Congo
JF-Expert Member
- Mar 13, 2008
- 2,081
- 2,325
Hakuna busara yoyote ya kuufungia. Tumu ikiliyosababisha uharibifu iadhibiwe kwa kufanya matengenezo yanayohusika. Kwa hali ilivyo sasa kuchezesha Yanga na Simba nje ya uwanja huo ni kukaribisha madhara zaidi hayo. Mihemuko michezoni si ajabu, pande zote zikae ziangalie tatizo lilikuwa wapi.