Rais Magufuli ashinda tuzo za the prestigious awards kuw kiongozi bora africa

Rais Magufuli ashinda tuzo za the prestigious awards kuw kiongozi bora africa

Ikulu imetoa taarifa mchana leo kupitia Gerson Msigwa kwamba haina taarifa yoyote ya hii Tuzo..

Amesema utaratibu ni kwamba Ikulu ingepewa taarifa prior.

Jaribu kujiongeza kidogo na uache kujidhalilisha ndugu kwa hizi facts hapa chini:

Tuzo ya Heshima ya Kimataifa ya Rais wa Nchi ipokelewe na MONALISA wa Bongo Movie?
Pale Accra kuna Balozi kwanini asiipokee kwa niaba ya Rais?
Tuzo ya Rais na picha ya shati la Kampeni ya CCM?

Hongera kwa kukurupuka UVCCM..
SHAME.

Msemaji Mkuu wa Serikali (@TZ_MsemajiMkuu) | Twitter
 
Hii ni twitter rasmi ya msemaji mkuu wa serikali. Msemaji mkuu wa Serikali na wewe ni nani mwenye taarifa za uhakika?


Hahaha..
Bado unazidi kujidhalilisha tu ndugu..
Msema kweli ni Gerson Msigwa wa Ikulu
 
Hebu tulinganishe mimi na wewe, tujue mshamba ni nani? Inamaana baada ya Kupewa hio zawadi alikupa wewe umuwekee mitandaoni?
Wewe unaijuaLeadership nini?
Certificate yoyote inakuwa na
1) Muhuri wa Organization iliyotoa
2. Signature
3. Tarehe iliyotolewa
Cheti kama hicho hata mimi naweza kutengeneza
Wacha wivu wewe, si umtengenezee wa kwenu basis.
 
Da1inRXXUAICfc0.jpg



Mambo yanazidi kuwa moto.
Hiki ni cha kike.. Ni akina nani hawa wanaopenda kumdhalilisha huyu mjamaa kila wakati?
 
What are the names of those prestigious awards and who is awarding him?

Is it just a play with the fancy words you recently acquired?
 
What are the names of those prestigious awards and who is awarding him?

Is it just a play with the fancy words you recently acquired?

Acha kujitia aibu. Nenda kimya kimya kwenye site yao utapata MAJIBU.
Acha uvivu wenye wivu.
 
Kuna member wa Chama fulani mavi yanazidi kueabana baada ya kuona hii post tehe tehe tehe
 
Back
Top Bottom