Rais Magufuli atangaza siku tatu za Maombolezo kufuatia kifo cha Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharrif Hamad

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Kama nchi hatuko serious kupambana na hili tatizo! Ni kwa ujasiri upi tulio nao hadi viongozi wakuu wako kwenye mikusanyiko bila kuchukua tahadhari? Are we really serious?
Inasikitisha sana!!!
Rais Magufuli leo anajisikiaje kutangaza maombolezo ya siku 3 Bara na siku 7 Zanzibar?? Kama Watz wasingeaminishwa na Magufuli kuwa Tanzania hakuna Corona hivo watu waendelee kuchapa kazi basi tungeweza kuepusha maambukizi!

Rais Magufuli na baadhi ya Viongozi wenzake wamefikia mahali KUWAZUIA WATU WASIVAE BARAKOA kwa ulaghai wa "HAKUNA COVID-19 TANZANIA"!!

Mpaka sasa Magufuli na wana CCM wenzake wanaendelea na propaganda zao za kuwalaghai Watz kwamba hivi sasa "ATI WATZ WANAKUFA KWA PNEUMONIA NA MATATIZO YA KUPUMUA" badala ya kuongea wazi kuwa WATU WANAKUFA KWA COVID-19 HIVO LAZIMA WACHUKUE TAHADHARI IKIWEMO KUVAA BARAKOA, PPE KWA DOCTORS& NURSES PAMOJA NA KUJIFUKIZA.

Sasa jmefika wakti wa JPM na Team yake waanze kutoa TAKWIMU ZA WAGONJWA WA COVID-19, WANGAPI WANAPONA NA WANGAPI WANAPOTEZA MAISHA. HUKU WAKIENDELEA KUHIMIZA USHAURI WA KIAFYA WA QUARANTINE YA 14 DAYS, ISOLATION KWA WAGONJWA NA SOACIL DISTANCE!!!

Bila kutii masharti hayo basi Corona itasumbua sana. Maadamu Corona imeshaingia Ikulu hakuna aliye salama. JPM ANATAKIWA AJIFUNZE TOKA KWA MAREHEMU PIERRE NKURUNZIZA (BURUNDI) ALIYEKUFA KWA COVID-19!!!!
Wasalaaam.
 
Tunaombolezaje sasa? Ni kwa bendera nusu mlingoti tu au na ofisi za umma zinakuwa likizo ya siku 3?
 
Tunaombolezaje sasa? Ni kwa bendera nusu mlingoti tu au na ofisi za umma zinakuwa likizo ya siku 3?
Ofisi zinafunguliwa km kawaida, huzuni inaoneshwa kwa kubandikwa picha za huyo Mhusika km kwenye TV au kutangazwa Historia yake, na hii inaoneshwa kwa bendera kupandishwa hadi nusu, baada ya hapo ni ya kale tena
 
Bayyo na Yehodaya nyie ni wale watu ambao midomo imezoea kuropoka hata kama wakati sio sahihi! Stop it !! hiyo siyo utanzania!!! Ukatili ulioletwa kuanzia awamu ya tano ndiyo imewafanya mlivyo!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…