Rais Magufuli ashinda tuzo za the prestigious awards kuw kiongozi bora africa

Rais Magufuli ashinda tuzo za the prestigious awards kuw kiongozi bora africa

Utaumia sana. Sijui unajua hata maana ya Mhuri. Roho ya korosho na ushamba umekujaa.
Mcheki Monalisa amekumbatia Ward yake.



Umemaliza ubishi, huyo Mtambwe hutamuona tena. Umemtoa maushamba. SASA anasikilizia maumivu.
TEH TEH TEH TIHIII
Hawa timu mambe kimangi.
 
Vyuma vimekaza huku kwetu sasa itabidi tutumie cheti hichi kujengea bullet train.
 
Hebu tulinganishe mimi na wewe, tujue mshamba ni nani? In
Utaumia sana. Sijui unajua hata maana ya Mhuri. Roho ya korosho na ushamba umekujaa.
Mcheki Monalisa amekumbatia Ward yake.


Sasa wewe mwenye akili angalia hiyo ya Monalisa, angalia hapo chini ya Vidole vyake, pana sahihi kama maco unayo,
Pili hiyo ya Monalisa haina picha yake
Au kuna picha hapo?
 
IMG_20180415_212232.JPG
 
Sasa wewe mwenye akili angalia hiyo ya Monalisa, angalia hapo chini ya Vidole vyake, pana sahihi kama maco unayo,
Pili hiyo ya Monalisa haina picha yake
Au kuna picha hapo?
Baadae utaonekana kuwa mwehu. Siyo kila kitu lazima uchangie kama hujui ni bora kukaa kimya utaumiza roho yako bure bila sababu. Inamaana wewe unajiona unaakili zaidi kuliko wote humu JF siyo!!? Wewe ni kati ya wapumbavu wachache.
Sikiliza na kutazama hii video

 
Tuzo gani hiyo ambayo haina recognition mahali popote pale Duniani..!!
Kwenye tuzo za wacheza filamu na yeye wamemweka humohumo..!!
Amjibu CAG zipo wapi 1.5Tril zilizokuwa collected na TRA kwa bajeti ya 2016/17..
Mwizi Mkubwa.
 
Baadae utaonekana kuwa mwehu. Siyo kila kitu lazima uchangie kama hujui ni bora kukaa kimya utaumiza roho yako bure bila sababu. Inamaana wewe unajiona unaakili zaidi kuliko wote humu JF siyo!!? Wewe ni kati ya wapumbavu wachache.
Sikiliza na kutazama hii video

Akikujibu baada ya hii video nitag
 
Da1inRXXUAICfc0.jpg



Mambo yanazidi kuwa moto.
Ikulu imetoa taarifa mchana leo kupitia Gerson Msigwa kwamba haina taarifa yoyote ya hii Tuzo..

Amesema utaratibu ni kwamba Ikulu ingepewa taarifa prior.

Jaribu kujiongeza kidogo na uache kujidhalilisha ndugu kwa hizi facts hapa chini:

Tuzo ya Heshima ya Kimataifa ya Rais wa Nchi ipokelewe na MONALISA wa Bongo Movie?
Pale Accra kuna Balozi kwanini asiipokee kwa niaba ya Rais?
Tuzo ya Rais na picha ya shati la Kampeni ya CCM?

Hongera kwa kukurupuka UVCCM..
SHAME.
 
Ikulu imetoa taarifa mchana leo kupitia Gerson Msigwa kwamba haina taarifa yoyote ya hii Tuzo..

Amesema utaratibu ni kwamba Ikulu ingepewa taarifa prior.

Jaribu kujiongeza kidogo na uache kujidhalilisha ndugu kwa hizi facts hapa chini:

Tuzo ya Heshima ya Kimataifa ya Rais wa Nchi ipokelewe na MONALISA wa Bongo Movie?
Pale Accra kuna Balozi kwanini asiipokee kwa niaba ya Rais?
Tuzo ya Rais na picha ya shati la Kampeni ya CCM?

Hongera kwa kukurupuka UVCCM..
SHAME.

Ok sawasawa. Please tuwekee hiyo taarifa nasi tuisome.
 
Kwann hawakuomba picha ya dokita why waweke picha yenye shati lisilo "rasimi"
[emoji39][emoji39]
 
Ikulu imetoa taarifa mchana leo kupitia Gerson Msigwa kwamba haina taarifa yoyote ya hii Tuzo..

Amesema utaratibu ni kwamba Ikulu ingepewa taarifa prior.

Jaribu kujiongeza kidogo na uache kujidhalilisha ndugu kwa hizi facts hapa chini:

Tuzo ya Heshima ya Kimataifa ya Rais wa Nchi ipokelewe na MONALISA wa Bongo Movie?
Pale Accra kuna Balozi kwanini asiipokee kwa niaba ya Rais?
Tuzo ya Rais na picha ya shati la Kampeni ya CCM?

Hongera kwa kukurupuka UVCCM..
SHAME.
Hii ni twitter rasmi ya msemaji mkuu wa serikali. Msemaji mkuu wa Serikali na wewe ni nani mwenye taarifa za uhakika?

 
Back
Top Bottom