Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aiseeeeeh!![]()
Mambo yanazidi kuwa moto.
Hebu tulinganishe mimi na wewe, tujue mshamba ni nani? Inamaana baada ya Kupewa hio zawadi alikupa wewe umuwekee mitandaoni?Kwikwikwikwikwi unachekesha sana wewe. Na imwezekana unasumbuka sana. Wewe dotcom wapi wakati ni mshamba fulani hujui hata dunia inaendaje.
Utaumia sana. Sijui unajua hata maana ya Mhuri. Roho ya korosho na ushamba umekujaa.Hebu tulinganishe mimi na wewe, tujue mshamba ni nani? Inamaana baada ya Kupewa hio zawadi alikupa wewe umuwekee mitandaoni?
Wewe unaijuaLeadership nini?
Certificate yoyote inakuwa na
1) Muhuri wa Organization iliyotoa
2. Signature
3. Tarehe iliyotolewa
Cheti kama hicho hata mimi naweza kutengeneza
Hii imechukuliwa kwa simu.Hongera JPM...wacha sisi tushughulike na tupambane na hali zetu.View attachment 745552
HahhaaaaahahahhaaaaahaahhaaaHongera JPM...wacha sisi tushughulike na tupambane na hali zetu.View attachment 745552
Taratibu mkuu usituchukulie mbagala yetu,sisi ukawa!Mawe gani sasa. Mbona hakuna hata jiwe lolote. Dogo mimi nipo vizuri sana.
Nipo kwenye international level. Naweza kusepa na mtaa wenu.
UPAWAAiseeeeeh!
Ngoja nisubiri povu LA ukawa