HUYU MAGU ATAKUWA YANGA, automatic tu amejikuta anashangalia Yanga..
Kama Mbowe vile, shabiki kindakindaki wa jangwani.Huyu ni yanga live.
Huoni alivyo na roho mbaya
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huyu ni yanga live.
Huoni alivyo na roho mbaya
Kama Mbowe vile, shabiki kindakindaki wa jangwani.
Masikini akipata****hulia mbwata.
Rais Magufuli bwana nimemuona anashangilia bao la Yanga hata kama yeye ni Simba na kavaa jezi ya Yanga nimeipanda hayo ndio mambo tunataka kuliunganisha taifa.
Rais Magufuli bwana nimemuona anashangilia bao la Yanga hata kama yeye ni Simba na kavaa jezi ya Yanga nimeipanda hayo ndio mambo tunataka kuliunganisha taifa.
Huyu ni yanga live.
Huoni alivyo na roho mbaya
Labda washinde njaasi amevaa mseto, hata simba wangeshinda basi angeshangilia
Jezi upande wa kulia ilikuwa Yanga kama tunavyokaa uwanjani. Siku zote ndume itakaa kulia.