Rais Magufuli ashinda tuzo za the prestigious awards kuw kiongozi bora africa


Msemaji Mkuu wa Serikali (@TZ_MsemajiMkuu) | Twitter
 
Hii ni twitter rasmi ya msemaji mkuu wa serikali. Msemaji mkuu wa Serikali na wewe ni nani mwenye taarifa za uhakika?

Hahaha..
Bado unazidi kujidhalilisha tu ndugu..
Msema kweli ni Gerson Msigwa wa Ikulu
 
Wacha wivu wewe, si umtengenezee wa kwenu basis.
 
What are the names of those prestigious awards and who is awarding him?

Is it just a play with the fancy words you recently acquired?
 
What are the names of those prestigious awards and who is awarding him?

Is it just a play with the fancy words you recently acquired?

Acha kujitia aibu. Nenda kimya kimya kwenye site yao utapata MAJIBU.
Acha uvivu wenye wivu.
 
Kuna member wa Chama fulani mavi yanazidi kueabana baada ya kuona hii post tehe tehe tehe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…