweza kusema kwasababu ya aliyekuwa mbunge mpinzani hakutaka Maendeleo yafanyike'.

Kwa hio majimbo yaliyo chini ya wabunge wa CCM kama kule Kongwa kwa Ndungai kuna maendeleo sana sio?
We unaonaje, au unafikir tukizungumzia Maendeleo unaielewaje....
 
Jimbo likiwa la upinzani ndo rushwa zinapatikana kweli kweli, vikundi vya kinamama, vijana mikopo njenje na maendeleo juu, yaani kuhongwa nje nje Kama mwanamke mweupe akiwa anatongozwa, soko unapewa mwananchi ulimiliki Sasa kwanini nisiendelee kuchagua upinzani ili nile mema ya nchi?
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli amesema soko la Mabibo, Maarufu kama Mahakama ya Ndizi litakuwa chini ya wananchi.

Ameyasema hayo alipokuwa katika mkutano wa kampeni, akiwa anawaomba kura wananchi wa Ubungo.

Ameyasema hayo baada ya mgombea Ubunge wa Ubungo kupitia CCM, Kitila Mkumbo kusema kuwa, soko lile lilikuwa na changamoto kwa kuwa halikuwa rasmi kutokana na eneo hilo kuwa chini ya kiwanda cha Urafiki hivyo kushindwa kufanya uwekezaji.
Alikuwa wapi miaka hii 5? Aache kuhadaa wananchi kama alivyowadaa watumishi wa serikali mwaka 2015?
 
Sidhani Kama hilo soko litajengwa Urafiki.Nilisikia kulikuwa na kesi na Unafiki walirudishiwa eneo lao Watu wa soko waliamuliwa kutolewa.Eneo jipya la kujenga soko lipo Kata ya Kwembe na eneo lilishatengwa
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli amesema soko la Mabibo, Maarufu kama Mahakama ya Ndizi litakuwa chini ya wananchi.

Ameyasema hayo alipokuwa katika mkutano wa kampeni, akiwa anawaomba kura wananchi wa Ubungo.

Ameyasema hayo baada ya mgombea Ubunge wa Ubungo kupitia CCM, Kitila Mkumbo kusema kuwa, soko lile lilikuwa na changamoto kwa kuwa halikuwa rasmi kutokana na eneo hilo kuwa chini ya kiwanda cha Urafiki hivyo kushindwa kufanya uwekezaji.
Unaweza kudhani kuwa mtawala aliyemaliza muda wake siyo CCM kwamba sasa CCM wamechukuwa nchi ndiyo wanasafisha safisha uozo kumbe wapo wao kwa miaka 60 sasa. Ukiisha uchaguzi yanarudiwa yaleyale 🤣🤣
 
Back
Top Bottom