Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Watu walio karibu na Lissu wamfikishie mawazo haya.Lissu akandamize hapo kwenye hiki Kitambulisho cha wizi, halafu amrarue kwenye Fao la Kujitoa kwamba akiingia tu madarakani anaifuta hii sheria kandamizi halafu aahidi wananchi anarudisha Bunge live cc Salary Slip yani hapo tunamchana Meko msamba vibaya anarudi chato.
Je, kuongeza mishahara nk kwa Anti ni rushwa au.Hii ni rushwa ya wazi kabisa lakini NEC watakaa kimya kama hawajaona wala kusikia. Hizi ni kampeni za uchaguzi.
Pili ni kwamba hapa wamepigwa changa la macho kwa sababu wamiliki wa hilo eneo wapo na je watamilikiwa kwa namna gani?
Kaongeza mishahara?Je kuongeza mishahara nk kwa Anti ni rushwa au
Kujenga soko jingine la kisasa haliondoi umuhimu wa soko la Mahakama ya ndizi.tuliambiwa na aliye kuwa mkuu wa mkoa kuwa tutajengewa soko letu la kisasa ktk eneo la kulivya bwawani....sasa hatujui maendeleo.
bora tujengewe eneo hilo..na kuna eneo lenye nafasi kubwa
Hakuna Kipindi ambacho huwa nakipenda kama cha wakati wa Kampeni kwani mnaweza hata kuambiwa 'Kunya' Getini Magogoni ni rukhsa tu 24/7.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli amesema soko la Mabibo, Maarufu kama Mahakama ya Ndizi litakuwa chini ya wananchi.
Ameyasema hayo alipokuwa katika mkutano wa kampeni, akiwa anawaomba kura wananchi wa Ubungo.
Ameyasema hayo baada ya mgombea Ubunge wa Ubungo kupitia CCM, Kitila Mkumbo kusema kuwa, soko lile lilikuwa na changamoto kwa kuwa halikuwa rasmi kutokana na eneo hilo kuwa chini ya kiwanda cha Urafiki hivyo kushindwa kufanya uwekezaji.
Naweza kusema kwasababu ya aliyekuwa mbunge mpinzani hakutaka Maendeleo yafanyike,hakusimamia vyema majukumu yake na ndio maana tunatakiwa tuchague mafiga Matatu, Rais ,Wabunge na madiwani wa CCM,Kwanini soko hilo linaonekana leo linatakiwa kumilikiwa na wananchi? Awali lilikuwa linamilikiwa na Nani? Kodi zilikuwa zinatozwa na kukusanywa na Nani? Hao wananchi wataunda kikundi Cha umiliki, wataunda kamati, wataunda seriakali au watamiliki kwa njia zipi?
Mkuu vinapatikana wapi?mimi ninakitaka nikachukulie mkopo crdDah sijui hata nani atajibu hili swali ila naenda kutafuta kitambulisho cha 20k nizame pale nikauze
'Naweza kusema kwasababu ya aliyekuwa mbunge mpinzani hakutaka Maendeleo yafanyike'.Naweza kusema kwasababu ya aliyekuwa mbunge mpinzani hakutaka Maendeleo yafanyike,hakusimamia vyema majukumu yake na ndio maana tunatakiwa tuchague mafiga Matatu, Rais ,Wabunge na madiwani wa CCM,
Alafu pia Rais hawezi kujua shida za kila sehemu ndo maana pakawa na wawakilishi wa wananchi, kama mbunge hatasimamia na kuelezea shida za wananchi wake huwezi kumlaumu Rais.
Kwa kuangalia tu Rais anaupendo wa dhati kwa wananchi wake, amefika ubungo kapewa shida zilizopo na leo hii hii katatua wananchi sasa wamepata hako zao.
Ndugu usitake kupambana na wana CCM , ni jeshi kubwa View attachment 1598754
Walikuwa wamelala? Wameamushwa na TL? Walikuwa wapinzani miaka mitano iliyopita? Watapata taabu sana!Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli amesema soko la Mabibo, Maarufu kama Mahakama ya Ndizi litakuwa chini ya wananchi.
Ameyasema hayo alipokuwa katika mkutano wa kampeni, akiwa anawaomba kura wananchi wa Ubungo.
Ameyasema hayo baada ya mgombea Ubunge wa Ubungo kupitia CCM, Kitila Mkumbo kusema kuwa, soko lile lilikuwa na changamoto kwa kuwa halikuwa rasmi kutokana na eneo hilo kuwa chini ya kiwanda cha Urafiki hivyo kushindwa kufanya uwekezaji.
Ndugu zangu ni mgombea lakini bado ni rahisi, ana mamlaka ya kufanya chochote, haimaanishi kuwa kwenye kampeni basi shughuli za kiserikali zisimame,Hii ni rushwa ya wazi kabisa lakini NEC watakaa kimya kama hawajaona wala kusikia. Hizi ni kampeni za uchaguzi.
Pili ni kwamba hapa wamepigwa changa la macho kwa sababu wamiliki wa hilo eneo wapo na je watamilikiwa kwa namna gani?
Wewe unaonaje'Naweza kusema kwasababu ya aliyekuwa mbunge mpinzani hakutaka Maendeleo yafanyike'.
Kwa hio majimbo yaliyo chini ya wabunge wa CCM kama kule Kongwa kwa Ndungai kuna maendeleo sana sio?
Naona hivi.Wewe unaonaje
We unaonaje, au unafikir tukizungumzia Maendeleo unaielewaje....'Naweza kusema kwasababu ya aliyekuwa mbunge mpinzani hakutaka Maendeleo yafanyike'.
Kwa hio majimbo yaliyo chini ya wabunge wa CCM kama kule Kongwa kwa Ndungai kuna maendeleo sana sio?
Naelewa maendeleo hayana Chama.We unaonaje, au unafikir tukizungumzia Maendeleo unaielewaje....
Alikuwa wapi miaka hii 5? Aache kuhadaa wananchi kama alivyowadaa watumishi wa serikali mwaka 2015?Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli amesema soko la Mabibo, Maarufu kama Mahakama ya Ndizi litakuwa chini ya wananchi.
Ameyasema hayo alipokuwa katika mkutano wa kampeni, akiwa anawaomba kura wananchi wa Ubungo.
Ameyasema hayo baada ya mgombea Ubunge wa Ubungo kupitia CCM, Kitila Mkumbo kusema kuwa, soko lile lilikuwa na changamoto kwa kuwa halikuwa rasmi kutokana na eneo hilo kuwa chini ya kiwanda cha Urafiki hivyo kushindwa kufanya uwekezaji.
Unaweza kudhani kuwa mtawala aliyemaliza muda wake siyo CCM kwamba sasa CCM wamechukuwa nchi ndiyo wanasafisha safisha uozo kumbe wapo wao kwa miaka 60 sasa. Ukiisha uchaguzi yanarudiwa yaleyale 🤣🤣Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli amesema soko la Mabibo, Maarufu kama Mahakama ya Ndizi litakuwa chini ya wananchi.
Ameyasema hayo alipokuwa katika mkutano wa kampeni, akiwa anawaomba kura wananchi wa Ubungo.
Ameyasema hayo baada ya mgombea Ubunge wa Ubungo kupitia CCM, Kitila Mkumbo kusema kuwa, soko lile lilikuwa na changamoto kwa kuwa halikuwa rasmi kutokana na eneo hilo kuwa chini ya kiwanda cha Urafiki hivyo kushindwa kufanya uwekezaji.