Junior Clinton Mr.
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 1,075
- 1,423
Congratulations JPM, The Best President in Africa..[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utaumia sana. Sijui unajua hata maana ya Mhuri. Roho ya korosho na ushamba umekujaa.
Mcheki Monalisa amekumbatia Ward yake.
Hamjui hata kudanganya....shenz type
Sijaelewa
Hebu tulinganishe mimi na wewe, tujue mshamba ni nani? In
Utaumia sana. Sijui unajua hata maana ya Mhuri. Roho ya korosho na ushamba umekujaa.
Mcheki Monalisa amekumbatia Ward yake.
Baadae utaonekana kuwa mwehu. Siyo kila kitu lazima uchangie kama hujui ni bora kukaa kimya utaumiza roho yako bure bila sababu. Inamaana wewe unajiona unaakili zaidi kuliko wote humu JF siyo!!? Wewe ni kati ya wapumbavu wachache.Sasa wewe mwenye akili angalia hiyo ya Monalisa, angalia hapo chini ya Vidole vyake, pana sahihi kama maco unayo,
Pili hiyo ya Monalisa haina picha yake
Au kuna picha hapo?
Unaposema tunataka' unamaanisha wewe na nani?Hayo ya tuzo hatuyajui.
TUNATAKA KUJUA 1.5 trillion TZS ZIMEPOTELEA WAPI
Akikujibu baada ya hii video nitagBaadae utaonekana kuwa mwehu. Siyo kila kitu lazima uchangie kama hujui ni bora kukaa kimya utaumiza roho yako bure bila sababu. Inamaana wewe unajiona unaakili zaidi kuliko wote humu JF siyo!!? Wewe ni kati ya wapumbavu wachache.
Sikiliza na kutazama hii video
Ikulu imetoa taarifa mchana leo kupitia Gerson Msigwa kwamba haina taarifa yoyote ya hii Tuzo..![]()
Mambo yanazidi kuwa moto.
Ikulu imetoa taarifa mchana leo kupitia Gerson Msigwa kwamba haina taarifa yoyote ya hii Tuzo..
Amesema utaratibu ni kwamba Ikulu ingepewa taarifa prior.
Jaribu kujiongeza kidogo na uache kujidhalilisha ndugu kwa hizi facts hapa chini:
Tuzo ya Heshima ya Kimataifa ya Rais wa Nchi ipokelewe na MONALISA wa Bongo Movie?
Pale Accra kuna Balozi kwanini asiipokee kwa niaba ya Rais?
Tuzo ya Rais na picha ya shati la Kampeni ya CCM?
Hongera kwa kukurupuka UVCCM..
SHAME.
Hii ni twitter rasmi ya msemaji mkuu wa serikali. Msemaji mkuu wa Serikali na wewe ni nani mwenye taarifa za uhakika?Ikulu imetoa taarifa mchana leo kupitia Gerson Msigwa kwamba haina taarifa yoyote ya hii Tuzo..
Amesema utaratibu ni kwamba Ikulu ingepewa taarifa prior.
Jaribu kujiongeza kidogo na uache kujidhalilisha ndugu kwa hizi facts hapa chini:
Tuzo ya Heshima ya Kimataifa ya Rais wa Nchi ipokelewe na MONALISA wa Bongo Movie?
Pale Accra kuna Balozi kwanini asiipokee kwa niaba ya Rais?
Tuzo ya Rais na picha ya shati la Kampeni ya CCM?
Hongera kwa kukurupuka UVCCM..
SHAME.